Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Mfuateni-Mwanakondoo-na-Kuimba-Nyimbo-Mpya. Onyesha machapisho yote

3.22.2019

Mungu Anashuka na Hukumu

Mungu Anashuka na Hukumu

I

Anapokuja chini katika taifa la joka kuu jekundu,

Mungu anageuka kuutazama ulimwengu na unaanza kutingika.

Je, kuna mahali popote ambapo hapatapata hukumu Yake?

Ama kuishi katika janga Analotoa?

Kila mahali Aendapo anamwaga mbegu ya janga,

lakini kupitia kwayo Anatoa wokovu na kuonyesha upendo Wake.

Mungu anatamani kuwafanya watu zaidi kumjua, kumwona na kumheshimu.

2.25.2019

Mungu Anatumaini Mwanadamu Anaweza Kumjua na Kumwelewa

Mungu Anatumaini Mwanadamu Anaweza Kumjua na Kumwelewa

I
Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu, Amekuwa akifichua kwao
Kiini Chake na kile Alicho na Alicho nacho, bila kukoma, kila wakati.
Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,
Mungu huzungumza na kufanya kazi ili kuonyesha tabia Yake na kiini.
Havijawahi kufunikwa kamwe, havijawahi kufichika kamwe, vimeachiliwa bila kusita,
Kiini na tabia ya Mungu, nafsi Yake na miliki yake,
vinafichuliwa Anapofanya kazi na kushirikiana na mwanadamu.

2.24.2019

nyimbo za dini | Tabia Ya Mungu Ni Ya Juu na Tukufu

Tabia ya Mungu ni ya Juu na Tukufu


Furaha ya Mungu ni haki na mwangaza kuja katika dunia,
ni kuangamizwa kwa giza na uovu.
Furaha Yake ni kuleta mwangaza kwa binadamu, na uzuri katika maisha yao.
Furaha Yake ni haki; ni ishara ya vitu vyote vizuri,
na ishara ya heri njema, na ishara ya heri njema.

2.12.2019

Wimbo Mpya wa Dini | "Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu" | God's Sheep Hear the Voice of God


Wimbo Mpya wa Dini | "Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu" | God's Sheep Hear the Voice of God


Kwa kuwa tunatafuta nyayo za Mungu,
lazima tutafute mapenzi ya Mungu,
tutafute maneno ya Mungu na matamshi ya Mungu,
tutafute maneno ya Mungu na matamshi Yake. 

2.05.2019

Hukumu ya Neno la Mungu ni Kumwokoa Mwanadamu

Hukumu ya Neno la Mungu ni Kumwokoa Mwanadamu

I
Ingawa Mungu amenena maneno mengi kwako
ya kuadibu, ya hukumu,
hayajafanyika kwako,
naam, hayajafanyika kwako kweli.
Mungu alikuja kufanya kazi Yake na kunena maneno.
Ingawa maneno Yake yanaweza kuwa makali,
yananenwa kwa hukumu
ya upotovu wako, uasi. 

12.30.2018

Watu Wanamjua Mungu Bora Kupitia Kazi ya Maneno

Umeme wa Mashariki,siku za mwisho,ukweli

Watu Wanamjua Mungu Bora Kupitia Kazi ya Maneno

I
Mungu wa siku za mwisho hasa anatumia neno kumkamilisha mwanadamu,
si ishara na miujiza ya kumdhulumu au kumshawishi,
kwa kuwa hivi haviwezi kueleza nguvu za Mungu.
Ikiwa Mungu angeonyesha tu ishara na miujiza,
haingewezekana kudhihirisha ukweli wa Mungu,
na hivyo haingewezekana kumkamilisha mwanadamu. 

12.29.2018

nyimbo za injili | Mungu Anautaka Moyo wa Kweli wa Mwanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo

Mungu Anautaka Moyo wa Kweli wa Mwanadamu

I
Watu leo hawamthamini Mungu.
Hana nafasi ndani ya mioyo yao.
Katika siku zijazo, siku za mateso,
je, wanaweza kuonyesha upendo wa kweli, kuonyesha upendo wa kweli Kwake? 

12.26.2018

Unyenyekevu wa Mungu ni wa Kupendeza Sana

Unyenyekevu wa Mungu ni wa Kupendeza Sana

I
Mungu hujinyenyekeza Mwenyewe na kufanya kazi Yake
kwa mwanadamu mchafu na mwovu ili kumfanya awe mkamilifu.
Mungu anakuwa mwanadamu.
Yeye huwachunga na kuwahudumia, huja kwa maskani ya joka kuu jekundu
kuokoa na kuwashinda wale waliopotoka,
kufanya kazi ya kuwabadilisha na kuwafanya wapya. 

12.24.2018

nyimbo za injili | Hakuna Anayeweza Kuizuia Kazi ya Mungu

Umeme wa Mashariki,Biblia,nyimbo za injili
Hakuna Anayeweza Kuizuia Kazi ya Mungu
Kazi ya Mungu, kazi ya Mungu, hakuna anayeweza kuzuia kazi ya Mungu kamwe.

I

Mungu alipomwahidi Ibrahimu kuwa angekuwa na mwana,
alifikiri haiwezekani. 

12.23.2018

Mamlaka ya Mungu ni Ishara ya Utambulisho Wake

Mamlaka ya Mungu ni Ishara ya Utambulisho Wake

I
Mungu ni uzima, chanzo cha viumbe wote wanaoishi.
Mamlaka ya Mungu hufanya kila kitu kitii maneno Yake,
kije kuwepo kulingana na maneno Yake,
kiishi na kuzaa kwa amri ya Mungu.
Mungu huwaongoza viumbe wote waishio,
na hakutakuwa na kupotoka milele na milele. 

12.22.2018

nyimbo za injili | Unapaswa Kutafuta Kumpenda Mungu kwa Hiari

Umeme wa Mashariki,nyimbo za dini,ukweli

Unapaswa Kutafuta Kumpenda Mungu kwa Hiari

I
Leo lazima uwe katika njia sahihi
kwani unamwamini Mungu wa vitendo.
Ukiwa na imani, usitafute tu baraka Zake,
bali tafuta kumpenda na kumjua Mungu. 

12.17.2018

nyimbo za injili | Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

Kanisa la Mwenyezi Mungu,nyimbo za dini,Nyimbo

Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

I
Kusudi la hukumu ya Mungu ni kuhimiza utiifu wa mwanadamu;
kusudi la adabu ya Mungu ni kuruhusu mbadiliko wa mwanadamu.
Ingawa kazi ya Mungu ni kwa ajili ya usimamizi Wake,
hakuna kitu Anachofanya kisicho kizuri kwa mwanadamu. 

12.13.2018

nyimbo za dini | Umuhumi wa Maombi

Kanisa la Mwenyezi Mungu,nyimbo za dini,maombi
I
Maombi ni njia moja ya mwanadamu kishirikiana na Mungu,
kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni. 

12.11.2018

Mungu Anamthamini Yule Anayeweza Kusikiliza Neno Lake na Kumtii

Umeme wa Mashariki,Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo

Mungu Anamthamini Yule Anayeweza Kusikiliza Neno Lake na Kumtii

I
Mungu hajali kama mtu ni wa chini ama mkubwa.
Mradi tu anamsikiliza Mungu,
anatii kile ambacho Mungu anaamuru na kumwaminia,
anaweza kushirikiana na kazi Yake, na mpango Wake na mapenzi Yake,
ili mapenzi Yake na mpango uweze kuendelea bila kizuizi,
kitendo kama hiki kinastahili, kinastahili kukumbukwa na Mungu,
na kinastahili kupokea, kupokea baraka Yake. 

12.10.2018

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Nyimbo

Kuwa Mtu Mpya na Uuliwaze Moyo wa Mungu

I
Umeona ndani ya moyo wangu, kiburi kilichoje ndani yangu.
Nafikiri kuwa mimi ni mzuri sana na kila kitu ni duni kwangu.
Mkuu na mwenye majivuno, asili yangu ni ngumu kutupa.
Zaidi ya kudharau, mimi ni mdogo. Binadamu wamepotea. Oo, binadamu wamepotea. 

12.08.2018

Wimbo wa Ufalme (III) Watu Wote, Pigeni Kelele za Furaha!

I

Watu wote wanaona nuru tena katika nuru ya Mungu.

Watu wote wanafurahia mambo mema katika neno la Mungu.

Mungu anatoka Mashariki, na anatokea huko.

Mungu aangaza mwanga Wake wa kupendeza na mataifa yote yanaangaza.

Yote yanaangaza sana, na hakuna linalobaki katika giza. 

12.07.2018

Shetani Hawezi Kubadili Chochote Chini ya Mamlaka ya Mungu


 Shetani Hawezi Kubadili Chochote Chini ya Mamlaka ya Mungu

I
Ni kwa miaka ngapi, maelfu ya miaka,
Shetani amekuwa akimpotosha mwanadamu, akifanya mabaya mengi sana.
Vizazi, kimoja baada ya kingine vimedanganywa naye.
Oh, ni uhalifu kiasi kipi, uhalifu wa kuogofya
ambao Shetani amefanya katika dunia hii yote. 

12.06.2018

Kufanikiwa au Kushindwa Kunategemea na Ufuatiliaji wa Mwanadamu

I
Mwanadamu anapaswa kutekeleza wajibu wake
kama kiumbe wa Mungu,
atafute kumpenda Mungu bila chaguo lingine,
kwa kuwa Mungu anastahili upendo wa mwanadamu.
Watu ambao hutafuta kumpenda Mungu
hawapaswi kutafuta faida ya binafsi,
au kile wanachotaka wenyewe. 

12.05.2018

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Kazi ya Mungu inaongoza ulimwengu wote na, zaidi ya hayo, umeme unaangaza moja kwa moja kutoka Mashariki hadi Magharibi.
I
Mungu anaeneza kazi Yake kati ya mataifa.
Utukufu Wake unaangaza katika ulimwengu.
Mapenzi Yake, yaliyomo katika wanadamu waliotawanyika,
wote wakiongozwa na mkono Wake, wakifanya kazi walizopewa. 

12.02.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Nimeona Uzuri wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo,ukweli

Nimeona Uzuri wa Mungu

Nasikia sauti ninayoifahamu ikiniita kila wakati.
Nikiamshwa na kutazama ili nione, ni nani yuko hapo akizungumza.
Sauti Yake ni nyororo lakini kali, sura Yake nzuri!
Pitia pigo na uvumilie uchungu mkubwa, kupapaswa na mkono Wake wa upendo.