3.22.2019

Mungu Anashuka na Hukumu

Mungu Anashuka na Hukumu

I

Anapokuja chini katika taifa la joka kuu jekundu,

Mungu anageuka kuutazama ulimwengu na unaanza kutingika.

Je, kuna mahali popote ambapo hapatapata hukumu Yake?

Ama kuishi katika janga Analotoa?

Kila mahali Aendapo anamwaga mbegu ya janga,

lakini kupitia kwayo Anatoa wokovu na kuonyesha upendo Wake.

Mungu anatamani kuwafanya watu zaidi kumjua, kumwona na kumheshimu.

Hawajamwona kwa muda mrefu, lakini sasa Yeye ni wa kweli kabisa.

II

Anapokuja chini katika taifa la joka kuu jekundu,

Mungu anageuka kuutazama ulimwengu na unaanza kutingika.

Je, kuna mahali popote ambapo hapatapata hukumu Yake?

Ama kuishi katika janga Analotoa?

Kila mahali Aendapo anamwaga mbegu ya janga,

lakini kupitia kwayo Anatoa wokovu na kuonyesha upendo Wake.

Mungu anatamani kuwafanya watu zaidi kumjua, kumwona na kumheshimu.

Hawajamwona kwa muda mrefu, lakini sasa Yeye ni wa kweli kabisa.

kutoka kwa "Tamko la Kumi" la Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka katika Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya


      Sikiliza zaidi: Nyimbo za dini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni