Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kanisa. Onyesha machapisho yote

10.05.2019

Kuna tofauti ipi kati ya mtu mwaminifu na mtu mdanganyifu?

Maneno Husika ya Mungu:

Nawathamini sana wale wasio na shaka kuhusu wengine na pia nawapenda sana wale wanaokubali ukweli kwa urahisi; kwa aina hizi mbili za wanadamu Ninaonyesha utunzaji mkubwa, kwani machoni Pangu wao ni waaminifu. Kama una udanganyifu mwingi, basi utakuwa na moyo wenye hadhari na mawazo ya shaka juu ya mambo yote na wanadamu wote. Kwa sababu hii, imani yako Kwangu inajengwa kwa msingi wa shaka. Imani kama hii ni moja ambayo kamwe Sitaitambua. Bila imani ya kweli, basi utakuwa mbali hata zaidi na upendo wa kweli. Na ikiwa unaweza kumshuku Mungu na kumkisia utakavyo, basi wewe bila shaka ni mdanganyifu zaidi kati ya wanadamu wengine.

10.04.2019

Mtu mdanganyifu ni nani? Kwa nini watu wadanganyifu hawawezi kuokolewa?

Maneno Husika ya Mungu:
Kama una udanganyifu mwingi, basi utakuwa na moyo wenye hadhari na mawazo ya shaka juu ya mambo yote na wanadamu wote. Kwa sababu hii, imani yako Kwangu inajengwa kwa msingi wa shaka. Imani kama hii ni moja ambayo kamwe Sitaitambua. Bila imani ya kweli, basi utakuwa mbali hata zaidi na upendo wa kweli. Na ikiwa unaweza kumshuku Mungu na kumkisia utakavyo, basi wewe bila shaka ni mdanganyifu zaidi kati ya wanadamu wengine.

9.24.2019

Ingawa wachungaji na wazee wa kanisa wanashikilia mamlaka katika ulimwengu wa kidini na wanaitembea njia ya Mafarisayo wanafiki, tunamwamini Bwana Yesu, sio wachungaji na wazee wa kanisa, kwa hiyo unawezaje kusema kwamba sisi pia tunaitembea njia ya Mafarisayo? Je, hatuwezi kuokolewa kwa kumwamini Mungu ndani ya dini?

Ingawa wachungaji na wazee wa kanisa wanashikilia mamlaka katika ulimwengu wa kidini na wanaitembea njia ya Mafarisayo wanafiki, tunamwamini Bwana Yesu, sio wachungaji na wazee wa kanisa, kwa hiyo unawezaje kusema kwamba sisi pia tunaitembea njia ya Mafarisayo? Je, hatuwezi kuokolewa kwa kumwamini Mungu ndani ya dini?

Jibu:
Kuna watu wengi katika dini ambao wanaamini na kuabudu bila kufikiria na kufuata Mafarisayo. Kwa hiyo kama njia wanayoenda ni njia ya Mafarisayo ni dhahiri mara tu unapofikiri juu yake. Unathubutu kusema kuwa unaabudu na kuwalinda Mafarisayo katika moyo wako lakini huna uhusiano na dhambi zao? Unathubutu kusema kuwa unawafuata Mafarisayo wanafiki, lakini wewe si kama wao, mtu anayepinga Mungu? Je, bado hatuwezi kung’amua swali rahisi kama hilo? Aina ya mtu unayefuata ni aina ya njia unayotembea. Ikiwa unawafuata Mafarisayo basi uko kwenye njia ya Mafarisayo. Ukitembea njia ya Mafarisayo basi wewe kiasili ni aina hiyo ya mtu kama Mafarisayo.

9.22.2019

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa wachungaji na wazee wa kanisa wamechaguliwa na kuwekwa na Bwana, na kwamba wote humtumikia Bwana katika makanisa ya kidini; tukiwafuata na kuwatii wachungaji na wazee wa kanisa, sisi kwa kweli tunamtii na kumfuata Bwana. Kwa mintarafu hasa ya maana ya kumtii mwanadamu na kumfuata mwanadamu, na kinachomaanishwa hasa maana na kumtii Mungu na kumfuata Mungu, watu wengi hawaelewi kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa wachungaji na wazee wa kanisa wamechaguliwa na kuwekwa na Bwana, na kwamba wote humtumikia Bwana katika makanisa ya kidini; tukiwafuata na kuwatii wachungaji na wazee wa kanisa, sisi kwa kweli tunamtii na kumfuata Bwana. Kwa mintarafu hasa ya maana ya kumtii mwanadamu na kumfuata mwanadamu, na kinachomaanishwa hasa maana na kumtii Mungu na kumfuata Mungu, watu wengi hawaelewi kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Jibu:
Katika dini, watu wengine hufikiri wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wote wamechaguliwa na kuwekwa na Bwana. Kwa hivyo, watu wanapaswa kuwatii. Je, mtazamo kama huu una msingi wowote katika Biblia? Je, umethibitishwa na neno la Bwana? Je, una ushuhuda wa Roho Mtakatifu na uthibitisho wa Roho Mtakatifu? Ikiwa majibu yote ni la, si basi imani ya walio wengi kuwa wachungaji na wazee wa kanisa wote wameteuliwa na kuwekwa imara na Bwana hutukia katika dhana na mawazo ya watu? Tufikirie hayo. Katika Enzi ya Sheria, Musa alichaguliwa na kuwekwa na Mungu. Je, hili lina maana kuwa viongozi wote Wayahudi wakati wa Enzi ya Sheria walikuwa wameteuliwa na kutayarishwa na Mungu? Katika Enzi ya Neema, Mitume 12 wa Bwana Yesu wote walichaguliwa na kupakwa mafuta na Bwana Yesu Mwenyewe.

9.19.2019

Mafarisayo mara kwa mara waliielezaBiblia kinaganaga kwa watu katika masinagogi, wakionekana kuwa wacha Mungu na wenye huruma, na kwa dhahiri hawakuonekana kufanya kitu chochote kinyume cha sheria. Kwa nini Mafarisayo walilaaniwa na Bwana Yesu? Unafiki wao ulidhihirishwaje? Kwa nini husemekana kwamba wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa hutembea njia sawa na Mafarisayo wanafiki?


Mafarisayo mara kwa mara waliielezaBiblia kinaganaga kwa watu katika masinagogi, wakionekana kuwa wacha Mungu na wenye huruma, na kwa dhahiri hawakuonekana kufanya kitu chochote kinyume cha sheria. Kwa nini Mafarisayo walilaaniwa na Bwana Yesu? Unafiki wao ulidhihirishwaje? Kwa nini husemekana kwamba wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa hutembea njia sawa na Mafarisayo wanafiki?

Jibu:
Watu wanaoamini katika Bwana wanajua kwamba Bwana Yesu kweli aliwachukia Mafarisayo na aliwalaani na kutamka dhiki saba juu yao. Hii ina maana sana katika kuruhusu waumini katika Bwana kutambua Mafarisayo wanafiki, kujitenga na utumwa na udhibiti wao na kupata wokovu wa Mungu. Hata hivyo, ni aibu. Waumini wengi hawawezi kutambua kiini cha unafiki wa Mafarisayo. Hata hawaelewi ni kwa nini Bwana Yesu aliwachukia na kuwalaani Mafarisayo sana. Leo tutazugumza kidogo kuhusu matatizo haya. Mafarisayo mara nyingi waliwafafanulia wengine Biblia katika sinagogi.

9.18.2019

Unashuhudia kuwa maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu katika Neno Laonekana katika Mwili ni maneno ya Mungu Mwenyewe, lakini tunaamini kuwa ni maneno ya mtu aliyepatiwa nuru na Roho Mtakatifu. Kwa hiyo, Kile ningependa kufuatilia ni, ni nini hasa tofauti kati ya maneno yanayoonyeshwa na Mungu mwenye mwili na maneno yaliyosemwa na mtu ambaye amepatiwa nuru na Roho Mtakatifu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa

Unashuhudia kuwa maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu katika Neno Laonekana katika Mwili ni maneno ya Mungu Mwenyewe, lakini tunaamini kuwa ni maneno ya mtu aliyepatiwa nuru na Roho Mtakatifu. Kwa hiyo, Kile ningependa kufuatilia ni, ni nini hasa tofauti kati ya maneno yanayoonyeshwa na Mungu mwenye mwili na maneno yaliyosemwa na mtu ambaye amepatiwa nuru na Roho Mtakatifu?

Jibu:
Yote ambayo Mwenyezi Mungu huonyesha ni ukweli, na Neno Laonekana katika Mwili kwa kweli ni matamshi ya Mwenyezi Mungu, ambaye ni kuja kwa mara ya pili kwa Bwana Yesu. Wote walio na moyo na roho watakikubali kikamilifu baada ya kuona neno Lake, watambue kwamba ni sauti ya Mungu, na kusujudu mbele ya Mungu. Hata hivyo, bado kuna baadhi ya watu wanaoamini kwamba maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho ni maneno tu yaliyoandikwa na mwanadamu aliyetiwa msukumo na Roho Mtakatifu, na hawaamini ni neno halisi la Mungu. Hili linaonyesha kwamba imani yetu kwa Mungu haimaanishi kumjua Mungu, kwamba hatuwezi kubainisha neno la Mungu kutoka kwa maneno ya mwanadamu, na kwamba zaidi ya hayo, hatuwezi kubainisha dhahiri maneno yanayokubaliana na ukweli kutoka kwa ukweli halisi.

9.17.2019

Unashuhudia kwamba Bwana Yesu amekwisha kurudi kama Mwenyezi Mungu mwenye mwili, ambaye huonyesha ukweli wote ambao humtakasa na kumwokoa wanadamu na ambaye hufanya kazi ya hukumu akianzia na familia ya Mungu, hivyo tunafaa kutambuaje sauti ya Mungu na tunafaa kuthibitishaje kwamba Mwenyezi Mungu ndiye hasa Yesu aliyerudi?

Unashuhudia kwamba Bwana Yesu amekwisha kurudi kama Mwenyezi Mungu mwenye mwili, ambaye huonyesha ukweli wote ambao humtakasa na kumwokoa wanadamu na ambaye hufanya kazi ya hukumu akianzia na familia ya Mungu, hivyo tunafaa kutambuaje sauti ya Mungu na tunafaa kuthibitishaje kwamba Mwenyezi Mungu ndiye hasa Yesu aliyerudi?

Jibu:
Swali ni la umuhimu mkubwa sana. Kukubali kazi ya Mungu ya siku za mwisho, na kutazama kuonekana kwa Mungu, lazima tujue jinsi ya kutambua sauti ya Mungu. Kwa Kweli, kutambua sauti ya Mungu kumaanisha kufahamu maneno na matamshi ya Mungu, na kufahamu zile sifa bainifu za maneno ya Muumba. Bila kujali kama maneno ya Mungu aliyepata mwili, au matamshi ya Roho wa Mungu, yote ni maneno yaliyonenwa na Mungu kwa mwanadamu kutoka juu sana. Sauti na sifa bainifu ya maneno ya Mungu ni namna hiyo. Hapa, mamlaka na utambulisho ya Mungu vimebainishwa kwa dhahiri. Hii, inaweza kusemwa, ni njia ya pekee ambayo Muumba hunena. Matamshi ya Mungu kila wakati Yeye huwa mwili bila shaka hufikia maeneo mengi.

8.24.2019

Wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa mara nyingi huwahubiria waumini kwamba mahubiri yoyote yanayosema kwamba Bwana amekuja katika mwili ni uongo. Wao hutegemeza hili aya za Biblia: “Basi iwapo mtu yeyote atawaambia, Tazameni, Kristo yuko huku, au yuko pale; msiamini hili. Kwa kuwa wataibuka Makristo wasio wa kweli, na manabii wasio wa kweli, nao wataonyesha ishara kubwa na vioja; ili kwamba, ikiwezekana, watawadanganya walio wateule zaidi” (Mathayo 24: 23-24). Sasa hatuna habari tunavyofaa kumtambua Kristo wa kweli kutoka kwa wale wa uongo, hivyo tafadhali jibu swali hili.

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa

Wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa mara nyingi huwahubiria waumini kwamba mahubiri yoyote yanayosema kwamba Bwana amekuja katika mwili ni uongo. Wao hutegemeza hili aya za Biblia: “Basi iwapo mtu yeyote atawaambia, Tazameni, Kristo yuko huku, au yuko pale; msiamini hili. Kwa kuwa wataibuka Makristo wasio wa kweli, na manabii wasio wa kweli, nao wataonyesha ishara kubwa na vioja; ili kwamba, ikiwezekana, watawadanganya walio wateule zaidi” (Mathayo 24: 23-24). Sasa hatuna habari tunavyofaa kumtambua Kristo wa kweli kutoka kwa wale wa uongo, hivyo tafadhali jibu swali hili.

Jibu:
Bwana Yesu kweli alitabiri kwamba kungekuwa na Kristo wa uongo na manabii wa uongo katika siku za mwisho. Huu ni ukweli. Lakini Bwana Yesu pia alitabiri wazi mara nyingi kwamba Atarudi. Hakika tunaamini hivyo? Wakati wa kuchunguza unabii wa Bwana Yesu kurudi, watu wengi huupa kipaumbele wasiwasi wao wa Kristo wa uongo na manabii wa uongo. na kutotilia maanani jinsi ya kukaribisha kuwasili kwa bwana harusi, na jinsi ya kusikia sauti ya bwana harusi. Suala ni lipi hapa? Je, si hili ni jambo la kula kwa hofu ya kusongwa, ya kuwa mwenye busara katika umaskini na kuwa mjinga utajirini?

8.22.2019

Unashuhudia kwamba Mungu amekuwa mwili na kuwa Mwana wa Adamu ili kufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, na bado wengi wa wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanakiri kwamba Bwana atarudi akija na mawingu, na wanategemeza hili hasa aya za Biblia: “Huyu Yesu … atakuja kwa namna hiyo hiyo ambayo mmemuona akienda mbinguni” (Matendo 1:11). “Tazama, anakuja na mawingu; nalo kila jicho litamwona yeye” (Ufunuo 1:7). Na zaidi ya hayo, wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa pia hutufundisha kwamba Bwana Yesu yeyote asiyekuja na mawingu ni wa uongo na lazima aachwe. Kwa hiyo hatuna uhakika kama mtazamo huu unakubaliana na Biblia; ni sahihi kuchukua huu kama ukweli au la?

Unashuhudia kwamba Mungu amekuwa mwili na kuwa Mwana wa Adamu ili kufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, na bado wengi wa wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanakiri kwamba Bwana atarudi akija na mawingu, na wanategemeza hili hasa aya za Biblia: “Huyu Yesu … atakuja kwa namna hiyo hiyo ambayo mmemuona akienda mbinguni” (Matendo 1:11). “Tazama, anakuja na mawingu; nalo kila jicho litamwona yeye” (Ufunuo 1:7). Na zaidi ya hayo, wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa pia hutufundisha kwamba Bwana Yesu yeyote asiyekuja na mawingu ni wa uongo na lazima aachwe. Kwa hiyo hatuna uhakika kama mtazamo huu unakubaliana na Biblia; ni sahihi kuchukua huu kama ukweli au la?

Jibu:
Ikija kwa kungoja kushuka kwa Bwana na mawingu, lazima tusitegemee mawazo ya mwanadamu na fikira! Mafarisayo walifanya kosa kubwa kwa kungoja kufika kwa Masiha. Walitumia kabisa mawazo na fikira ya mwanadamu kumtathmini Bwana Yesu ambaye alisharudi tayari. Mwishowe, walimsulubisha Bwana Yesu msalabani. Je, huu sio ukweli? Je, kungoja kufika kwa Bwana ni rahisi kama tufikiriavyo? Ikiwa Bwana atarudi na kufanya kazi kati ya binadamu kama jinsi Bwana Yesu kwa mwili Alikuwa Amefanya, na hatumtambui Yeye, basi pia sisi tutamhukumu na kumshutumu Yeye kama vile Mafarisayo walivyofanya na kumsulubisha Yeye mara nyingine? Je, huu ni uwezekano? Bwana Yesu alitabiri kuwa Atarudi na Akasema maneno mengi kuihusu, lakini nyinyi mnashikilia tu unabii kuwa Bwana atashuka na mawingu na hamtafuti na kuchunguza nabii zingine muhimu zilizoongelewa na Bwana.

8.20.2019

Unyakuo wa kweli ni nini?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,Kanisa

XX. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Unyakuo ni nini na Maana Halisi ya Kuinuliwa Mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu

Unyakuo wa kweli ni nini?

Aya za Biblia za Kurejelea:
Na kukawa na kelele saa sita ya usiku, Tazama, anakuja bwana arusi; ondokeni nje ili kumkaribisha. … na wale waliokuwa tayari wakaingia ndani na yeye kwa harusi: nao mlango ukafungwa” (Mathayo 25:6, 10).
Tazama, nimesimama mlangoni, na kupiga hodi: mtu yeyote akisikia sauti yangu, na aufungue mlango, Mimi nitaingia kwake, na nitakula na yeye, na yeye na Mimi” (Ufunuo 3:20).
Andika, Wamebarikiwa wale wanaoitwa katika karamu ya arusi ya Mwanakondoo” (Ufunuo 19:9).

8.03.2019

Kwa nini inasemekana kwamba wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wote wanaitembea njia ya Mafarisayo? Ni nini asili yao?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa

XV. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Jinsi ya Kutambua Asili ya Mafarisayo na ya Ulimwengu wa kidini ambao Humkana Mungu

Kwa nini inasemekana kwamba wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wote wanaitembea njia ya Mafarisayo? Ni nini asili yao?


Aya za Biblia za Kurejelea:
“Naye akaanza kuzungumza nao kwa kutumia mifano. Mtu fulani alipanda shamba la mizabibu, naye akalizingira kwa ugo, naye akachimba mahala pa shinikizo ya zabibu, naye akaunda mnara, naye akalipanga kwa wakulima, na kuenda katika nchi ya mbali. Na kwa majira yake akamtuma mtumishi kwa wakulima wale, ili aweze kupata matunda ya shamba hilo la mizabibu kutoka kwa wakulima. Nao wakamkamata, na kumpiga, na kumtoa humo bila chochote. Na tena akamtuma mtumishi mwingine; nao wakamtupia mawe, na kumjeruhi kichwani, na kumwondoa humo kwa aibu.

7.27.2019

Kuna tofauti ipi kati ya maneno ya watu wanaotumiwa na Mungu kote katika enzi zote ambayo yanakubaliana na ukweli na maneno ya Mungu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa

XII. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Wanawali Wenye Busara Wakiisikia Sauti ya Mungu

Kuna tofauti ipi kati ya maneno ya watu wanaotumiwa na Mungu kote katika enzi zote ambayo yanakubaliana na ukweli na maneno ya Mungu?


Maneno Husika ya Mungu:
Ukweli unatoka katika ulimwengu wa mwanadamu, na bado ukweli katika mwanadamu unapitishwa na Kristo. Unaanzia kwa Kristo, yaani, kutoka kwa Mungu mwenyewe, na hauwezi kufikiwa na mwanadamu.
kutoka katika “Mafanikio au Kushindwa Kunategemea Njia Ambayo Mwanadamu Hutembea” katika Neno Laonekana katika Mwili
Ukweli ndio halisi zaidi katika methali zote za maisha, na ni mkuu kabisa kuliko methali hizo miongoni mwa wanadamu wote. Kwa sababu ni matakwa ambayo Mungu anayataka kwa mwanadamu, na ni kazi ambayo inafanywa na Mungu mwenyewe, hivyo inaitwa methali ya maisha.

7.21.2019

Dunia ya kidini inaamini kwamba maandiko yote yametolewa na msukumo wa Mungu na yote ni maneno ya Mungu; mtu anafaaje kuwa na utambuzi mintarafu ya kauli hii?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa

XI. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Uhusiano kati ya Mungu na Biblia

Dunia ya kidini inaamini kwamba maandiko yote yametolewa na msukumo wa Mungu na yote ni maneno ya Mungu; mtu anafaaje kuwa na utambuzi mintarafu ya kauli hii?


Maneno Husika ya Mungu:
Si kila kitu katika Biblia ni rekodi ya maneno aliyoyasema Mungu. Kimsingi Biblia inaandika hatua mbili za awali za kazi ya Mungu, ambapo sehemu moja ni rekodi ya utabiri wa kale wa manabii, na sehemu nyingine ni uzoefu na maarifa yaliyoandikwa na watu waliotumiwa na Mungu katika enzi zote. Uzoefu wa kibinadamu umetiwa doa na maoni na maarifa ya kibinadamu, kitu ambacho hakiepukiki. Katika vitabu vingi vya Biblia kuna dhana nyingi za kibinadamu, upendelevu wa binadamu, na ufasiri wa ajabu wa binadamu.

1.20.2019

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (1) - Umeme wa Mashariki Laitikisa Dunia ya Kidini


"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (1) - Umeme wa Mashariki Laitikisa Dunia ya Kidini


       Umeme wa Mashariki—kuonekana na kazi ya Mungu katika siku za mwisho limetikisa makundi na madhehebu yote, na kila aina ya wanadamu wamefichuliwa. Kondoo wengi wazuri katika kanisa wangependelea kuteseka kukamatwa kusikodhibitiwa na kuteswa na Chama cha Kikomunisti cha China ili tu kutafuta na kuchunguza Umeme wa Mashariki.

1.09.2019

Swahili Gospel Video 2018 | "Nuru ya Mapambazuko"



      Kama mtoto, Yangwang aliwafuata wazazi wake katika imani yao kwa Bwana, na kama mtu mzima alihudumia Bwana kanisani. Mnamo 2013, kanisa lake lilijiunga na Baraza la Makanisa Ulimwenguni ambalo hutetea uunganishwaji wa kanisa kote ulimwenguni na wingi wa dini.

1.04.2019

Filamu za Kikristo | "Mazungumzo" | Christian Testimony of Overcoming Satan



     Jiang Xinyi na Wakristo wengine walikamatwa na serikali ya CCP; wao huwatesa Wakristo kwa ukatili ili kutwaa fedha za kanisa na kuwakamata viongozi zaidi wa kanisa.

1.01.2019

Latest Swahili Christian Video "Nuru ya Kweli Yaonekana" | The Good News From God

    
     Gangqiang ni Mkristo. Aliona namna upendo wa Bwana na huruma Yake kwa binadamu vilivyo vikubwa, na akaamua mara nyingi kwamba angempenda Bwana, kumridhisha Bwana, kutekeleza neno la Bwana, na kuwa na mwenendo wake binafsi kama mtu anayesifiwa na Bwana.

12.31.2018

Swahili Christian Movie | Nyendo za Mateso ya Kidini | "Saa ya Giza Kabla ya Mapambazuko"


        Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakachukua ngawira na kuchoma nakala nyingi za Biblia, wakafunga kabisa na kubomoa majengo ya kanisa, na bila mafanikio wakajaribu kukomesha makanisa yote ya nyumbani.

12.25.2018

Umeme wa Mashariki | Sura ya 97

Mwenyezi Mungu alisema, Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila mtu na kila jambo ili watu wote kutoka mwisho mmoja wa ulimwengu hadi mwingine wataona kwa macho yao wenyewe, la sivyo Sitaacha kamwe. Ghadhabu Yangu imemwagwa kikamilifu na hakuna hata chembe imezuiwa. Inaelekezwa kwa kila mtu mmoja ambaye anakubali jina hili (hivi karibuni itageuzwa juu ya mataifa yote ya dunia). Na ghadhabu Yangu ni nini? 

12.22.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 53

       Mimi ndiye mwanzo, na Mimi ndiye mwisho. Mimi ndiye Mungu mmoja wa kweli aliyefufuka na kamili. Nasema maneno Yangu mbele yenu, na lazima muamini Ninachosema kwa thabiti. Mbingu na dunia zinaweza kupita lakini hakuna herufi moja au mstari mmoja wa kile Ninachosema kitawahi kupita. Kumbuka hili! Kumbuka hili! Punde ambapo Nimesema, hakuna neno hata moja limewahi kurudishwa na kila neno litatimizwa.