Inaonyesha machapisho ya hoja yaliyopangwa kwa uhusiano Kanisa. Panga kwa tarehe Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho ya hoja yaliyopangwa kwa uhusiano Kanisa. Panga kwa tarehe Onyesha machapisho yote

4.18.2018

New Swahili Gospel Movie "Mji Utaangushwa" | Hukumu katika Siku za Mwisho

New Swahili Gospel Movie "Mji Utaangushwa" | Hukumu katika Siku za Mwisho


    Cheng Huize ni mfanyakazi mwenzi katika kanisa la nyumba huko China. Ameamini katika Bwana kwa miaka mingi, na amefanya kazi kwa ajili ya Bwana kwa shauku thabiti. Yeye hujitwisha majukumu mengi kwa ajili ya kanisa, na ana huruma kwa ndugu zake. Kanisa lake lilipokua na ukiwa zaidi na zaidi kila siku, uovu katika kanisa lake ulionekana mara kwa mara zaidi na zaidi.

2.28.2018

Tumeona mazungumzo mengi kwa mtandao na serikali ya Kikomunisti ya Kichina na ulimwengu wa kidini wakilisingizia, kulikashifu, kulishambulia na kulitahayarisha Kanisa la Mwenyezi Mungu (kama vile “tukio la 5.28” huko Zhaoyuan, jimbo la Shandong). Tunajua pia kuwa CCP ni bora mno kwa kudanganya na kunena uongo na kupinda ukweli ili kuwahadaa watu, na vilevile kuwa bora sana katika kuyakashifu, kuyashambulia na kuyahukumu yale mataifa ambayo ina chuki kwayo, hivyo neno lolote ambalo CCP husema ni lazima lisiaminiwe kabisa. Lakini mambo mengi yanayosemwa na wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa ni sawa na yale ambayo CCP huyasema, hivyo ni jinsi gani tunafaa kutambua maneno ya kashfa, ya kutahayarisha yanayotoka kwa CCP na ulimwengu wa kidini?



Tumeona mazungumzo mengi kwa mtandao na serikali ya Kikomunisti ya Kichina na ulimwengu wa kidini wakilisingizia, kulikashifu, kulishambulia na kulitahayarisha Kanisa la Mwenyezi Mungu (kama vile “tukio la 5.28” huko Zhaoyuan, jimbo la Shandong). Tunajua pia kuwa CCP ni bora mno kwa kudanganya na kunena uongo na kupinda ukweli ili kuwahadaa watu, na vilevile kuwa bora sana katika kuyakashifu, kuyashambulia na kuyahukumu yale mataifa ambayo ina chuki kwayo, hivyo neno lolote ambalo CCP husema ni lazima lisiaminiwe kabisa. Lakini mambo mengi yanayosemwa na wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa ni sawa na yale ambayo CCP huyasema, hivyo ni jinsi gani tunafaa kutambua maneno ya kashfa, ya kutahayarisha yanayotoka kwa CCP na ulimwengu wa kidini?

Jibu:

Kwa nini nguvu ovu za Shetani zinashambulia kazi ya Mungu sana, kuhukumu kazi ya Mungu hivyo? Kwa nini nguvu ovu za joka kubwa jekundu zinamshambulia na kumshutumu Mungu kwa mhemuko, na kukandamiza kanisa Lake? Kwa nini nguvu zote ovu za Shetani, vikiwemo vikundi vinavyompinga Kristo ndani ya jamii za dini, zinamshutumu Mwenyezi Mungu? Ni kwa sababu Shetani anajua kwamba mwisho wake unakaribia, kwamba Mungu tayari ameupata ufalme Wake na ufalme umefika duniani, na kwamba ataangamia mara moja asiposhiriki katika vita vya kuamua mshindi na mshinde dhidi ya Mungu. Je, umeelewa ukweli huu? Mara wanaposikia shutuma za mhemuko za serikali ya Kikomunisti ya China za kazi ya Mwenyezi Mungu, watu wengi waliokanganywa wanafikiri kwamba haiwezekani hii kuwa njia ya kweli. Mara wanapoona shutuma iliyosambaa kutoka kwa wachungaji na wazee wa jamii za dini, wanafikiri kwamba hii hakika si njia ya kweli. 

7.05.2018

30. Tafakuri kuhusu Kubadilishwa

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki, Kanisa

30. Tafakuri kuhusu Kubadilishwa

Yi Ran    Mji wa Laiwu , Mkoa wa Shandong
Wakati fulani awali, kwa sababu yangu kutoelewa kanuni iliyotumiwa na kanisa ya masahihisho ya wafanyakazi wa kanisa, wakati kanisa lilibadilisha kiongozi, dhana iliibuka ndani yangu. Kutoka kwa kile nilichoweza kuona, dada aliyebadilishwa alikuwa mzuri sana kwa kupokea na kushirikiana ukweli, na aliweza kuwa wazi juu ya maonyesho yake ya upotovu.

6.21.2018

25. Umuhimu wa Uratibu Katika Huduma

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,Kanisa, hukumu

25. Umuhimu wa Uratibu Katika Huduma

Mei Jie    Jijini Jinan, Mkoani Shandong
Baada ya kubadilisha uongozi wa kanisa kurudi kwa ule wa asili, ubia uliwekwa kwa kila ngazi ya kiongozi katika nyumba ya Mungu. Wakati huo, nilifikiri kwamba huu ulikuwa mpangilio mzuri. Nilikuwa wa ubora wa tabia wa chini na nilikuwa na kazi nyingi; kwa kweli nilihitaji mbia wa kunisaidia kukamilisha kila aina ya kazi katika eneo langu. 

1.17.2018

2. Utangulizi Mfupi Kuhusu Usuli wa Kuonekana kwa Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho Nchini China

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

2. Utangulizi Mfupi Kuhusu Usuli wa Kuonekana kwa Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho Nchini China
China ni nchi ambamo joka kubwa jekundu hukaa, na ni mahali ambapo pamempinga na kumshutumu Mungu zaidi sana katika historia. China ni kama ngome ya mapepo na gereza linalodhibitiwa na shetani, lisilopenyeka na lisiloingilika. Zaidi ya hayo, utawala wa joka kubwa jekundu husimama ukilinda katika ngazi zote na umeanzisha ulinzi katika kila kaya. Matokeo yake, hakuna mahali pagumu zaidi ya hapa kueneza injili ya Mungu na kufanya kazi ya Mungu.

6.01.2018

17. Matunda Machungu ya Kiburi

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mungu, Umeme wa Mashariki

17. Matunda Machungu ya Kiburi

Hu Qing Jijini Suzhou, Mkoani Anhui
Nilipoona maneno ya Mungu yakisema: “Wale miongoni mwenu ambao huhudumu kama viongozi daima hutaka kuwa na ubunifu mkubwa, kuwa wazuri kuliko wengine, kupata hila mpya ili Mungu aweze kuona jinsi kweli mlivyo viongozi wakuu. … Nyinyi daima hutaka kuringa; si huu ni ufunuo kwa usahihi wa asili ya kiburi?

2.19.2018

Onyo kwa Wale Wasioweka Ukweli katika Vitendo

Onyo kwa Wale Wasioweka Ukweli katika Vitendo

Mwenyezi Mungu alisema, Wale miongoni mwa ndugu na dada ambao daima hueneza ubaya wao ni vibaraka wa Shetani na hulivuruga kanisa. Watu hawa lazima siku moja wafukuzwe na kuondolewa.

9.05.2018

Utofautishaji Kati ya Njia za Kweli na za Uongo, na Kati ya Makanisa ya Kweli na ya Uongo

Sura ya 6 Aina Mbalimbali za Utofautishaji Ambazo Unafaa Kumiliki katika Kusadiki Kwako kwa Mungu

Utofautishaji Kati ya Njia za Kweli na za Uongo, na Kati ya Makanisa ya Kweli na ya Uongo

Maneno Husika ya Mungu:

Kanuni ya msingi kabisa katika kuutafuta ukweli ni nini? Unapaswa kuangalia kama kuna kazi ya Roho Mtakatifu au la kwa njia hii, iwapo maneno haya ni maonyesho ya ukweli, yanamshuhudia nani, na ni kitu gani yanaweza kukupatia. Kutofautisha kati ya njia ya kweli na hizi njia za uongo kunahitaji njia kadhaa za maarifa ya msingi, ya msingi kabisa kati ya zote ni kusema iwapo kuna Kazi ya Roho Mtakatifu au la. Maana kiini cha imani ya mwanadamu katika Mungu ni imani katika Roho Mtakatifu. Hata imani yake katika Mungu mwenye mwili ni kwa sababu mwili huu ni mfano halisi wa Roho wa Mungu, ikiwa na maana kwamba imani hiyo bado ni imani katika Roho. 

3.29.2018

"Ivunje Laana" (6) - Je, Utiifu kwa Wachungaji na Wazee wa Kanisa ni Sawa na Kumtii Mungu?

 "Ivunje Laana" (6) - Je, Utiifu kwa Wachungaji na Wazee wa Kanisa ni Sawa na Kumtii Mungu?


Waumini wengine huamini kwamba wachungaji na wazee wa kanisa wa ulimwengu wa kidini wamechaguliwa na kuteuliwa na Bwana, na kwamba wote ni watu wanaomtumikia Bwana. Hivyo wanaamini kwamba kuwatii tu wachungaji na wazee wa kanisa ni kumtii Bwana, na kwamba kuwaasi au kuwahukumu wachungaji na wazee wa kanisa ni kumpinga Bwana.

1.17.2018

3. Asili na Maendeleo ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki

3. Asili na Maendeleo ya Kanisa la Mwenyezi Mungu
Katika Enzi ya Neema, Bwana Yesu aliwaahidi wafuasi wake, “Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali, nitakuja tena niwakaribishe kwangu; ili nilipo mimi, nanyi muwepo.” (Yohana 14:3) Kadhalika Alitabiri, “Kwa maana kama umeme utokavyo mashariki, na kumulika hata magharibi; hivyo ndivyo ujio wake Mwana wa Adamu utakavyokuwa.” (Mathayo 24:27) Katika siku za mwisho, kama ilivyoahidiwa na kutabiriwa na Yeye, Mungu tena Amekuwa mwili na kushukia Mashariki ya dunia—China—kufanya kazi ya kuhukumu, kuadibu, ushindi, na wokovu Akitumia neno, kwa msingi wa kazi ya ukombozi ya Bwana Yesu.

12.14.2019

Matendo maovu ni yapi? Maonyesho ya matendo maovu ni yapi?

Maneno Husika ya Mungu:


Ni kiwango kipi ambacho kulingana nacho matendo ya mtu yanatathminiwa kuwa mema au mabaya? Inategemea na iwapo katika fikira, maonyesho, na matendo yako, una ushuhuda wa kutia ukweli katika vitendo na wa kuishi kwa kudhihirisha uhalisi wa ukweli au la. Ikiwa huna uhalisi huu au huishi kwa kudhihirisha hili, basi bila shaka wewe ni mtenda maovu.

11.17.2017

2. Utangulizi Mfupi Kuhusu Usuli wa Kuonekana kwa Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho Nchini China

2. Utangulizi Mfupi Kuhusu Usuli wa Kuonekana kwa Kazi ya Kristo wa Siku za Mwisho Nchini China

China ni nchi ambamo joka kubwa jekundu hukaa, na ni mahali ambapo pamempinga na kumshutumu Mungu zaidi sana katika historia. China ni kama ngome ya mapepo na gereza linalodhibitiwa na shetani, lisilopenyeka na lisiloingilika. Zaidi ya hayo, utawala wa joka kubwa jekundu husimama ukilinda katika ngazi zote na umeanzisha ulinzi katika kila kaya.

9.22.2019

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa wachungaji na wazee wa kanisa wamechaguliwa na kuwekwa na Bwana, na kwamba wote humtumikia Bwana katika makanisa ya kidini; tukiwafuata na kuwatii wachungaji na wazee wa kanisa, sisi kwa kweli tunamtii na kumfuata Bwana. Kwa mintarafu hasa ya maana ya kumtii mwanadamu na kumfuata mwanadamu, na kinachomaanishwa hasa maana na kumtii Mungu na kumfuata Mungu, watu wengi hawaelewi kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa wachungaji na wazee wa kanisa wamechaguliwa na kuwekwa na Bwana, na kwamba wote humtumikia Bwana katika makanisa ya kidini; tukiwafuata na kuwatii wachungaji na wazee wa kanisa, sisi kwa kweli tunamtii na kumfuata Bwana. Kwa mintarafu hasa ya maana ya kumtii mwanadamu na kumfuata mwanadamu, na kinachomaanishwa hasa maana na kumtii Mungu na kumfuata Mungu, watu wengi hawaelewi kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Jibu:
Katika dini, watu wengine hufikiri wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wote wamechaguliwa na kuwekwa na Bwana. Kwa hivyo, watu wanapaswa kuwatii. Je, mtazamo kama huu una msingi wowote katika Biblia? Je, umethibitishwa na neno la Bwana? Je, una ushuhuda wa Roho Mtakatifu na uthibitisho wa Roho Mtakatifu? Ikiwa majibu yote ni la, si basi imani ya walio wengi kuwa wachungaji na wazee wa kanisa wote wameteuliwa na kuwekwa imara na Bwana hutukia katika dhana na mawazo ya watu? Tufikirie hayo. Katika Enzi ya Sheria, Musa alichaguliwa na kuwekwa na Mungu. Je, hili lina maana kuwa viongozi wote Wayahudi wakati wa Enzi ya Sheria walikuwa wameteuliwa na kutayarishwa na Mungu? Katika Enzi ya Neema, Mitume 12 wa Bwana Yesu wote walichaguliwa na kupakwa mafuta na Bwana Yesu Mwenyewe.

11.23.2018

Tamko la Kumi na Tisa

Kazi ya Roho Mtakatifu inapoendelea mbele, Mungu kwa mara nyingine tena ametuingiza katika mbinu mpya ya kazi ya Roho Mtakatifu. Matokeo yake, haiepukiki kwamba baadhi ya watu wamenielewa Mimi vibaya na kufanya malalamiko Kwangu. Wengine wamenipinga na kunikataa Mimi, na wamenichunguza Mimi.

6.19.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini na Saba

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini na Saba


Kotekote katika enzi, kazi yote Niliyoifanya—kila hatua ya kazi hiyo—imekuwa na mbinu Zangu zinazofaa za kazi. Ni kwa sababu ya hili ndio watu Wangu wapendwa wamekuwa watakatifu zaidi na zaidi, na wa kufaa zaidi na zaidi kwa matumizi Yangu. Kwa sababu hiyo hiyo, hata hivyo, jambo la kusikitisha ni kwamba kadri mbinu Zangu za kazi zinavyoongezeka, idadi ya watu inapungua, ambalo husababisha watu kuzama katika kutafakari. Bila shaka, Kazi Yangu leo sio tofauti na watu wengi wamejikuta tena katika kutafakari, kwa hiyo kwa sababu ya mabadiliko ya mbinu Zangu, kuna sehemu ya watu ambao watajiondoa.

9.19.2019

Mafarisayo mara kwa mara waliielezaBiblia kinaganaga kwa watu katika masinagogi, wakionekana kuwa wacha Mungu na wenye huruma, na kwa dhahiri hawakuonekana kufanya kitu chochote kinyume cha sheria. Kwa nini Mafarisayo walilaaniwa na Bwana Yesu? Unafiki wao ulidhihirishwaje? Kwa nini husemekana kwamba wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa hutembea njia sawa na Mafarisayo wanafiki?


Mafarisayo mara kwa mara waliielezaBiblia kinaganaga kwa watu katika masinagogi, wakionekana kuwa wacha Mungu na wenye huruma, na kwa dhahiri hawakuonekana kufanya kitu chochote kinyume cha sheria. Kwa nini Mafarisayo walilaaniwa na Bwana Yesu? Unafiki wao ulidhihirishwaje? Kwa nini husemekana kwamba wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa hutembea njia sawa na Mafarisayo wanafiki?

Jibu:
Watu wanaoamini katika Bwana wanajua kwamba Bwana Yesu kweli aliwachukia Mafarisayo na aliwalaani na kutamka dhiki saba juu yao. Hii ina maana sana katika kuruhusu waumini katika Bwana kutambua Mafarisayo wanafiki, kujitenga na utumwa na udhibiti wao na kupata wokovu wa Mungu. Hata hivyo, ni aibu. Waumini wengi hawawezi kutambua kiini cha unafiki wa Mafarisayo. Hata hawaelewi ni kwa nini Bwana Yesu aliwachukia na kuwalaani Mafarisayo sana. Leo tutazugumza kidogo kuhusu matatizo haya. Mafarisayo mara nyingi waliwafafanulia wengine Biblia katika sinagogi.

3.10.2018

Umeme wa Mashariki | Swahili Gospel Movie "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni"

Umeme wa Mashariki |  Swahili Gospel Movie "Ndoto Yangu ya Ufalme wa Kibinguni"


Song Ruiming ni mchungaji wa kanisa huko Korea Kusini. Kama mfuasi wa dhati wa Bwana kwa miaka mingi, amekuwa akifuatilia imani yake kwa bidii sana na kumfanyia kazi Bwana huku akisubiri kuinuliwa hadi katika ufalme wa mbinguni Bwana atakaporudi. Katika miaka ya hivi karibuni, amekuwa akihisi kuchanganyikiwa sana na mwenye udhaifu anapokuwa akiona kwamba Kanisa halina kazi ya Roho Mtakatifu na linazidi kuwa na ukiwa.

2.19.2018

Latest Swahili Gospel Movie "Wakati Wa Mabadiliko"


Latest Swahili Gospel Movie "Wakati Wa Mabadiliko"


Gospel Latest Movie Video Swahili “Wakati Wa Mabadiliko” | Isikilize Sauti ya Mungu na Uinuliwe Kwenda Katika Ufalme wa Mbinguni

Su Mingyue ni mhubiri wa kanisa la nyumbani huko bara China. Kwa miaka, amekuwa mtumishi aliyejitolea wa Bwana anayesisitiza kufanya kazi ya kuhubiri kwa ajili ya Bwana na kubeba mzigo wa kazi kwa ajili ya kanisa.

10.11.2018

Matamshi ya Kristo | Sura ya 10


Katika wakati wa ujenzi wa kanisa, Mungu alitaja ujenzi wa kanisa kwa nadra. Hata Alipotaja, Alifanya hivyo katika lugha ya wakati wa ujenzi wa kanisa. Mara tu Enzi ya Ufalme ilipokuja, Mungu alifuta mbinu na wasiwasi nyingine za wakati wa ujenzi wa kanisa mara mmoja na Hakuwahi tena kusema hata neno moja kuuhusu. Hii hasa ni maana ya msingi ya “Mungu Mwenyewe” ambaye daima ni mpya na kamwe si mzee. Hata kama vitu vilifanywa vizuri katika siku za zamani, kwa kadri vilivyo sehemu ya enzi iliyopita, Mungu anaviweka vitu kama hivyo katika kundi la vitu vinavyotokea katika wakati kabla ya Kristo, huku wakati wa sasa ukijulikana kama wakati wa “baada ya Kristo[a].” 

5.26.2018

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!

Kanisa la Mwenyezi Mungu, ukweli, Umeme wa Mashariki

70. Kazi ya Mungu ni Ya Hekima Sana!

Shiji    Jiji la Ma’anshan , Mkoa wa Anhui
Wakati wa kufanya kazi kwangu kama kiongozi katika kanisa, kiongozi wangu mara nyingi angeshirikiana mifano ya kushindwa kwa wengine ili kutumikia kama somo kwetu. Kwa mfano: Viongozi wengine walizungumza tu kuhusu elimu na mafundisho lakini walikosa kutaja upotovu wao au kuwasiliana kwa karibu kuhusiana na ufahamu wao wa jinsi ukweli unavyotumika kwa ukweli.