Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu. Onyesha machapisho yote

10.09.2019

Ni nini maana ya “acha kila kitu nyuma na kumfuata Mungu”?

Ni nini maana ya “acha kila kitu nyuma na kumfuata Mungu”?

Maneno Husika ya Mungu:
Unaweza kuutoa moyo wako na mwili na upendo wako wote wa kweli kwa Mungu, uyaweke mbele Zake, kuwa mtiifu kabisa Kwake, na kufikiria kabisa mapenzi Yake. Si kwa ajili ya mwili, si kwa ajili ya familia, wala si kwa ajili ya matamanio yako mwenyewe, bali ni kwa ajili ya maslahi ya nyumba ya Mungu. Katika kila kitu unaweza kuchukua neno la Mungu kama kanuni, kama msingi. Hivyo, malengo yako na mtazamo wako yote yatakuwa mahali sahihi, na utakuwa mtu ambaye anapata sifa za Mungu mbele Zake.

9.09.2019

Bwana Yesu alitundikwa msalabani kama sadaka ya dhambi kwa mwanadamu, na hivyo akitukomboa kutoka kwa dhambi. Tukipotea kutoka kwa Bwana Yesu na kumwamini Mwenyezi Mungu, si huu utakuwa usaliti wa Bwana Yesu? Si huu utakuwa uasi?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,hukumu

Bwana Yesu alitundikwa msalabani kama sadaka ya dhambi kwa mwanadamu, na hivyo akitukomboa kutoka kwa dhambi. Tukipotea kutoka kwa Bwana Yesu na kumwamini Mwenyezi Mungu, si huu utakuwa usaliti wa Bwana Yesu? Si huu utakuwa uasi?

Jibu:
Katika siku za mwisho sasa, wakati ambapo Mungu amefanya kazi mpya na kuchukua jina jipya, tunamsaliti Mungu au tunaenda mwendo sawa na kazi ya Mungu? tulipoliacha jina la Yesu na kukubali jina la Mwenyezi Mungu? Mungu anapoanzisha kazi mpya, mwanadamu anaweza tu kuokolewa kwa kuenda mwendo sawa na kazi ya Mungu. Hii ni kweli. Tunaweza kuona kutoka kwa neno la Mwenyezi Mungu, sababu ya Mungu kuchukua jina “Mwenyezi Mungu” ilihusiana na kazi inayofanywa katika siku za mwisho na tabia inayoonyeshwa na Mungu. Mwenyezi Mungu asema, “Mungu Anapopata mwili mara hii, kazi Yake ni kuonyesha tabia Yake, kimsingi kupitia kuadibu na hukumu.

9.06.2019

Unashuhudia kuwa katika siku za mwisho Mungu hufanya kazi Yake ya hukumu ili kumtakasa na kumwokoa mwanadamu kabisa, lakini baada ya kusoma maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu, ninaona kwamba baadhi yayo humhukumu na kumlaani mwanadamu. Kama Mungu humhukumu na kumlaani mwanadamu, si basi mwanadamu atapatwa na adhabu? Na unawezaje kusema kwamba aina hii ya hukumu huwatakasa na kuwaokoa wanadamu?

Unashuhudia kuwa katika siku za mwisho Mungu hufanya kazi Yake ya hukumu ili kumtakasa na kumwokoa mwanadamu kabisa, lakini baada ya kusoma maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu, ninaona kwamba baadhi yayo humhukumu na kumlaani mwanadamu. Kama Mungu humhukumu na kumlaani mwanadamu, si basi mwanadamu atapatwa na adhabu? Na unawezaje kusema kwamba aina hii ya hukumu huwatakasa na kuwaokoa wanadamu?

Jibu:
Katika siku za mwisho, Mungu huonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu ili kuunda kikundi cha washindi, kundi la wale ambao ni wenye moyo mmoja na akili moja na Mungu. Hii iliamuliwa na Mungu alipoumba ulimwengu. Unaweza kusema kuwa tayari Mungu amelifanya kundi la washindi, kwamba wote wamefanyika kupitia hukumu na kuadibu kwa Mungu, na kwamba wametoka katika taabu za mateso ya kikatili ya Chama Cha Kikomunisti cha China. Ni ukweli kwamba tayari Mungu amefanya jambo hili; hakuna mtu anayeweza kulipinga. Kuna watu wengine ambao wanaona kwamba baadhi ya maneno ya Mungu yana shutuma na laana ya watu na wao hukuza mawazo. Huu ni upumbavu. Hukumu ya Mungu katika siku za mwisho ni kiti cheupe cha enzi cha hukumu kilichotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo.

9.05.2019

Unashuhudia kwamba Bwana amerudi katika mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu katika siku za mwisho, lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanaamini kwamba Bwana atarudi na mawingu, na kwamba wale wote wanaoamini katika Bwana watabadilika umbo mara moja na watanyakuliwa katika mawingu kukutana na Bwana, kama tu alivyosema Paulo: “Kwani maongezi yetu yako mbinguni; ambako pia tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo: Atakayeubadilisha mwili wetu wa uovu, ili uweze kuwa kwa kadri ya mwili wake wenye utukufu, kulingana na kufanyika ambapo ataweza kuvitiisha vitu vyote kwake” (Wafilipi 3:20-21). Bwana ni mwenye uweza na hakuna kitu ambacho Hawezi kufanya. Mungu atatubadilisha na kututakasa, akifanikisha hili kwa neno moja tu. Hivyo kwa nini bado Anahitaji kupata mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya hatua ya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,siku za mwisho

Unashuhudia kwamba Bwana amerudi katika mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu katika siku za mwisho, lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanaamini kwamba Bwana atarudi na mawingu, na kwamba wale wote wanaoamini katika Bwana watabadilika umbo mara moja na watanyakuliwa katika mawingu kukutana na Bwana, kama tu alivyosema Paulo: “Kwani maongezi yetu yako mbinguni; ambako pia tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo: Atakayeubadilisha mwili wetu wa uovu, ili uweze kuwa kwa kadri ya mwili wake wenye utukufu, kulingana na kufanyika ambapo ataweza kuvitiisha vitu vyote kwake” (Wafilipi 3:20-21). Bwana ni mwenye uweza na hakuna kitu ambacho Hawezi kufanya. Mungu atatubadilisha na kututakasa, akifanikisha hili kwa neno moja tu. Hivyo kwa nini bado Anahitaji kupata mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya hatua ya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu?

Jibu:
Kazi ya Mungu kila wakati ni isiyoweza kueleweka. Hakuna yeyote anayeweza kueleza unabii wa Mungu. Mwanadamu anaweza tu kuelewa unabii unapotimizwa. Hii inamaanisha nini? Inamaanisha kuwa hakuna mtu anaweza kuelewa busara na kudura ya Mungu. Wakati Bwana Yesu Alionekana kufanya kazi katika Enzi ya Neema, hakuna mtu angeweza kuielewa. Wakati Mwenyezi Mungu Atafanya kazi ya hukumu ya siku za mwisho katika Enzi ya Ufalme, hakuna mtu anaweza kuijua mapema pia.

8.30.2019

Ulishuhudia kuwa Bwana amerejea na hufanya kazi Yake ya hukumu akianza kwa nyumba ya Mungu katika siku za mwisho. Hili linaonekana kuwa tofauti na hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe katika Kitabu cha Ufunuo. Kile watu wengi katika dini wanachofikiria ni kwamba hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe imelenga wasioamini walio wa pepo Shetani. Bwana atakapokuja, waumini watachukuliwa kwenda mbinguni, na kisha Atatuma maafa kuwaangamiza wasioamini. Hiyo ndiyo hukumu mbele ya kiti cha enzi kikubwa cheupe. Unashuhudia mwanzo wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, lakini hatujaona Mungu akileta maafa kuwaangamiza wasioamini. Basi inawezaje kuwa hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,hukumu

Ulishuhudia kuwa Bwana amerejea na hufanya kazi Yake ya hukumu akianza kwa nyumba ya Mungu katika siku za mwisho. Hili linaonekana kuwa tofauti na hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe katika Kitabu cha Ufunuo. Kile watu wengi katika dini wanachofikiria ni kwamba hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe imelenga wasioamini walio wa pepo Shetani. Bwana atakapokuja, waumini watachukuliwa kwenda mbinguni, na kisha Atatuma maafa kuwaangamiza wasioamini. Hiyo ndiyo hukumu mbele ya kiti cha enzi kikubwa cheupe. Unashuhudia mwanzo wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, lakini hatujaona Mungu akileta maafa kuwaangamiza wasioamini. Basi inawezaje kuwa hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe?

Jibu:
Wale wote ambao wanaelewa Biblia wanajua kuwa hukumu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi iliyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo ni maono ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho. Mwenyezi Mungu mwenye mwili Alikuja kuonyesha ukweli na kufanya kazi Yake katika siku za mwisho, Akianza kuwatakasa na kuwaokoa binadamu potovu. Hii inamaanisha hukumu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi imeanza tayari. Hukumu lazima ianzie kutoka nyumba ya Mungu. Mungu kwanza Ataunda kikundi cha washindi kabla ya maafa. Kisha, Mungu ataleta chini maafa makubwa na kuanza kuyazawadia mazuri na kuadhibu maovu, hadi hii enzi ya uovu iangamizwe. Hukumu ya Mungu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi katika siku za mwisho basi itakamilika kabisa.

12.31.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 61

Ukiwa na ufahamu wa hali yako mwenyewe basi utafanikisha mapenzi Yangu. Kwa kweli, mapenzi Yangu si magumu kushika, ni kwamba tu katika siku zilizopita hukuweza kutafuta kulingana na lengo Langu. Ninachotaka si dhana wala fikira za binadamu, sembuse pesa zako wala mali yako. Ninachotaka ni moyo wako, unaelewa? Haya ni mapenzi Yangu, na hata zaidi ni kitu ambacho Nataka kupata. Watu daima hutumia dhana zilizo akilini mwao kunifanyia maamuzi, na kuhakiki kimo Changu wakitumia Vipimo vyao. 

12.30.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 103

Sauti ya mngurumo inatoka, ikiutetemesha ulimwengu mzima, ikiwahanikiza watu, na kuwafanya wachelewe kukwepa, na wengine wanauawa, baadhi wanaangamizwa, na wengine wanahukumiwa. Kweli ni kioja ambacho hakuna yeyote amewahi kukiona awali. Sikiliza kwa makini, milio ya radi inafuatana na sauti za kuomboleza, na sauti hii inatoka kuzimu, sauti hii inatoka jahanamu.

12.28.2018

Umeme wa Mashariki | Sura ya 101

Sitakuwa mwenye huruma kwa yeyote anayeingilia usimamizi Wangu ama anayejaribu kuiharibu mipango Yangu. Kila mtu anapaswa kuelewa kile Ninachomaanisha kutoka kwa maneno Ninayosema na lazima aelewe vizuri kile Ninachozungumzia. Kwa kuzingatia hali iliyopo, kila mtu anapaswa kujichunguza: Ni wajibu gani unaotekeleza? Unaishi kwa ajili Yangu, au unamtumikia Shetani? Je, kila moja ya matendo yako hutoka Kwangu, au hutoka kwa Shetani?

12.27.2018

Sura ya 100

Mwenyezi Mungu alisema,  Ninawachukia wale wote ambao hawajajaaliwa na kuchaguliwa na Mimi. Kwa hiyo ni lazima Niwafukuze watu hawa kutoka katika nyumba Yangu mmoja baada ya mwingine, hivyo hekalu Langu litakuwa takatifu na bila doa, nyumba Yangu itakuwa mpya daima na haitakuwa nzee kamwe, jina Langu takatifu litaenezwa milele na watu Wangu watakatifu watakuwa wapendwa Wangu. Aina hii ya mandhari, aina hii ya nyumba, aina hii ya ufalme ni lengo Langu, makao Yangu nayo ni msingi wa uumbaji Wangu wa vitu vyote. 

12.25.2018

Umeme wa Mashariki | Sura ya 97

Mwenyezi Mungu alisema, Nitafanya kila mtu aone matendo Yangu ya ajabu na kusikia maneno Yangu ya hekima. Ni lazima iwe kila mtu na ni lazima iwe juu ya kila suala. Hii ni amri Yangu ya utawala na ni ghadhabu Yangu. Nitahusisha kila mtu na kila jambo ili watu wote kutoka mwisho mmoja wa ulimwengu hadi mwingine wataona kwa macho yao wenyewe, la sivyo Sitaacha kamwe. Ghadhabu Yangu imemwagwa kikamilifu na hakuna hata chembe imezuiwa. Inaelekezwa kwa kila mtu mmoja ambaye anakubali jina hili (hivi karibuni itageuzwa juu ya mataifa yote ya dunia). Na ghadhabu Yangu ni nini? 

12.23.2018

Sura ya 83

Hujui kwamba Mimi ni Mwenyezi Mungu; hujui kwamba mambo yote na vitu vyote viko chini ya udhibiti Wangu! Maana ya kila kitu huumbwa na kukamilishwa na Mimi ni ni? Baraka au misiba ya kila mtu hutegemea utimilifu Wangu, matendo Yangu. Mwanadamu anaweza kufanya nini? Mwanadamu anaweza kufanikisha nini kwa kufikiri? Katika enzi hii ya mwisho, katika enzi hii potovu, katika dunia hii ya giza ambayo Shetani ameipotosha sana, ni kina nani wachache ambao wako jinsi Nipendavyo? Ikiwa ni leo, jana, au katika siku zijazo zisizo mbali, maisha ya kila mtu huamuliwa na Mimi.

12.22.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Sura ya 53

       Mimi ndiye mwanzo, na Mimi ndiye mwisho. Mimi ndiye Mungu mmoja wa kweli aliyefufuka na kamili. Nasema maneno Yangu mbele yenu, na lazima muamini Ninachosema kwa thabiti. Mbingu na dunia zinaweza kupita lakini hakuna herufi moja au mstari mmoja wa kile Ninachosema kitawahi kupita. Kumbuka hili! Kumbuka hili! Punde ambapo Nimesema, hakuna neno hata moja limewahi kurudishwa na kila neno litatimizwa.

12.20.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Sabini na Nane

Nimesema kabla ya kuwa kazi inafanywa na Mimi, sio na mwanadamu yeyote. Kwangu, kila kitu kimetulia na kufurahi, lakini na ninyi mambo ni tofauti sana na chochote mnachofanya ni kigumu sana. Kitu chochote Ninachokubali hakika kitatimizwa na Mimi, wakati mtu yeyote Ninayemkubali atakamilishwa na Mimi. Wanadamu—msiingilie katika kazi Yangu!

12.17.2018

nyimbo za injili | Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

Kanisa la Mwenyezi Mungu,nyimbo za dini,Nyimbo

Jina la Mungu Linatukuzwa Kati ya Mataifa

I
Kusudi la hukumu ya Mungu ni kuhimiza utiifu wa mwanadamu;
kusudi la adabu ya Mungu ni kuruhusu mbadiliko wa mwanadamu.
Ingawa kazi ya Mungu ni kwa ajili ya usimamizi Wake,
hakuna kitu Anachofanya kisicho kizuri kwa mwanadamu. 

12.14.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Sitini na Tisa

Mwenyezi Mungu alisema, Mapenzi Yangu yatokapo, yeyote anayethubutu kupinga na yeyote anayethubutu kuhukumu au kuwa na shaka, mara moja Nitamfukuza. Leo, yeyote ambaye hatendi kulingana na mapenzi Yangu, au yeyote anayeyafikiria mapenzi Yangu visivyo, ni lazima atupwe nje na kuondolewa kutoka kwa ufalme Wangu.

12.13.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Sitini na Sita

Kazi Yangu imeendelea hadi hatua ya sasa na yote imefuata mipango ya busara ya mkono Wangu, na pia kuwa fanikio Langu kuu. Nani kati ya wanadamu anaweza kufanya kitu kama hiki? Na je, si wanaona ni afadhali waingilie kati usimamizi Wangu? Lakini lazima ujue kuwa hakuna namna yeyote anaweza kufanya kazi Yangu badala Yangu, sembuse kuizuia, kwani hakuna yeyote anayeweza kusema au kufanya vitu Nifanyavyo na kusema.

12.12.2018

Tamko la Sitini na Tano

Maneno Yangu daima yanaendeleza barabara, yaani yanaonyesha udhaifu wenu wa jaala, vinginevyo bado mgekuwa mnakokota visigino vyenyu, bila wazo la muda gani ulioko sasa. Fahamu hili! Mimi Hutumia njia ya upendo ili kuwaokoa. Bila kujali jinsi nyinyi mlivyo, bila shaka Nitakamilisha mambo ambayo Nimekubali bila kufanya kosa lolote.

12.11.2018

Tamko la Sitini na Tatu

Mwenyezi Mungu alisema, Zielewe hali zako mwenyewe, na zaidi ya hayo, kuwa wazi kuhusu njia unayohitaji kutembea; usubiri tena Mimi niyainue masikio yako na kukuonyesha mambo. Mimi ni Mungu ninayekagua moyo wa ndani kabisa wa mwanadamu nami najua kila fikra na wazo lako, hata zaidi Naelewa matendo na tabia yako.

12.10.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Themanini na Mbili

Mwenyezi Mungu alisema, Wote wanaogopa wanaposikia neno Langu. Wote wamejawa na hofu. Mnaogopa nini? Sitawaua! Ni kwa sababu mnahisi hatia na mnaogopa kugunduliwa. Yale unayoyafanya nyuma Yangu ni ya upuuzi na yasiyo na maana kabisa.

12.09.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Hamsini na Tisa

Mwenyezi Mungu alisema, Tafuta mapenzi Yangu zaidi katika mazingira unayoyakabili na kwa hakika utapata kibali Changu. Ilmradi uwe tayari kwenda katika utafutaji na kuhifadhi moyo ambao unanicha, Mimi Nitakupea yote unayokosa.