12.29.2018

nyimbo za injili | Mungu Anautaka Moyo wa Kweli wa Mwanadamu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo

Mungu Anautaka Moyo wa Kweli wa Mwanadamu

I
Watu leo hawamthamini Mungu.
Hana nafasi ndani ya mioyo yao.
Katika siku zijazo, siku za mateso,
je, wanaweza kuonyesha upendo wa kweli, kuonyesha upendo wa kweli Kwake? 
Je, matendo ya Mungu hayastahili kulipa?
Kwa nini mwanadamu hampi Yeye moyo wake?
Kwa nini mwanadamu hukumbatia moyo Wake, hayuko tayari kuuachilia?
Je, moyo wa mwanadamu unaweza kuhakikisha furaha na amani?
II
Haki ya mwanadamu haina umbo.
Haiwezi kuguswa au kuonekana.
Katika miili ya wanadamu, sehemu ya thamani zaidi
ni kitu ambacho Mungu anataka, hicho ni moyo wa thamani wa mwanadamu.
Je, matendo ya Mungu hayastahili kulipa?
Kwa nini mwanadamu hampi Yeye moyo wake?
Kwa nini mwanadamu hukumbatia moyo Wake, hayuko tayari kuuachilia?
Je, moyo wa mwanadamu unaweza kuhakikisha furaha na amani?
III
Kwa nini Mungu anapouliza vitu kutoka kwa mwanadamu,
wanamrushia vumbi iliyojaa katika kiganja?
Je, hii ni njama ya kijanja ya mwanadamu?
Je, matendo ya Mungu hayastahili kulipa?
Kwa nini mwanadamu hampi Yeye moyo wake?
Kwa nini mwanadamu hukumbatia moyo Wake, hayuko tayari kuuachilia?
Je, moyo wa mwanadamu unaweza kuhakikisha furaha na amani?
Je, moyo wa mwanadamu unaweza kuhakikisha furaha na amani?
kutoka katika "Tamko la Thelathini na Sita" la Matamshi ya Mungu kwa Ulimwengu Mzima katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

      Soma zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni