12.02.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Nimeona Uzuri wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo,ukweli

Nimeona Uzuri wa Mungu

Nasikia sauti ninayoifahamu ikiniita kila wakati.
Nikiamshwa na kutazama ili nione, ni nani yuko hapo akizungumza.
Sauti Yake ni nyororo lakini kali, sura Yake nzuri!
Pitia pigo na uvumilie uchungu mkubwa, kupapaswa na mkono Wake wa upendo. 
Kisha nagundua kuwa ni Mwenyezi ndiye niliyepigana na Yeye.
Najichukia, na majuto makubwa, nikifikiria nilichofanya.
Nimepotoka kabisa, bila ubinadamu, sasa naona ukweli.
Na mwanzo mpya, nafuatilia maisha ya kweli, nitimize wajibu wangu.
Kwa ajili ya hadhi, nikishindana na Mungu, mimi siheshimiki.
Mungu bado ni Mungu, mwanadamu ni mwanadamu tu—mimi ni mpumbavu sana. 
Mjinga sana na mwenye majivuno sana hata kutojijua.
Sikuwa na haya na kuaibika; moyo wangu unajaa na majuto.
Najichukia, nisijue nisijuie ninachofaa kuishia.
Shetani alinikanyaga miaka mingi, nikawa wa kudharauliwa.
Kutiwa sumu na yule muovo, ubinadamu unapotea.
Nisipobadilishwa na kuzaliwa upya, sina uzima wa kweli.
Tabia iliyopotoka inanisumbua, utumishi wangu bado ni wa bure. 
Bila kumjua Mungu, kujawa na dhana; ningekosa vipi kupinga?
Mungu ananihukumu, kwa uasi wangu, na uovu wangu.
Nimeona upendo wa kweli wa kuadibu na hukumu.
Mungu ni mwenye haki, nimeshawishika kabisa. Niko uso kwa uso na Yeye.
Wokovu wa utendaji wa Mungu hunisaidia kutembea umbali huu.
Uhakika na uweza wa Mungu, umefichuliwa kabisa kwa mwanadamu.
Kuishi katika mwangaza, namjua Mungu na nimeona uzuri Wake.
Nikiamua kutimiza wajibu, nitamtosheleza na kumpenda Mungu.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

      Soma zaidi: Kujua Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni