Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo nyimbo-za-kuabudu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo nyimbo-za-kuabudu. Onyesha machapisho yote

2.24.2019

nyimbo za dini | Tabia Ya Mungu Ni Ya Juu na Tukufu

Tabia ya Mungu ni ya Juu na Tukufu


Furaha ya Mungu ni haki na mwangaza kuja katika dunia,
ni kuangamizwa kwa giza na uovu.
Furaha Yake ni kuleta mwangaza kwa binadamu, na uzuri katika maisha yao.
Furaha Yake ni haki; ni ishara ya vitu vyote vizuri,
na ishara ya heri njema, na ishara ya heri njema.