12.13.2018

nyimbo za dini | Umuhumi wa Maombi

Kanisa la Mwenyezi Mungu,nyimbo za dini,maombi
I
Maombi ni njia moja ya mwanadamu kishirikiana na Mungu,
kuita Roho Wake na kuguswa na Mungu.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni. 
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
II
Hivyo wale wasioomba ni waliokufa bila roho.
Hawawezi kuguswa na Mungu, hawawezi kufuata kazi ya Mungu.
Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,
wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.
Watu wasioomba wanapoteza maisha ya kawaida ya kiroho,
wamevunja uhusiano na Mungu; Hatawakubali.
III 
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Kadiri unavyoomba zaidi, ndivyo utakavyoguswa zaidi, kutiwa nuru na kuwa na mawazo ya nguvu zaidi.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
Watu kama hao wanaweza kufanywa kamili hivi karibuni.
kutoka katika "Kuhusu Desturi ya Sala" katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Kujua zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni