Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Nyimbo-za-Maneno-ya-Mungu. Onyesha machapisho yote

1.18.2019

Wimbo wa Kuabudu "Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu" | The Manifestation of the Power of God


Wimbo wa Kuabudu "Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu" | The Manifestation of the Power of God


Mungu aliumba vitu vyote, na hivyo Yeye hufanya viumbe vyote
kuja chini ya amri Yake, na kutii utawala Wake.
Anaamuru vitu vyote, akividhibiti katika mikono Yake.
Vitu hai, milima, mito na mwanadamu lazima vyote vije chini ya amri Yake.

12.11.2018

Mungu Anamthamini Yule Anayeweza Kusikiliza Neno Lake na Kumtii

Umeme wa Mashariki,Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo

Mungu Anamthamini Yule Anayeweza Kusikiliza Neno Lake na Kumtii

I
Mungu hajali kama mtu ni wa chini ama mkubwa.
Mradi tu anamsikiliza Mungu,
anatii kile ambacho Mungu anaamuru na kumwaminia,
anaweza kushirikiana na kazi Yake, na mpango Wake na mapenzi Yake,
ili mapenzi Yake na mpango uweze kuendelea bila kizuizi,
kitendo kama hiki kinastahili, kinastahili kukumbukwa na Mungu,
na kinastahili kupokea, kupokea baraka Yake. 

11.30.2018

Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu


  • Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu

  • I
  • Usimamizi wa Mungu ni ili kuwapata binadamu
  • wanaomwabudu na kumtii Yeye.
  • Ingawa wamepotoshwa na Shetani,
  • hawamwiti baba tena. 

11.26.2018

Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu

Umeme wa Mashariki,siku za mwisho,neema

  • Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu

  • I
  • Kazi ya Mungu sasa ni kunena,
  • hakuna ishara tena, wala maajabu.
  • Sio Enzi ya Neema. Mungu ni wa kawaida na halisi.
  • Katika siku za mwisho Yeye sio Yesu asiye wa kawaida,
  • lakini ni Mungu wa vitendo katika mwili,
  • hakuna tofauti na mtu. 

11.23.2018

Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi



  • Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi

  • I
  • Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,
  • uliyogawanywa katika hatua tatu,
  • kila moja inaitwa enzi.
  • Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema,
  • na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho. 

11.21.2018

Mungu Humkimu Kila Mtu kwa Unyamavu

Mungu Humkimu Kila Mtu kwa Unyamavu

I
Mungu huyakimu mahitaji ya kila mtu, kila mahali, wakati wote.
Yeye huyachunguza mawazo yao yote, jinsi mioyo yao hupitia mabadiliko.
Na Yeye huwapa faraja wanayohitaji, akiwatia moyo na kuwaongoza.
Kwa yule anayempenda Yeye, kwa yule anayefuata,
Mungu hatakatalia chochote, baraka Zake zote zitajitokeza. 

11.19.2018

Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu



      • I
      •       Kwa kuwa tunatafuta nyayo za Mungu, lazima tutafute mapenzi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi Yake. Kwani palipo na maneno mapya ya Mungu, pana sauti ya Mungu, sauti Yake; palipo na nyayo za Mungu, pana matendo ya Mungu, matendo ya Mungu.

11.14.2018

Kiini cha Kristo Ni Mungu





  • Kiini cha Kristo Ni Mungu
  • I
  • Mungu anayekuwa mwili anaitwa Kristo,
  • na hivyo Kristo anayeweza kuwapa watu ukweli anaitwa Mungu.
  • Si kupita kiasi kusema hivyo,
  • kwani Ana kiini cha Mungu.
  • Ana tabia ya Mungu na hekima katika kazi Yake,
  • ambayo haifikiwi na mwanadamu. 

11.08.2018

Mamlaka na Nguvu za Mungu Vyafunuliwa katika Mwili



  • Mamlaka na Nguvu za Mungu Vyafunuliwa katika Mwili

  • I
  • Mungu alikuja duniani hasa kutimiza
  • ukweli wa "Neno kuwa mwili."
  • (tofauti na Agano la Kale, katika siku za Musa,
  • Mungu alizingumza moja kwa moja kutoka mbinguni).
  • Kisha, yote yatatimizwa
  • katika enzi ya Ufalme wa Milenia
  • kuwa ukweli ambao watu wanaweza kuona,
  • ili watu waweze kuona
  • utimizaji hasa kwa macho yao wenyewe. 

11.02.2018

Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote



  • Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote

  • I
  • Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia,
  • unaanza kutenda wajibu wako.
  • Katika mpango na utaratibu wa Mungu,
  • unachukua nafasi yako,
  • na unaanza safari ya maisha. 

10.28.2018

Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu

Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu

I
Matendo maovu ya wanadamu yanapomchukiza Mungu,
Ataiteremsha hasira Yake juu yao,
ila wanapotubu kwa kweli mbele Yake.
Watu wanapoendelea kumpinga Mungu,
Ghadhabu Yake haitakoma, hata watakapoangamizwa.
Hii ni tabia ya Mungu.

10.27.2018

Mungu Mwenye Mwili Anapendeza Sana

Mungu Mwenye Mwili Anapendeza Sana

I
Baada ya Mungu kupata mwili, akiishi maisha kati ya wanadamu,
Aliona upotovu wa mwanadamu, hali ya maisha yake.
Mungu katika mwili alihisi sana kutojiweza kwa mwanadamu,
jinsi gani wanavyodharaulika; Alihisi huzuni yake.
Mungu alipata huruma zaidi kwa hali ya binadamu, 

10.26.2018

Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu


  • Matendo Ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu

  • I
  • Mungu anatazama chini juu ya vitu vyote kutoka juu,
  • na Anatawala vitu vyote kutoka juu.
  • Wakati huo huo,
  • Mungu ametuma wokovu Wake juu ya dunia. 

10.25.2018

Mungu Katika Mwili Hufanya Kazi Kimya ili Kuwaokoa Wanadamu

Mungu Katika Mwili Hufanya Kazi Kimya ili Kuwaokoa Wanadamu

I
Mungu alipata mwili, akabaki kujificha miongoni mwa wanadamu
ili kufanya kazi mpya, kutuokoa kutoka katika upotovu.
Anahifadhi maelezo.
Kwa mipango Aliyoifanya, Yeye hufanya kazi Yake hatua kwa hatua.
Maneno Yake yanaongezeka kila siku,
yakifariji, kukumbusha, kushutumu, na kuonya.

10.22.2018

Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
ni wajibu wetu, jukumu letu
kutoa akili zetu na miili yetu
kwa kutimiza agizo la Mungu. 

10.17.2018

Wale Ambao Mungu Atawaokoa ni wa Kwanza Kabisa Moyoni Mwake

Wale Ambao Mungu Atawaokoa ni wa Kwanza Kabisa Moyoni Mwake

I
Kazi ya Mungu ya kuokoa ni muhimu vipi,
muhimu zaidi kuliko vitu vingine vyote Kwake.
Kwa mipango na mapenzi yaliyokusudiwa, sio mawazo na maneno tu,
Anafanya kila kitu kwa wanadamu wote.
Oh ni muhimu kiasi gani, kazi ya Mungu ya kuokoa, kwa ajili ya mwanadamu na Yeye Mwenyewe. 

10.15.2018

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa



  • Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

  • I
  • Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
  • kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu,
  • Atamwokoa na kumpata kabisa;
  • kwa kuwa anamwongoza mwanadamu,
  • Atamfikisha katika hatima sahihi. 

10.09.2018

Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa




  • Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa

  • I
  • Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu,
  • Amekuwa akifichua kwao
  • Kiini Chake na vile Alivyo na Alicho nacho,
  • bila kukoma, kila wakati. 

9.29.2018

Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?

  • Unapaswa Kupokeaje
  • Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho?

  • I
  • Mwili wa Mungu utajumlisha
  • kiini cha Mungu na maonyesho Yake.
  • Atakapofanywa mwili,
  • Ataleta
  • matunda ya kazi Aliyopewa
  • ajidhihirishe na Alete Ukweli kwa wote,
  • awape uhai na awaonyeshe njia.

9.25.2018

Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba

  • Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba
  •  
  • I
  • Kwa mamlaka ya Muumba, miujiza yaonekana,
  • ikiwa na mvuto kwa mwanadamu,
  • Mwanadamu hutazama kwa butwaa.
  • Nguvu Zake huleta furaha;
  • mwanadamu hustabishwa, kwa furaha tele.