10.22.2018

Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu

I
Kama washiriki wa jamii ya wanadamu,
kama wafuasi wa Kristo wa dhati,
ni wajibu wetu, jukumu letu
kutoa akili zetu na miili yetu
kwa kutimiza agizo la Mungu. 
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na tunaishi kwa ajili ya kwa ukuu Wake.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na tunaishi kwa ajili ya kwa ukuu Wake.
II
Ikiwa akili na miili yetu haiko kwa ajili ya
agizo la Mungu au njia ya mwanadamu ya haki,
roho zetu hazitastahili kwa wale waliokufa kishahidi
kwa ajili ya agizo la Mungu,
zaidi haistahili kwa Mungu
anayetupa kila kitu.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na tunaishi kwa ajili ya kwa ukuu Wake.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na tunaishi kwa ajili ya kwa ukuu Wake.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na tunaishi kwa ajili ya kwa ukuu Wake.
Kwa maana asili yetu yote ilitoka kwa Mungu,
na tunaishi kwa ajili ya kwa ukuu Wake.
kutoka kwa "Mungu Anaongoza Majaliwa ya Wanadamu Wote" katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

    Tazama zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni