11.26.2018

Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu

Umeme wa Mashariki,siku za mwisho,neema

  • Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu

  • I
  • Kazi ya Mungu sasa ni kunena,
  • hakuna ishara tena, wala maajabu.
  • Sio Enzi ya Neema. Mungu ni wa kawaida na halisi.
  • Katika siku za mwisho Yeye sio Yesu asiye wa kawaida,
  • lakini ni Mungu wa vitendo katika mwili,
  • hakuna tofauti na mtu. 
  • Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu
  • ni kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
  • Ndiyo, ni matamshi ya Mungu
  • yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
  • Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.
  • Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.
  • II
  • Katika kila enzi Mungu anaonyesha tabia tofauti,
  • Sehemu tofauti ya matendo Yake.
  • Lakini yote, bado yanatoa ujuzi Wake wa kina.
  • imani thabiti na ya unyenyekevu katika Mungu.
  • Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu
  • ni kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
  • Ndiyo, ni matamshi ya Mungu
  • yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
  • Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.
  • Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.
  • III
  • Elewa uhalisi Wake, elewa tabia Yake
  • ni kwa kujua tu matendo Yake halisi,
  • jinsi Anavyofanya kazi na kuongea,
  • kutumia hekima Yake, kuwafanya watu wakamilifu.
  • Elewa Anavyotenda kazi juu ya mtu,
  • elewa Anavyopenda na Asivyopenda.
  • Hili linaweza kusaidia kutofautisha mazuri na mabaya,
  • na kupitia ufahamu huu wa Mungu
  • kuna maendeleo katika maisha yako.
  • Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu
  • ni kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
  • Ndiyo, ni matamshi ya Mungu
  • yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
  • Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.
  • Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.
  • Hivyo imani ya mwanadamu katika Mungu
  • ni kwa sababu ya kazi Zake nyingi, maneno na matendo.
  • Ndiyo, ni matamshi ya Mungu
  • yanayomshinda na kumkamilisha mtu.
  • Ishara na maajabu sio mizizi ya imani yao.
  • Ndiyo, ni matendo ya Mungu yanayomfanya mtu kumjua.
  •  
  • kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

               Tazama zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni