10.09.2018

Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa




  • Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa

  • I
  • Tangu uhusiano wa kwanza wa Mungu na mwanadamu,
  • Amekuwa akifichua kwao
  • Kiini Chake na vile Alivyo na Alicho nacho,
  • bila kukoma, kila wakati. 
  • Kama watu katika enzi wanaweza kuona au kuelewa,
  • Mungu huzungumza na kufanya kazi
  • ili kuonyesha tabia Yake na kiini.
  • Havijawahi kufunikwa
  • wala kufichwa kamwe, vimeachiliwa
  • bila kusita,
  • Kiini na tabia ya Mungu,
  • nafsi Yake na miliki yake,
  • vinafichuliwa Anapofanya kazi na
  • kushirikiana na mwanadamu.
  • II
  • Mungu anatumaini mwanadamu aweza kumwelewa,
  • ajue kiini Chake, na tabia,
  • ambavyo Hataki vichukuliwe kama siri za milele.
  • Wala Hataki mwanadamu amwone Yeye kama kitendawili
  • ambacho hakiwezi kutatuliwa.
  • Havijawahi kufunikwa
  • wala kufichwa kamwe vimeachiliwa bila kusita,
  • Kiini na tabia ya Mungu,
  • nafsi Yake na miliki yake,
  • vinafichuliwa Anapofanya kazi na
  • kushirikiana na mwanadamu.
  • III
  • Ni wakati tu binadamu amemjua Mungu
  • ndipo anaweza kujua njia ya kwendelea,
  • kustahili kuongozwa na Mungu.
  • Ataishi chini ya mamlaka Yake
  • na kuishi katika mwanga na baraka Zake.
  • Havijawahi kufunikwa
  • wala kufichwa kamwe, vimeachiliwa
  • bila kusita,
  • Kiini na tabia ya Mungu,
  • nafsi Yake na miliki yake.
  • Havijawahi kufunikwa
  • wala kufichwa kamwe, vimeachiliwa
  • bila kusita,
  • Kiini na tabia ya Mungu,
  • nafsi Yake na miliki yake,
  • vinafichuliwa Anapofanya kazi na
  • kushirikiana na mwanadamu.
  •  
  • kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

                   Yaliyopendekezwa: Kujua zaidi Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?
                                                   Soma zaidi Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni