10.15.2018

Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa



  • Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa

  • I
  • Kwa kuwa Mungu alimuumba mwanadamu, Atamwongoza;
  • kwa kuwa Anamwokoa mwanadamu,
  • Atamwokoa na kumpata kabisa;
  • kwa kuwa anamwongoza mwanadamu,
  • Atamfikisha katika hatima sahihi. 
  • Kwa kuwa Alimuumba mwanadamu na Anamsimamia,
  • ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
  • Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
  • Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa
  • matarajio ya jamii ya wanadamu,
  • mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
  • hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
  • II
  • Kwa sababu ni Mungu anayemfanyia mwanadamu kazi,
  • mwanadamu ana hatima
  • na hatima yake hivyo inahakikishwa,
  • hatima yake inahakikishwa.
  • Yale ambayo mwanadamu hufuatilia na kutamani
  • ni matarajio aliyo nayo
  • anapofuata tamaa badhirifu za kimwili,
  • badala ya hatima,
  • hatima inayotazamiwa na mwanadamu.
  • Yale ambayo Mungu amemwandalia mwanadamu,
  • kwa upande mwingine,
  • ni baraka na ahadi zinazomngoja mwanadamu atakapotakaswa,
  • ambayo Mungu alimwandalia baada ya kuiumba dunia.
  • Hizo baraka na ahadi hazichafuliwi na fikira
  •  
  • ya mwanadamu na mawazo,
  • au chaguo lake au mwili.
  • Hii hatima haijaandaliwa kwa mtu mahsusi,
  • mtu mahsusi,
  • lakini ni mahali pa mapumziko kwa kila mwanadamu.
  • Hii ndiyo hatima inayofaa,
  • hatima inayofaa kwa mwanadamu.
  • III
  • Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
  • Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
  • Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa
  • matarajio ya jamii ya wanadamu,
  • mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
  • hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
  • Ni lazima awajibikie matarajio na jalaa ya mwanadamu.
  • Ni hii ndiyo kazi inayofanywa na Muumba.
  • Ingawa kazi ya ushindi inafanikishwa ikiondoa
  • matarajio ya jamii ya wanadamu,
  • mwishowe, mwanadamu bado ataletwa katika
  • hatima sahihi ambayo Mungu amemwandalia.
  •  
  • kutoka kwa Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Yaliyopendekezwa: Kujua zaidi Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?
                                Soma zaidi Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni