Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo upendo-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo upendo-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote

10.03.2019

Mtu mwaminifu ni nani? Kwa nini Mungu huwapenda watu waaminifu?

Mtu mwaminifu ni nani? Kwa nini Mungu huwapenda watu waaminifu?

Maneno Husika ya Mungu:
Uaminifu unamaanisha kumpa Mungu moyo wako; kutomdanganya katu katika kitu chochote; kuwa wazi Kwake katika mambo yote, kutowahi kuficha ukweli; kutowahi kufanya kile kinachowadanganya wale walio juu na kuwafumba macho wale walio chini; na kutowahi kufanya kile ambacho kinakupendekeza kwa Mungu. Kwa ufupi, kuwa waaminifu ni kujizuia dhidi ya uchafu katika matendo na maneno yenu, na kutomdanganya Mungu wala binadamu.

9.30.2019

Watu wanafaa kupitiaje hukumu na adabu ya Mungu ili kuokolewa?

Watu wanafaa kupitiaje hukumu na adabu ya Mungu ili kuokolewa?

Maneno Husika ya Mungu:
Kufanya muhtasari wa kuishika njia ya Petro katika kumwamini Mungu, ni kuishika njia ya kufuatilia ukweli, ambayo pia ni njia ya kujijua na kubadilisha tabia ya mtu. Ni kwa kuishika tu njia ya Petro ndio mtu atakuwa anashika njia ya kukamilishwa na Mungu. Mtu lazima aelewe hasa jinsi ya kuishika njia ya Petro na jinsi ya kuiweka katika vitendo. Kwanza, mtu lazima aweke kando madhumuni yake mwenyewe, shughuli zisizofaa, na hata familia yake na vitu vyote vya mwili wake. Lazima ajitolee kwa moyo wote, yaani, ajitolee kabisa kwa neno la Mungu, azingatie kula na kunywa neno la Mungu, azingatie kutafuta ukweli, utafutaji wa nia ya Mungu katika maneno Yake, na ajaribu kufahamu mapenzi ya Mungu katika kila kitu. Hii ndiyo mbinu ya msingi zaidi na muhimu zaidi ya utendaji.

9.11.2019

Unashuhudia kuwa Mwenyezi Mungu ni Mungu mwenye mwili ambaye kwa sasa anafanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho. Lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanasema kwamba kazi ya Mwenyezi Mungu kwa kweli ni kazi ya mwanadamu, na pia watu wengi ambao hawamwamini Bwana Yesu wanasema kuwa Ukristo ni imani katika mtu. Bado hatuwezi kutambua hasa ni nini tofauti kati ya kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu, hivyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Unashuhudia kuwa Mwenyezi Mungu ni Mungu mwenye mwili ambaye kwa sasa anafanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho. Lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanasema kwamba kazi ya Mwenyezi Mungu kwa kweli ni kazi ya mwanadamu, na pia watu wengi ambao hawamwamini Bwana Yesu wanasema kuwa Ukristo ni imani katika mtu. Bado hatuwezi kutambua hasa ni nini tofauti kati ya kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu, hivyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Jibu:
Kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu bila shaka ni tofauti. Tukichunguza kwa makini sote tutaweza kuliona. Kwa mfano, tukiangalia matamshi na kazi ya Bwana Yesu na kisha tuangalie maneno na kazi ya mitume, tunaweza kusema kuwa tofauti ni wazi kabisa. Kila neno lililotamkwa na Bwana Yesu ni ukweli na lina mamlaka, na linaweza kufunua mafumbo mengi. Haya yote ni mambo ambayo mwanadamu kamwe hawezi kufanya. Hiyo ndio maana kuna watu wengi sana wanaomfuata Bwana Yesu, ilhali kazi ya mitume inaweza tu kueneza injili, kuwa na ushuhuda kwa Mungu, na kutoa kwa kanisa. Matokeo ni machache sana. Tofauti katika ya kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu ni wazi sana. Basi, ni kwa nini watu hawawezi kuitambua? Sababu ni nini? Ni kwa sababu wanadamu wapotovu hawajui Mungu na hawana ukweli wowote.

9.08.2019

Kipengele kimoja cha kazi ya Bwana Yesu ya ukombozi kilikuwa ni kutusamehe na kutuondolea dhambi zetu, wakati kile kipengele kingine kilikuwa ni kutupa amani na furaha na neema nyingi. Hili linatuwezesha kuona kwamba Mungu ni Mungu mwenye huruma na mwenye upendo. Lakini unashuhudia kwamba Mwenyezi Mungu hufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, kwamba Yeye huonyesha ukweli na humhukumu na kumwadibu mwanadamu, humpogoa na kumshuhgulikia mwanadamu, humfichua mwanadamu na kuziondosha kila aina ya watu waovu, pepo wabaya na wapinga Kristo, jambo linalowaruhusu watu kuona kwamba tabia ya haki ya Mungu haivumilii kosa lolote. Kwa nini tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Bwana Yesu ni tofauti kabisa na tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Mwenyezi Mungu? Ni vipi hasa tunafaa kuielewa tabia ya Mungu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki, Bwana Yesu

Kipengele kimoja cha kazi ya Bwana Yesu ya ukombozi kilikuwa ni kutusamehe na kutuondolea dhambi zetu, wakati kile kipengele kingine kilikuwa ni kutupa amani na furaha na neema nyingi. Hili linatuwezesha kuona kwamba Mungu ni Mungu mwenye huruma na mwenye upendo. Lakini unashuhudia kwamba Mwenyezi Mungu hufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, kwamba Yeye huonyesha ukweli na humhukumu na kumwadibu mwanadamu, humpogoa na kumshuhgulikia mwanadamu, humfichua mwanadamu na kuziondosha kila aina ya watu waovu, pepo wabaya na wapinga Kristo, jambo linalowaruhusu watu kuona kwamba tabia ya haki ya Mungu haivumilii kosa lolote. Kwa nini tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Bwana Yesu ni tofauti kabisa na tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Mwenyezi Mungu? Ni vipi hasa tunafaa kuielewa tabia ya Mungu?

Jibu:
Tangu Bwana Yesu alipofanya kazi Yake ya ukombozi katika Enzi ya Neema, tumeona kwamba Yeye ni mwingi wa stahamala na uvumilivu, mwingi wa upendo na huruma. Ilimradi tumwamini Bwana Yesu, dhambi zetu zitasamehewa na tutaweza kufurahia neema ya Mungu. Kutokana na hilo, tumepambanua kwamba Mungu ni Mungu mwenye upendo na mwenye rehema, kwamba Yeye ni mwenye huruma kwa mwanadamu na humsamehe mwanadamu dhambi zake zote milele, na kwamba siku zote Mungu hututendea kama mama anavyowatendea watoto wake, kwa kujali sana, asionyeshe hasira kamwe.

8.26.2019

Mungu alimtumia Musa kufanya kazi ya Enzi ya Sheria, hivyo kwa nini Mungu hawatumii watu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho, lakini badala yake Analazimika kupata mwili ili kuifanya Mwenyewe?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,upendo wa Mungu

Mungu alimtumia Musa kufanya kazi ya Enzi ya Sheria, hivyo kwa nini Mungu hawatumii watu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho, lakini badala yake Analazimika kupata mwili ili kuifanya Mwenyewe?

Jibu:
Ni kwa nini lazima Mungu apate mwili ili kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho? ni swali ambalo wengi walio na kiu ya ukweli na wanatafuta kuonekana kwa Mungu wanalijali sana. Pia ni swali linalohusiana na kama tunaweza kunyakuliwa kwenda katika ufalme wa mbinguni. Kwa hiyo, ni muhimu sana kuelewa kipengele hiki cha ukweli. Ni kwa nini lazima Mungu ajipatie mwili ili kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho badala ya kumtumia mwanadamu kuifanya kazi Yake? Hili linaamuliwa na hali ya kazi ya hukumu. Kwa sababu kazi ya hukumu ni onyesho la Mungu la ukweli na onyesho la tabia Yake yenye haki ili kuwashinda, kuwatakasa, na kuwaokoa wanadamu. Hebu tusome vifungu vichache kutoka kwa neno la Mwenyezi Mungu.

8.15.2019

Ni ushuhuda wa kweli wa imani katika Mungu kama mtu hufurahia neema ya Mungu tu?



Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,upendo wa Mungu

XVIII. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kilicho Kufuata Mapenzi ya Mungu na Kilicho Ushahidi wa Kweli wa Imani katika Mungu

Ni ushuhuda wa kweli wa imani katika Mungu kama mtu hufurahia neema ya Mungu tu?


Maneno Husika ya Mungu:
Kama wewe hufurahia tu neema ya Mungu, na maisha ya familia yenye amani au baraka yakinifu, basi hujampata Mungu, na imani yako kwa Mungu haijafaulu. Mungu tayari ametekeleza hatua moja ya kazi ya neema katika mwili, na tayari amempa mwanadamu baraka yakinifu—lakini mwanadamu hawezi kufanywa mkamilifu na neema, upendo, na rehema pekee.

7.26.2019

Ni jinsi gani mtu anafaa kuitambua sauti ya Mungu? Je, mtu anawezaje kuthibitisha kwamba Mwenyezi Mungu kweli ni Bwana Yesu aliyerudi?

XII. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Wanawali Wenye Busara Wakiisikia Sauti ya Mungu

Ni jinsi gani mtu anafaa kuitambua sauti ya Mungu? Je, mtu anawezaje kuthibitisha kwamba Mwenyezi Mungu kweli ni Bwana Yesu aliyerudi?


Aya za Biblia za Kurejelea:
Kondoo wangu huisikia sauti yangu, na mimi Ninawajua, nao hunifuata” (Yohana 10:27).
Bado ningali nayo mengi ya kuwaambieni, lakini hivi sasa hamwezi kuyavumilia. Hata hivyo, wakati yeye, Roho wa ukweli, atakapokuja, atawaongoza hadi kwenye ukweli wote: kwa maana hatazungumza juu yake mwenyewe; bali chochote atakachosikia, atakinena: na atawaonyesha mambo yajayo” (Yohana 16:12-13).

7.18.2019

Ni vipi Mungu amewaongoza na kuwaruzuku wanadamu hadi leo?

X. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Jinsi ya Kumjua Mungu

Ni vipi Mungu amewaongoza na kuwaruzuku wanadamu hadi leo?


Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ya usimamizi wa Mungu ilianza Alipoumba ulimwengu, na mwanadamu ni kiini cha kazi Yake. Uumbaji wa Mungu wa kila kitu, unaweza kusemwa, ni kwa ajili ya mwanadamu. Kwa sababu Kazi ya usimamizi Wake imesambaa katika maelfu ya miaka, na haijatekelezwa katika dakika na sekunde tu, ama kufumba na kufumbua, ama katika mwaka mmoja au miwili, ilimbidi Aumbe vitu vingine zaidi kwa ajili ya maisha ya mwanadamu, kama vile jua, mwezi, na aina zote za viumbe walio hai, na chakula na mazingira kwa ajili ya wanadamu. Huu ndio ulikuwa mwanzo wa usimamizi wa Mungu.

7.16.2019

Mtu anawezaje kujua asili na tabia ya Mungu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Neno la Mungu

X. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Jinsi ya Kumjua Mungu

Mtu anawezaje kujua asili na tabia ya Mungu?


Maneno Husika ya Mungu:
Watu mara nyingi husema kwamba si jambo rahisi kumjua Mungu. Mimi, hata hivyo, nasema kwamba kumjua Mungu si jambo gumu kamwe, kwani Mungu mara kwa mara huruhusu binadamu kushuhudia matendo Yake. Mungu hajawahi kusitisha mazungumzo Yake na mwanadamu; Yeye hajawahi kujificha kutoka kwa binadamu, wala Yeye hajajificha. Fikira Zake, mawazo Yake, maneno Yake na matendo Yake vyote vimefichuliwa kwa mwanadamu.

7.08.2019

Kuna tofauti ipi muhimu kati ya kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu?

VIII. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kipengele cha Ukweli Kuhusu Tofauti Kati ya Kazi ya Mungu na Kazi ya Mwanadamu

1. Kuna tofauti ipi muhimu kati ya kazi ya Mungu na kazi ya mwanadamu?

Maneno Husika ya Mungu:
Kazi ya Mungu Mwenyewe inahusisha kazi ya wanadamu wote, na pia inawakilisha kazi ya enzi nzima. Hii ni kusema kwamba, kazi ya Mungu mwenyewe inawakilisha harakati na mwelekeo wa kazi yote ya Roho Mtakatifu, ilhali kazi ya mitume inafuata kazi ya Mungu na wala haiongozi enzi, na wala haiwakilishi mwelekeo wa kufanya kazi wa Roho Mtakatifu katika enzi nzima. Huwa wanafanya tu kazi ambayo mwanadamu anapaswa kufanya, ambayo haihusishi kabisa kazi ya usimamizi. Kazi ya Mungu ni mradi ndani ya kazi ya usimamizi.

7.06.2019

Ni lazima mtu aelewe kwamba ukweli wote ulioonyeshwa na Mungu katika siku za mwisho ndio njia ya uzima wa milele

VII. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Kwamba ni Kile tu Ambacho Kristo wa Siku za Mwisho Analeta Kilicho Njia ya Uzima wa Milele

Ni lazima mtu aelewe kwamba ukweli wote ulioonyeshwa na Mungu katika siku za mwisho ndio njia ya uzima wa milele


Aya za Biblia za Kurejelea:

“Bado ningali nayo mengi ya kuwaambieni, lakini hivi sasa hamwezi kuyavumilia. Hata hivyo, wakati yeye, Roho wa ukweli, atakapokuja, atawaongoza hadi kwenye ukweli wote: kwa maana hatazungumza juu yake mwenyewe; bali chochote atakachosikia, atakinena: na atawaonyesha mambo yajayo” (Yohana 16:12-13).

“Yeye ambaye ana sikio, na asikie yale ambayo Roho alisema kwa makanisa; Yeye ambaye atashinda hataumizwa na kifo cha pili” (Ufunuo 2:11).

7.01.2019

Kuna tofauti ipi kati ya jinsi ambavyo Bwana Yesu alifanya kazi katika Enzi ya Neema na jinsi Mwenyezi Mungu anavyofanya katika Enzi ya Ufalme?

V. Ni Lazima Mtu Ashuhudie Kipengele cha Ukweli Kuhusu Tofauti Kati ya Kazi ya Mungu ya Hukumu Katika Siku za Mwisho na Kazi Yake ya Ukombozi Katika Enzi ya Neema

Kuna tofauti ipi kati ya jinsi ambavyo Bwana Yesu alifanya kazi katika Enzi ya Neema na jinsi Mwenyezi Mungu anavyofanya katika Enzi ya Ufalme?

Maneno Husika ya Mungu:
Wakati wa kupata mwili Kwake mara ya kwanza, ilikuwa muhimu kwa Mungu kuponya wagonjwa na kufukuza mapepo kwa sababu kazi Yake ilikuwa ni kukomboa. Ili kulikomboa kabila lote la mwanadamu, Alipaswa kuwa mwenye upendo na mwenye kusamehe. Kazi Aliyoifanya kabla ya kusulubiwa ilikuwa kuponya watu na kufukuza mapepo, ambayo iliashiria wokovu Wake wa mwanadamu kutoka katika dhambi na uchafu.

6.30.2019

Huruma ya Mungu Inaniwezesha Kufufuliwa Tena

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,upendo wa Mungu

Huruma ya Mungu Inaniwezesha Kufufuliwa Tena


Niliikosea tabia ya Mungu, nikifuata hiyo nikaanguka katika giza.

Nikapata mateso maridhawa ya Shetani huko, jinsi nilivyokuwa mpweke na mnyonge!

Kuwa na dhamiri yenye hatia, nilihisi nikiwa ndani ya mateso.

Hapo tu ndipo nilijua kwamba kuwa na dhamiri yenye imani ni baraka.

Nimekosa fursa nyingi sana za kufanywa mkamilifu;

nilikosa kufikia nia karimu ya Mungu.

6.24.2019

Namna ya Kujua Tabia ya Mungu na Matokeo ya Kazi Yake Sehemu ya Tano


Majaliwa ya Binadamu Yanaamuliwa na Mwelekeo Wake Kwa Mungu


      Mungu ni Mungu aliye hai, na kama vile tu watu wanavyotenda tofauti katika hali tofauti, ndivyo mwelekeo wa Mungu ulivyo katika utendakazi huu na unavyotofautiana kwa sababu Yeye si kikaragosi, wala Yeye si hewa tupu. Kupata kuujua mwelekeo wa Mungu ni jambo lenye thamani kwa wanadamu. Watu wanafaa kujifunza vipi, kwa kuujua mwelekeo wa Mungu, wanaweza kuijua tabia ya Mungu na kuuelewa moyo Wake kidogo kidogo.

4.20.2019

Baada ya Usaliti wa Mumewe Mungu Alimuokoa Kutoka kwenye Fadhaa ya Uchungu


   Baada ya miongo miwili ya mema na mabaya ambayo yeye na mumewe walipitia pamoja, hakuwahi kamwe kufikiria kwamba mumewe angekuwa na uhusiano wa nje ya ndoa. Alishindwa kabisa kuvumilia wakati alipogundua hilo. Licha ya kujaribu kila kitu ili kumfanya mumewe ampende tena, yote ilikuwa kazi bure. Katikati ya maumivu yake na kutokuwa na tumaini, ni maneno ya Munguyaliyomwokoa, yakimsaidia kupata kiini cha maumivu yake, kuelewa maana ya maisha, na hatua kwa hatua kutoka kwenye fadhaa ya mateso yake.

3.14.2019

Ushuhuda wa Mkristo: Jinsi Alivyoshinda Majaribu ya Kuwa na Mpenzi wa Siri (Sehemu ya 2)



Na Xiyue, Mkoa wa Henan
   Katika siku chache zilizofuata, ingawa Jingru hakuwa ameanguka katika majaribu ya Shetani na alijua kwamba hangeweza kuwa mwenzi wa Wang Wei kamwe, mkutano wake na Wang Wei jioni hiyo na ungamo lake la kweli vilirudiwa akilini mwake tena na tena kama onyesho katika filamu …
   Wang Wei alipompigia simu tena, moyo wa Jingru ulishtuka kidogo, naye akajiambia: “Sote wawili hatuwezi kuwa kitu kimoja, lakini bado tunaweza kuwa marafiki wa kawaida. Mradi nijizuie ili nisifanye chochote kinachoenda mbali mno, basi itakuwa sawa.”

2.27.2019

Matamshi ya Mungu | Sura ya 99

Mwenyezi Mungu alisema, “Kwa sababu mwendo wa kazi Yangu unaongeza kasi, hakuna anayeweza kuenda mwendo sawa na nyayo Zangu, na hakuna anayeweza kupenya akili Yangu, lakini hii ndiyo njia tu ambayo lazima isafiriwe. Hii ni “wafu” yaani wakati Ninapoongea kuhusu kufufuliwa kutoka kwa wafu (inarejelea kukosa uwezo wa kufahamu mapenzi Yangu, kukosa uwezo wa kuelewa kile Ninachomaanisha kutoka kwa maneno Yangu.

2.23.2019

Neno la Mungu | Sura ya 96

Mwenyezi Mungu alisema, “ Nitamwadibu kila mtu aliyezaliwa kutoka Kwangu ambaye bado hanijui ili kuonyesha ghadhabu Yangu yote, kuonyesha nguvu Zangu kuu, na kuonyesha hekima Yangu kamili. Ndani Yangu kila kitu ni chenye haki na bila shaka hakuna udhalimu, hakuna udanganyifu, na hakuna upotovu; yeyote ambaye ni mpotovu na mdanganyifu lazima awe ni mwana wa jahanamu—lazima amezaliwa huko kuzimu.   

2.13.2019

Neno la Mungu | Sura ya 43

Mwenyezi Mungu alisema:"Je, Sijawakumbusha? Msiwe wenye hofu; ninyi hamjanisikiliza tu, watu wasio na fikira ninyi! Je, mtaweza kuuelewa moyo Wangu lini? Kila siku kuna nuru mpya, kila siku kuna mwanga mpya. Ni mara ngapi mmeuelewa kwa ajili yenu wenyewe? Je, Sijawaambia Mwenyewe? Bado ninyi ni wa kukaa tu kama wadudu ambao watasonga tu wanaposukumwa, lakini hamwezi kuchukua hatua ya kushirikiana na Mimi, kuufikiria mzigo Wangu.

2.05.2019

Hukumu ya Neno la Mungu ni Kumwokoa Mwanadamu

Hukumu ya Neno la Mungu ni Kumwokoa Mwanadamu

I
Ingawa Mungu amenena maneno mengi kwako
ya kuadibu, ya hukumu,
hayajafanyika kwako,
naam, hayajafanyika kwako kweli.
Mungu alikuja kufanya kazi Yake na kunena maneno.
Ingawa maneno Yake yanaweza kuwa makali,
yananenwa kwa hukumu
ya upotovu wako, uasi.