6.30.2019

Huruma ya Mungu Inaniwezesha Kufufuliwa Tena

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,upendo wa Mungu

Huruma ya Mungu Inaniwezesha Kufufuliwa Tena


Niliikosea tabia ya Mungu, nikifuata hiyo nikaanguka katika giza.

Nikapata mateso maridhawa ya Shetani huko, jinsi nilivyokuwa mpweke na mnyonge!

Kuwa na dhamiri yenye hatia, nilihisi nikiwa ndani ya mateso.

Hapo tu ndipo nilijua kwamba kuwa na dhamiri yenye imani ni baraka.

Nimekosa fursa nyingi sana za kufanywa mkamilifu;

nilikosa kufikia nia karimu ya Mungu.

Hata kama ningempa kila kitu changu,

ningewezaje kutibu kidonda cha moyo wa Mungu?

Ee Mungu, Mwenyezi Mungu, ninatamani sana kuwa mtu mpya!

Natamani sana kuwa mtu mpya na kutengeneza mwanzo mpya!

Natamani kuwa na mwanzo mpya, kuwa na mwanzo mpya.



Moyo wangu umejawa mahitaji ya raha, nitawezaje kuupendeza moyo wa Mungu?

Nilitamani tu faida ya cheo; ningewezaje kutoanguka?

Sikufikiria mapenzi ya Mungu kamwe, Kwake nilikuwa na upinzani wa kimyakimya.

Nilimtumikia, wakati huo huo, nikampinga, nikamdanganya Yeye,

nikampinga Yeye na kumdanganya Yeye.

Kama asiangenihurumia, najua nisingesimama hapa leo.

Kulingana na yale ambayo nimefanya na kutenda, hata kifo kingekuwa kizuri zaidi kwangu. 

Ni uvumilivu wa Mungu ndio uliotoa punzi hii ya uhai.

Kwa uvumilivu Mungu aliokoa maisha yangu.

Ee Mungu, mpendwa Mwenyezi Mungu wangu, singekuacha Uteseke sana kwa ajili yangu.



Moyo wangu umeathiriwa na maneno ya Mungu ya uzima.

Nimepata nguvu thabiti kutoka kwa onyo la Mungu na kujali.

Hivyo nimeinuka tena kutoka kwa ushinde na ugumu;

Nimejua thamani ya maisha na kwa nini niliumbwa.

Ninapokumba mahitaji ya Mungu ya mwisho, nitawezaje kuyaepuka tena?

Niko tayari kulipiza kile ambacho Mungu Amenilipia.

Niko tayari kulipiza kile ambacho Mungu Amenilipia.

Bila kujali kama nitapokea mazuri ama maovu, nataka tu kumridhisha Mungu.

Niko tayari  kumpa Mungu moyo wangu wa kweli;

hata kama sitapata chochote, nitakuwa katika ufuatiliaji wa karibu wa Mungu.

Hata kama sitapata chochote, nitakuwa katika ufuatiliaji wa karibu wa Mungu.


     Sikiliza zaidi: Nyimbo za injili

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni