12.22.2018

nyimbo za injili | Unapaswa Kutafuta Kumpenda Mungu kwa Hiari

Umeme wa Mashariki,nyimbo za dini,ukweli

Unapaswa Kutafuta Kumpenda Mungu kwa Hiari

I
Leo lazima uwe katika njia sahihi
kwani unamwamini Mungu wa vitendo.
Ukiwa na imani, usitafute tu baraka Zake,
bali tafuta kumpenda na kumjua Mungu. 
Kupitia nuru Yake na harakati yako,
mwelewe Mungu kwa kweli, kuwa na upendo wa kweli moyoni mwako.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
ambapo hakuna yeyote anayeweza kuuharibu au kuuzuia,
uko katika njia sahihi ya imani kwa Mungu.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
ndiyo, inathibitisha kuwa wewe ni wa Mungu,
kwa sababu moyo wako unamilikiwa na Mungu,
na kwamba humilikiwi na kitu kingine.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
ndiyo, mapenzi yako kwa Mungu ni ya kweli.
II
Kwa sababu na unacholipa na kupitia,
na kazi ya Mungu, unayo upendo usioamriwa.
Basi umewekwa huru kutokana na ushawishi wa Shetani,
na unaishi katika mwanga wa maneno ya Mungu.
Kama uko huru kutokana na nguvu za giza, unafikiriwa kuwa umempata Mungu.
Katika imani yako, tafuta lengo hili. Ni wajibu wako.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
ambapo hakuna yeyote anayeweza kuuharibu au kuuzuia,
uko katika njia sahihi ya imani kwa Mungu.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
inathibitisha kuwa wewe ni wa Mungu,
kwa sababu moyo wako unamilikiwa na Mungu,
na kwamba humilikiwi na kitu kingine.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
ndiyo, mapenzi yako kwa Mungu ni ya kweli.
III
Usitosheke na mambo jinsi yalivyo.
Huwezi kuwa na fikra za aina mbili kuhusu kazi ya Mungu,
au kuichukulia kwa wepesi kazi ya Mungu.
Katika hali zote, mfikirie Mungu wakati wote.
Fanya mambo yote kwa ajili Yake, iweke nyumba Yake Mungu kwanza,
unenapo au kufanya mambo. Hii inalingana na mapenzi ya Mungu.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
ambapo hakuna yeyote anayeweza kuuharibu au kuuzuia,
uko katika njia sahihi ya imani kwa Mungu.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
inathibitisha kuwa wewe ni wa Mungu,
kwa sababu moyo wako unamilikiwa na Mungu,
na kwamba humilikiwi na kitu kingine.
Upendo wako kwa Mungu ukiwa wa kweli,
ndiyo, mapenzi yako kwa Mungu ni ya kweli.
ndiyo, mapenzi yako kwa Mungu ni ya kweli.
kutoka kwa "Unapaswa Kuishi Kwa Ajili Ya Ukweli Kwa Maana Unamwamini Mungu" katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

      Kujua zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni