12.05.2018

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Kazi ya Mungu inaongoza ulimwengu wote na, zaidi ya hayo, umeme unaangaza moja kwa moja kutoka Mashariki hadi Magharibi.
I
Mungu anaeneza kazi Yake kati ya mataifa.
Utukufu Wake unaangaza katika ulimwengu.
Mapenzi Yake, yaliyomo katika wanadamu waliotawanyika,
wote wakiongozwa na mkono Wake, wakifanya kazi walizopewa. 

12.04.2018

Tamko la Themanini na Moja

Mwenyezi Mungu alisema, Oh, enzi hii mbaya na yenye uzinzi! Nitakumeza! Mlima Sayuni! Simama unisifu Mimi! Kwa kukamilika kwa mpango Wangu wa usimamizi, kwa kukamilika kwa kazi Yangu kuu, ni nani athubutuye kutoinuka na kufurahi! Ni nani athubutuye kutoinuka na kuruka kwa furaha bila kukoma! Atakutana na kifo chake mkononi Mwangu.

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (3) - Kufichua Fumbo la Kupata Mwili



       Ingawa watu wanaomwamini Bwana wote wanajua kwamba Bwana Yesu ni Mungu aliyepata mwili, hata hivyo hakuna kweli anayeweza kuelewa ukweli wa kupata mwili.

12.03.2018

Tamko la Sabini na Tisa

Vipofu! Wajinga! Rundo la takataka lisilo na maana! Nyinyi hutenganisha ubinadamu Wangu wa kawaida na uungu Wangu! Je, hamfikiri kuwa hii ni dhambi dhidi Yangu? Na zaidi ni kuwa ni kitu ambacho ni vigumu kusamehe! Mungu wa vitendo anakuja miongoni mwenu leo lakini mwajua tu upande Wangu mmoja ambao ni ubinaamu Wangu wa kawaida, na hamjaona kabisa upande Wangu ambao ni wa kiungu kabisa.

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,neema,Nyimbo

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

I

Ayubu aliamini moyoni mwake kwamba yote aliyomiliki

yalitolewa na Mungu na si kwa mkono wake mwenyewe.

Hakuona baraka kama vitu vya kumnufaisha,

lakini aliishikilia njia ambayo anapaswa kufuata

kama mwongozo wake wa kuishi. 

12.02.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Ishirini na Moja

Mwenyezi Mungu alisema, Kazi ya Roho Mtakatifu sasa imewaleta katika mbingu mpya na dunia mpya. Kila kitu kinaendelea kufanywa upya, kila kitu ki mikononi Mwangu, kinarudi ulingoni! Kwa dhana zao, watu wanashindwa kulifikiria kwa makini, na kwao haina maana, lakini ni Mimi ambaye niko kazini, na hekima Yangu iko ndani yake.

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Nimeona Uzuri wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo,ukweli

Nimeona Uzuri wa Mungu

Nasikia sauti ninayoifahamu ikiniita kila wakati.
Nikiamshwa na kutazama ili nione, ni nani yuko hapo akizungumza.
Sauti Yake ni nyororo lakini kali, sura Yake nzuri!
Pitia pigo na uvumilie uchungu mkubwa, kupapaswa na mkono Wake wa upendo. 

12.01.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Sabini na Mbili

Mwenyezi Mungu alisema, Sharti unitegemee kuondoa upungufu ama udhaifu mara tu unapougundua. Usichelewe; vinginevyo kazi ya Roho Mtakatifu atakuwa mbali sana nawe, na utaanguka nyuma mbali sana. Kazi ambayo Nimekuaminia inaweza kutimizwa kwa kupitia tu kukaribia kwako mara kwa mara, kuomba, na kuwa na ushirika katika uwepo Wangu.

Swahili Christian Video "Bwana Anakuja Kwa Namna Gani Hasa?" (Mazungumzo Chekeshi) | The Son of Man Has Come to Earth


      Katika siku za mwisho, hali ya moyo ya Wakristo wanaongoja kurudi kwa Bwana Yesu inakuwa kali sana, lakini ni kwa vipi, hasa, Bwana atarudi?Baadhi wanasema, "Bwana Yesu atakuja na mawingu." Wengine wanasema, "Unabii unaotabiri kurudi Kwake nao unasema, 'Tazama, mimi nakuja kama mwizi' (Ufu 16:15).

11.30.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Hamsini na Moja

Ee! Mwenyezi Mungu! Amina! Ndani Yako yote yanaachiliwa, yote ni huru, yote ni wazi, yote hufichuliwa, yote hung’aa, bila sitara au maficho yoyote. Wewe ni Mwenyezi Mungu mwenye mwili.

Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu


  • Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu

  • I
  • Usimamizi wa Mungu ni ili kuwapata binadamu
  • wanaomwabudu na kumtii Yeye.
  • Ingawa wamepotoshwa na Shetani,
  • hawamwiti baba tena. 

11.29.2018

Umeme wa Mashariki | Ufafanuzi wa Tamko la Ishirini na Sita

Kutoka kwa maneno yote yaliyonenwa na Mungu, inaweza kuonekana kwamba siku ya Mungu inakaribia kila siku inapopita. Ni kama kwamba siku hii iko mbele ya macho ya watu, kama kwamba itafika kesho.