Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo utukufu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo utukufu. Onyesha machapisho yote

12.16.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Themanini na nane

Mwenyezi Mungu alisema,  Watu hawawezi tu kuwaza kiasi ambacho mwendo Wangu umezidisha kasi: Ni ajabu ambayo imetokea isiyoeleweka kwa mwanadamu. Tangu uumbaji wa dunia, mwendo Wangu umeendelea na kazi Yangu haijawahi kusimama. Ulimwengu wote hubadilika siku kwa siku na watu pia wanabadilika mara kwa mara.

12.03.2018

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,neema,Nyimbo

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

I

Ayubu aliamini moyoni mwake kwamba yote aliyomiliki

yalitolewa na Mungu na si kwa mkono wake mwenyewe.

Hakuona baraka kama vitu vya kumnufaisha,

lakini aliishikilia njia ambayo anapaswa kufuata

kama mwongozo wake wa kuishi. 

11.28.2018

Kiini cha Mungu Kimejaa Heshima

Umeme wa Mashariki,Nyimbo,Mungu

Kiini cha Mungu Kimejaa Heshima

I
Sehemu ya kiini cha Mungu ni upendo, huruma Yake hufikia wote,
lakini watu husahau asili Yake ni heshima pia.
Kwamba Mungu ana upendo haimaanishi
Anaweza kukosewa bila hisia yoyote au athari.