12.03.2018

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,neema,Nyimbo

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

I

Ayubu aliamini moyoni mwake kwamba yote aliyomiliki

yalitolewa na Mungu na si kwa mkono wake mwenyewe.

Hakuona baraka kama vitu vya kumnufaisha,

lakini aliishikilia njia ambayo anapaswa kufuata

kama mwongozo wake wa kuishi. 

Ayubu kamwe hakujiburudisha au kufurahi sana

kwa sababu ya baraka ambazo Mungu alitoa,

wala kupuuza njia ya Mungu au kusahau neema ya Mungu

kwa sababu ya baraka alizofurahia mara nyingi.

II

Ayubu alithamini sana baraka za Mungu, akitoa shukrani kwa ajili yao.

Lakini hakujiingiza ndani ya hayo, wala kutafuta zaidi.

Hakufanya chochote kwa ajili ya baraka,

bila wasiwasi juu ya kupoteza au kuzikosa kutoka kwa Mungu, eh.

Ayubu kamwe hakujiburudisha au kufurahi sana

kwa sababu ya baraka ambazo Mungu alitoa,

wala kupuuza njia ya Mungu au kusahau neema ya Mungu

kwa sababu ya baraka alizofurahia mara nyingi.

Woo, whoa, whoa.

Ayubu kamwe hakujiburudisha au kufurahi sana

kwa sababu ya baraka ambazo Mungu alitoa,

wala kupuuza njia ya Mungu au kusahau neema ya Mungu

kwa sababu ya baraka alizofurahia mara nyingi. Eh, eh.

kutoka kwa "Kazi ya Mungu, Tabia ya Mungu, na Mungu Mwenyewe II" katika Neno Laonekana katika Mwili


kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Soma zaidi: Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni