11.29.2018

Mwanadamu Aliyepotoka Anahitaji Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo,wokovu

Mwanadamu Aliyepotoka Anahitaji Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili

I
Mungu alikuwa mwili kwa sababu chombo cha kazi Yake
sio roho wa Shetani, wala chochote, kisicho cha mwili, bali ni mwanadamu.
Mwili wa mwanadamu ulikuwa umepotoshwa na Shetani na hivyo ukakuwa chombo cha kazi ya Mungu. 

11.28.2018

Tamko la Thelathini na Tano

Ngurumo saba zinatoka kwenye kiti cha enzi, zinautikisa ulimwengu, zinageuza mbingu na ardhi, na zinavuma angani! Sauti hiyo inapenya sana kiasi kwamba watu hawawezi kuepuka wala kujificha. Nuru ya ghafla ya umeme na sauti ya radi zinatumwa mbele, zikiiangusha chini mbingu na ardhi papo hapo, na watu wamekaribia kufa.

Kiini cha Mungu Kimejaa Heshima

Umeme wa Mashariki,Nyimbo,Mungu

Kiini cha Mungu Kimejaa Heshima

I
Sehemu ya kiini cha Mungu ni upendo, huruma Yake hufikia wote,
lakini watu husahau asili Yake ni heshima pia.
Kwamba Mungu ana upendo haimaanishi
Anaweza kukosewa bila hisia yoyote au athari. 

11.27.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Thelathini na Moja

Mwenyezi Mungu alisema,  Ninawapenda wale wote wanaonitaka Mimi kwa dhati. Mkilenga kunipenda, hakika Nitawabariki kwa kiasi kikubwa. Je, mnaelewa nia Zangu? Katika nyumba Yangu, hakuna tofauti kati ya hali ya juu na chini. Kila mtu ni mwanangu, Mimi ni Baba yenu, Mungu wenu. Mimi ni mkuu na wa pekee. Ninadhibiti kila kitu ulimwenguni! 

Tamko la Thelathini na Nne

Mwenyezi Mungu ni mwenye nguvu zote , mwenye kutimiliza yote na Mungu wa kweli kabisa! Habebi tu nyota saba, ana Roho saba, ana macho saba, anafungua mihuri saba na kufungua hati ya kukunja yenye maandishi, lakini zaidi ya hayo Yeye anaendesha mapigo saba na vikasa saba na kufungua radi saba; zamani za kale Yeye alipiga vinumbi saba!

11.26.2018

Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu

Umeme wa Mashariki,siku za mwisho,neema

  • Imani ya Kweli Inatokana tu na Kumjua Mungu

  • I
  • Kazi ya Mungu sasa ni kunena,
  • hakuna ishara tena, wala maajabu.
  • Sio Enzi ya Neema. Mungu ni wa kawaida na halisi.
  • Katika siku za mwisho Yeye sio Yesu asiye wa kawaida,
  • lakini ni Mungu wa vitendo katika mwili,
  • hakuna tofauti na mtu. 

Umeme wa Mashariki | Tamko la Thelathini na Nne

Mwenyezi Mungu ni mwenye nguvu zote , mwenye kutimiliza yote na Mungu wa kweli kabisa! Habebi tu nyota saba, ana Roho saba, ana macho saba, anafungua mihuri saba na kufungua hati ya kukunja yenye maandishi, lakini zaidi ya hayo Yeye anaendesha mapigo saba na vikasa saba na kufungua radi saba; zamani za kale Yeye alipiga vinumbi saba!

11.25.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Ishirini na Tisa

      Je, ulijua kwamba wakati uko karibu? Hivyo kwa muda mfupi wa hivi karibuni utanitegemea Mimi na kuyatupilia mbali mambo yote kutoka kwako ambayo hayalingani na tabia Yangu: upumbavu, upole wa kuonyesha hisia, mawazo yasiyo wazi, moyo wa upole, nia hafifu, upuuzi, hisia zilizotiwa madoido mengi, kuchanganyikiwa na ukosefu wa utambuzi. Haya lazima yatupiliwe mbali upesi iwezekanavyo.

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Ishirini na Mbili

Kumwamini Mungu si jambo rahisi kufanya. Ninyi mnajiboronga, mkiteketeza kila kitu mbele yenu mkifikiri kuwa haya yote ni ya kuvutia sana, matamu mno! Kuna baadhi ambao bado wanashangilia—wao tu hawana utambuzi katika roho zao.

11.24.2018

Neno la Mungu "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?" (Official Video)


Neno la Mungu "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?"(Official Video)


      Mwenyezi Mungu anasema, "Unapaswa kuona kuwa mapenzi Yake na kazi Yake si rahisi kama ilivyokuwa katika kuumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo.

Umeme wa Mashariki | Tamko la Ishirini

Kazi ya Roho Mtakatifu hushina mbele, ikiwaleta nyinyi ndani ya eneo mpya kabisa, ambayo ni kwamba hali halisi ya maisha ya ufalme imejitokeza mbele yako. Maneno ambayo yamesemwa na Roho Mtakatifu moja kwa moja yamefichua ukina ulio ndani ya mioyo yenu na kwa hiyo picha moja baada ya nyingine zinaonekana mbele yenu.

11.23.2018

Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi



  • Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi

  • I
  • Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,
  • uliyogawanywa katika hatua tatu,
  • kila moja inaitwa enzi.
  • Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema,
  • na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho.