Mtazamo Ambao Wale Wanaoyatii Mamlaka ya Mungu Wanapaswa Kuumiliki
I
Ni jinsi gani wanadamu wanapaswa kuyajua na kuyastahi
mamlaka ya Mungu, ukuu Wake juu ya kudura ya mwanadamu?
Tatizo hili huwakabili wanadamu wote.
Unapokabiliwa na matatizo katika maisha yako,
utaelewaje na kuonja mamlaka na ukuu wa Mungu?