12.06.2018

2018 Gospel Music "Usimamizi wa Mungu Daima Ukiendelea Mbele" (Swahili Subtitles)


2018 Gospel Music "Usimamizi wa Mungu Daima Ukiendelea Mbele" (Swahili Subtitles)

      Mababu wa wanadamu, Adamu na Hawa, walipopotoshwa na Shetani, Mungu alianza usimamizi Wake wa wokovu wa wanadamu. Tangu wakati huo, Amefanya kazi bila ya kukoma: Mungu alitangaza sheria kuwaongoza wanadamu, na Yeye binafsi alikuja miongoni mwa wanadamu kusulubiwa na kuwakomboa wanadamu, na katika siku za mwisho, Mungu anaendelea na kazi Yake, akitimiza unabii wa Biblia: "Basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali" (Yohana 14:2).

Kufanikiwa au Kushindwa Kunategemea na Ufuatiliaji wa Mwanadamu

I
Mwanadamu anapaswa kutekeleza wajibu wake
kama kiumbe wa Mungu,
atafute kumpenda Mungu bila chaguo lingine,
kwa kuwa Mungu anastahili upendo wa mwanadamu.
Watu ambao hutafuta kumpenda Mungu
hawapaswi kutafuta faida ya binafsi,
au kile wanachotaka wenyewe. 

12.05.2018

Tamko la Thelathini na Saba

Mwenyezi Mungu alisema,  Kwa kweli hamna imani mbele Yangu na mara kwa mara mnajitegemea wenyewe kufanya mambo. "Hamuwezi kufanya chochote bila Mimi!" Lakini nyinyi watu wapotovu daima mnachukua maneno Yangu ndani ya sikio moja na linatokea nje ya lile nyingine. Maisha siku hizi ni maisha ya maneno; bila maneno hakuna maisha, hakuna uzoefu, wala hakuna imani. Imani iko katika maneno; ni kwa kuegemea zaidi ndani ya maneno ya Mungu ndio mnaweza kuwa na kila kitu. Msihangaike kuhusu kutokomaa; maisha yanachipuka, sio kwamba watu hukomaa kwa kuhangaika.

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Kazi ya Mungu inaongoza ulimwengu wote na, zaidi ya hayo, umeme unaangaza moja kwa moja kutoka Mashariki hadi Magharibi.
I
Mungu anaeneza kazi Yake kati ya mataifa.
Utukufu Wake unaangaza katika ulimwengu.
Mapenzi Yake, yaliyomo katika wanadamu waliotawanyika,
wote wakiongozwa na mkono Wake, wakifanya kazi walizopewa. 

12.04.2018

Tamko la Themanini na Moja

Mwenyezi Mungu alisema, Oh, enzi hii mbaya na yenye uzinzi! Nitakumeza! Mlima Sayuni! Simama unisifu Mimi! Kwa kukamilika kwa mpango Wangu wa usimamizi, kwa kukamilika kwa kazi Yangu kuu, ni nani athubutuye kutoinuka na kufurahi! Ni nani athubutuye kutoinuka na kuruka kwa furaha bila kukoma! Atakutana na kifo chake mkononi Mwangu.

"Njia ya Kwenda katika Ufalme wa Mbinguni ni Yenye Hatari" (3) - Kufichua Fumbo la Kupata Mwili



       Ingawa watu wanaomwamini Bwana wote wanajua kwamba Bwana Yesu ni Mungu aliyepata mwili, hata hivyo hakuna kweli anayeweza kuelewa ukweli wa kupata mwili.

12.03.2018

Tamko la Sabini na Tisa

Vipofu! Wajinga! Rundo la takataka lisilo na maana! Nyinyi hutenganisha ubinadamu Wangu wa kawaida na uungu Wangu! Je, hamfikiri kuwa hii ni dhambi dhidi Yangu? Na zaidi ni kuwa ni kitu ambacho ni vigumu kusamehe! Mungu wa vitendo anakuja miongoni mwenu leo lakini mwajua tu upande Wangu mmoja ambao ni ubinaamu Wangu wa kawaida, na hamjaona kabisa upande Wangu ambao ni wa kiungu kabisa.

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,neema,Nyimbo

Mtazamo wa Ayubu kwa Baraka za Mungu

I

Ayubu aliamini moyoni mwake kwamba yote aliyomiliki

yalitolewa na Mungu na si kwa mkono wake mwenyewe.

Hakuona baraka kama vitu vya kumnufaisha,

lakini aliishikilia njia ambayo anapaswa kufuata

kama mwongozo wake wa kuishi. 

12.02.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Ishirini na Moja

Mwenyezi Mungu alisema, Kazi ya Roho Mtakatifu sasa imewaleta katika mbingu mpya na dunia mpya. Kila kitu kinaendelea kufanywa upya, kila kitu ki mikononi Mwangu, kinarudi ulingoni! Kwa dhana zao, watu wanashindwa kulifikiria kwa makini, na kwao haina maana, lakini ni Mimi ambaye niko kazini, na hekima Yangu iko ndani yake.

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Nimeona Uzuri wa Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Nyimbo,ukweli

Nimeona Uzuri wa Mungu

Nasikia sauti ninayoifahamu ikiniita kila wakati.
Nikiamshwa na kutazama ili nione, ni nani yuko hapo akizungumza.
Sauti Yake ni nyororo lakini kali, sura Yake nzuri!
Pitia pigo na uvumilie uchungu mkubwa, kupapaswa na mkono Wake wa upendo. 

12.01.2018

Umeme wa Mashariki | Tamko la Sabini na Mbili

Mwenyezi Mungu alisema, Sharti unitegemee kuondoa upungufu ama udhaifu mara tu unapougundua. Usichelewe; vinginevyo kazi ya Roho Mtakatifu atakuwa mbali sana nawe, na utaanguka nyuma mbali sana. Kazi ambayo Nimekuaminia inaweza kutimizwa kwa kupitia tu kukaribia kwako mara kwa mara, kuomba, na kuwa na ushirika katika uwepo Wangu.

Swahili Christian Video "Bwana Anakuja Kwa Namna Gani Hasa?" (Mazungumzo Chekeshi) | The Son of Man Has Come to Earth


      Katika siku za mwisho, hali ya moyo ya Wakristo wanaongoja kurudi kwa Bwana Yesu inakuwa kali sana, lakini ni kwa vipi, hasa, Bwana atarudi?Baadhi wanasema, "Bwana Yesu atakuja na mawingu." Wengine wanasema, "Unabii unaotabiri kurudi Kwake nao unasema, 'Tazama, mimi nakuja kama mwizi' (Ufu 16:15).