9.10.2019

Bwana Yesu alisema: “Ila yeyote akunywaye maji ambaye nitampa hatawahi kuwa na kiu; lakini maji hayo ambayo nitampa yatakuwa chemichemi ya maji ambayo yanachipuka katika uhai wa daima” (Yohana 4:14). Watu wengi wanafikiri kwamba Bwana Yesu tayari ametupa njia ya uzima wa milele, lakini nimeyasoma maneno haya ya Mwenyezi Mungu: “Ni Kristo wa Siku za Mwisho Pekee Ndiye Anayeweza Kumpa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele.” Haya yote yanahusu nini? Kwa nini yanasema kwamba ni Kristo tu wa siku za mwisho anayeweza kumpa mtu njia ya uzima wa milele?

 Bwana Yesu alisema: “Ila yeyote akunywaye maji ambaye nitampa hatawahi kuwa na kiu; lakini maji hayo ambayo nitampa yatakuwa chemichemi ya maji ambayo yanachipuka katika uhai wa daima” (Yohana 4:14). Watu wengi wanafikiri kwamba Bwana Yesu tayari ametupa njia ya uzima wa milele, lakini nimeyasoma maneno haya ya Mwenyezi Mungu: “Ni Kristo wa Siku za Mwisho Pekee Ndiye Anayeweza Kumpa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele.” Haya yote yanahusu nini? Kwa nini yanasema kwamba ni Kristo tu wa siku za mwisho anayeweza kumpa mtu njia ya uzima wa milele?

Jibu:
Kuhusu kile njia ya uzima wa milele kilicho kwa kweli, tunapaswa kwanza kujua inapotoka. Sisi sote tunajua kwamba Mungu alipokuwa mwili, Alitoa ushuhuda kwamba Yeye ndiye kweli, njia, na uzima. Huu ni ushahidi wa kutosha kwamba Kristo pekee ndiye Anayeweza kuonyesha njia ya uzima wa milele. Kwa kuwa Kristo ndiye kuonekana kwa Mungu mwenye mwili, kwa kuwa Yeye ndiye Roho wa Mungu aliyejivika mwili, hiyo ina maana kwamba kiini cha Kristo ni kiini cha Mungu, na kwamba Kristo Mwenyewe ndiye kweli, njia, na uzima. Kwa hivyo, Kristo anaweza kuonyesha ukweli na kutekeleza kazi ya kuwakomboa na kuwaokoa wanadamu. Hii ni ya hakika. Bila kujali Mungu anakuwa mwili katika enzi gani, kiini cha Kristo hakiwezi kubadilika kamwe. Bwana Yesu ni Mungu Mwenyewe katika mwili.

9.09.2019

Bwana Yesu alitundikwa msalabani kama sadaka ya dhambi kwa mwanadamu, na hivyo akitukomboa kutoka kwa dhambi. Tukipotea kutoka kwa Bwana Yesu na kumwamini Mwenyezi Mungu, si huu utakuwa usaliti wa Bwana Yesu? Si huu utakuwa uasi?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,hukumu

Bwana Yesu alitundikwa msalabani kama sadaka ya dhambi kwa mwanadamu, na hivyo akitukomboa kutoka kwa dhambi. Tukipotea kutoka kwa Bwana Yesu na kumwamini Mwenyezi Mungu, si huu utakuwa usaliti wa Bwana Yesu? Si huu utakuwa uasi?

Jibu:
Katika siku za mwisho sasa, wakati ambapo Mungu amefanya kazi mpya na kuchukua jina jipya, tunamsaliti Mungu au tunaenda mwendo sawa na kazi ya Mungu? tulipoliacha jina la Yesu na kukubali jina la Mwenyezi Mungu? Mungu anapoanzisha kazi mpya, mwanadamu anaweza tu kuokolewa kwa kuenda mwendo sawa na kazi ya Mungu. Hii ni kweli. Tunaweza kuona kutoka kwa neno la Mwenyezi Mungu, sababu ya Mungu kuchukua jina “Mwenyezi Mungu” ilihusiana na kazi inayofanywa katika siku za mwisho na tabia inayoonyeshwa na Mungu. Mwenyezi Mungu asema, “Mungu Anapopata mwili mara hii, kazi Yake ni kuonyesha tabia Yake, kimsingi kupitia kuadibu na hukumu.

9.08.2019

Kipengele kimoja cha kazi ya Bwana Yesu ya ukombozi kilikuwa ni kutusamehe na kutuondolea dhambi zetu, wakati kile kipengele kingine kilikuwa ni kutupa amani na furaha na neema nyingi. Hili linatuwezesha kuona kwamba Mungu ni Mungu mwenye huruma na mwenye upendo. Lakini unashuhudia kwamba Mwenyezi Mungu hufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, kwamba Yeye huonyesha ukweli na humhukumu na kumwadibu mwanadamu, humpogoa na kumshuhgulikia mwanadamu, humfichua mwanadamu na kuziondosha kila aina ya watu waovu, pepo wabaya na wapinga Kristo, jambo linalowaruhusu watu kuona kwamba tabia ya haki ya Mungu haivumilii kosa lolote. Kwa nini tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Bwana Yesu ni tofauti kabisa na tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Mwenyezi Mungu? Ni vipi hasa tunafaa kuielewa tabia ya Mungu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki, Bwana Yesu

Kipengele kimoja cha kazi ya Bwana Yesu ya ukombozi kilikuwa ni kutusamehe na kutuondolea dhambi zetu, wakati kile kipengele kingine kilikuwa ni kutupa amani na furaha na neema nyingi. Hili linatuwezesha kuona kwamba Mungu ni Mungu mwenye huruma na mwenye upendo. Lakini unashuhudia kwamba Mwenyezi Mungu hufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, kwamba Yeye huonyesha ukweli na humhukumu na kumwadibu mwanadamu, humpogoa na kumshuhgulikia mwanadamu, humfichua mwanadamu na kuziondosha kila aina ya watu waovu, pepo wabaya na wapinga Kristo, jambo linalowaruhusu watu kuona kwamba tabia ya haki ya Mungu haivumilii kosa lolote. Kwa nini tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Bwana Yesu ni tofauti kabisa na tabia iliyofichuliwa katika kazi ya Mwenyezi Mungu? Ni vipi hasa tunafaa kuielewa tabia ya Mungu?

Jibu:
Tangu Bwana Yesu alipofanya kazi Yake ya ukombozi katika Enzi ya Neema, tumeona kwamba Yeye ni mwingi wa stahamala na uvumilivu, mwingi wa upendo na huruma. Ilimradi tumwamini Bwana Yesu, dhambi zetu zitasamehewa na tutaweza kufurahia neema ya Mungu. Kutokana na hilo, tumepambanua kwamba Mungu ni Mungu mwenye upendo na mwenye rehema, kwamba Yeye ni mwenye huruma kwa mwanadamu na humsamehe mwanadamu dhambi zake zote milele, na kwamba siku zote Mungu hututendea kama mama anavyowatendea watoto wake, kwa kujali sana, asionyeshe hasira kamwe.

9.07.2019

Imeandikwa pale pale katika Biblia: “Yesu Kristo ni yuyo huyo jana, na leo na daima” (Waebrania 13:8). Kwa hiyo jina la Bwana halibadiliki kamwe! Lakini unasema kwamba wakati Bwana atakapokuja tena katika siku za mwisho atachukua jina jipya na ataitwa Mwenyezi Mungu. Unawezaje kulielezea?

Imeandikwa pale pale katika Biblia: “Yesu Kristo ni yuyo huyo jana, na leo na daima” (Waebrania 13:8). Kwa hiyo jina la Bwana halibadiliki kamwe! Lakini unasema kwamba wakati Bwana atakapokuja tena katika siku za mwisho atachukua jina jipya na ataitwa Mwenyezi Mungu. Unawezaje kulielezea?

Jibu:
Biblia inasema, “Yesu Kristo ni yuyo huyo jana, na leo na daima” (Waebrania 13:8). Hii inarejelea ukweli kuwa tabia ya Mungu na kiini Chake ni za milele na hazibadiliki. Haimaanishi kuwa jina Lake halitabadilika. Hebu tuangalie maneno ya Mwenyezi Mungu.
Mwenyezi Mungu anasema, “Kuna wale ambao wanasema kuwa Mungu habadiliki. Hiyo ni sahihi, lakini inaashiria mabadiliko ya tabia ya Mungu na pia kiini chake.

9.06.2019

Unashuhudia kuwa katika siku za mwisho Mungu hufanya kazi Yake ya hukumu ili kumtakasa na kumwokoa mwanadamu kabisa, lakini baada ya kusoma maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu, ninaona kwamba baadhi yayo humhukumu na kumlaani mwanadamu. Kama Mungu humhukumu na kumlaani mwanadamu, si basi mwanadamu atapatwa na adhabu? Na unawezaje kusema kwamba aina hii ya hukumu huwatakasa na kuwaokoa wanadamu?

Unashuhudia kuwa katika siku za mwisho Mungu hufanya kazi Yake ya hukumu ili kumtakasa na kumwokoa mwanadamu kabisa, lakini baada ya kusoma maneno yaliyoonyeshwa na Mwenyezi Mungu, ninaona kwamba baadhi yayo humhukumu na kumlaani mwanadamu. Kama Mungu humhukumu na kumlaani mwanadamu, si basi mwanadamu atapatwa na adhabu? Na unawezaje kusema kwamba aina hii ya hukumu huwatakasa na kuwaokoa wanadamu?

Jibu:
Katika siku za mwisho, Mungu huonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu ili kuunda kikundi cha washindi, kundi la wale ambao ni wenye moyo mmoja na akili moja na Mungu. Hii iliamuliwa na Mungu alipoumba ulimwengu. Unaweza kusema kuwa tayari Mungu amelifanya kundi la washindi, kwamba wote wamefanyika kupitia hukumu na kuadibu kwa Mungu, na kwamba wametoka katika taabu za mateso ya kikatili ya Chama Cha Kikomunisti cha China. Ni ukweli kwamba tayari Mungu amefanya jambo hili; hakuna mtu anayeweza kulipinga. Kuna watu wengine ambao wanaona kwamba baadhi ya maneno ya Mungu yana shutuma na laana ya watu na wao hukuza mawazo. Huu ni upumbavu. Hukumu ya Mungu katika siku za mwisho ni kiti cheupe cha enzi cha hukumu kilichotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo.

9.05.2019

Unashuhudia kwamba Bwana amerudi katika mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu katika siku za mwisho, lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanaamini kwamba Bwana atarudi na mawingu, na kwamba wale wote wanaoamini katika Bwana watabadilika umbo mara moja na watanyakuliwa katika mawingu kukutana na Bwana, kama tu alivyosema Paulo: “Kwani maongezi yetu yako mbinguni; ambako pia tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo: Atakayeubadilisha mwili wetu wa uovu, ili uweze kuwa kwa kadri ya mwili wake wenye utukufu, kulingana na kufanyika ambapo ataweza kuvitiisha vitu vyote kwake” (Wafilipi 3:20-21). Bwana ni mwenye uweza na hakuna kitu ambacho Hawezi kufanya. Mungu atatubadilisha na kututakasa, akifanikisha hili kwa neno moja tu. Hivyo kwa nini bado Anahitaji kupata mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya hatua ya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,siku za mwisho

Unashuhudia kwamba Bwana amerudi katika mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu katika siku za mwisho, lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanaamini kwamba Bwana atarudi na mawingu, na kwamba wale wote wanaoamini katika Bwana watabadilika umbo mara moja na watanyakuliwa katika mawingu kukutana na Bwana, kama tu alivyosema Paulo: “Kwani maongezi yetu yako mbinguni; ambako pia tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo: Atakayeubadilisha mwili wetu wa uovu, ili uweze kuwa kwa kadri ya mwili wake wenye utukufu, kulingana na kufanyika ambapo ataweza kuvitiisha vitu vyote kwake” (Wafilipi 3:20-21). Bwana ni mwenye uweza na hakuna kitu ambacho Hawezi kufanya. Mungu atatubadilisha na kututakasa, akifanikisha hili kwa neno moja tu. Hivyo kwa nini bado Anahitaji kupata mwili ili kuonyesha ukweli na kufanya hatua ya kazi ya hukumu na utakaso wa mwanadamu?

Jibu:
Kazi ya Mungu kila wakati ni isiyoweza kueleweka. Hakuna yeyote anayeweza kueleza unabii wa Mungu. Mwanadamu anaweza tu kuelewa unabii unapotimizwa. Hii inamaanisha nini? Inamaanisha kuwa hakuna mtu anaweza kuelewa busara na kudura ya Mungu. Wakati Bwana Yesu Alionekana kufanya kazi katika Enzi ya Neema, hakuna mtu angeweza kuielewa. Wakati Mwenyezi Mungu Atafanya kazi ya hukumu ya siku za mwisho katika Enzi ya Ufalme, hakuna mtu anaweza kuijua mapema pia.

9.04.2019

Unashuhudia kuwa katika siku za mwisho Mungu huonyesha ukweli na kufanya kazi ya kumhukumu na kumtakasa mwanadamu, hivyo ni kwa jinsi gani hasa Mungu humhukumu, kumtakasa na kumwokoa mwanadamu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,hukumu

Unashuhudia kuwa katika siku za mwisho Mungu huonyesha ukweli na kufanya kazi ya kumhukumu na kumtakasa mwanadamu, hivyo ni kwa jinsi gani hasa Mungu humhukumu, kumtakasa na kumwokoa mwanadamu?

Jibu:
Kila mtu ambaye sasa anatafuta na kuchunguza njia ya kweli anataka kuelewa jinsi Mwenyezi Mungu anavyofanya kazi Yake ya hukumu ya siku za mwisho. Mwenyezi Mungu ameonyesha maneno mengi kuhusu suala hili la ukweli. Hebu tusome vifungu vichache vya neno la Mwenyezi Mungu.
Mwenyezi Mungu anasema, “Mungu Anapopata mwili mara hii, kazi Yake ni kuonyesha tabia Yake, kimsingi kupitia kuadibu na hukumu. Akitumia haya kama msingi, Analeta ukweli zaidi kwa mwanadamu, kuonyesha njia zaidi za matendo, na hivyo Hufikia lengo Lake la kumshinda mwanadamu na kumwokoa mwanadamu kutokana na tabia yake potovu. Hili ndilo liko katika kazi ya Mungu katika Enzi ya Ufalme” (Dibaji ya Neno Laonekana katika Mwili).

9.03.2019

Unasema kwamba watu wanaomwamini Mungu wanapaswa kuikubali kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, na ni hapo tu ndipo wanapoweza kutakasiwa tabia yao potovu na wao wenyewe kuokolewa na Mungu. Lakini sisi, kwa mujibu wa mahitaji ya Bwana, hutenda unyenyekevu na uvumilivu, kuwapenda adui zetu, kuibeba misalaba yetu, kuviacha vitu vya dunia, na sisi hufanya kazi na kuhubiri kwa ajili ya Bwana na kadhalika. Hivyo si haya yote ni mabadiliko yetu? Daima tumetafuta kwa njia hii, kwa hiyo hatuwezi kupata utakaso, unyakuo na kuingia katika ufalme wa mbinguni?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Biblia

Unasema kwamba watu wanaomwamini Mungu wanapaswa kuikubali kazi ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, na ni hapo tu ndipo wanapoweza kutakasiwa tabia yao potovu na wao wenyewe kuokolewa na Mungu. Lakini sisi, kwa mujibu wa mahitaji ya Bwana, hutenda unyenyekevu na uvumilivu, kuwapenda adui zetu, kuibeba misalaba yetu, kuviacha vitu vya dunia, na sisi hufanya kazi na kuhubiri kwa ajili ya Bwana na kadhalika. Hivyo si haya yote ni mabadiliko yetu? Daima tumetafuta kwa njia hii, kwa hiyo hatuwezi kupata utakaso, unyakuo na kuingia katika ufalme wa mbinguni?

Jibu:
Tunaweza kuwapenda adui zetu, kubeba msalaba, kushinda mwili wetu, na kueneza injili ya Bwana. Hizi ni tabia chanya zinazotokana na imani yetu kwa Bwana, na kuweza kutenda kwa njia hii kunaashiria kuwa imani yetu kwa Bwana ni ya kweli. Tabia hizi nzuri zinaweza kuonekana kuwa sahihi kwa wengine na kana kwamba ziko sambamba na neno la Mungu, lakini haimaanishi kwamba tunayaweka maneno ya Mungu katika vitendo na kufuata mapenzi ya Baba wa mbinguni, wala haimaanishi kwamba tumeacha asili yetu ya dhambi na kutakaswa. Tunapokuwa tunaangalia tabia nzuri za wengine hatuwezi tu kuangalia kuonekana kwao kwa nje; lazima pia tuangalie nia zao na madhumuni ya hatimaye.

9.02.2019

Sisi hufuata mfano wa Paulo na hufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya Bwana, tukieneza injili na kumshuhudia Bwana, na tukiyalisha makanisa ya Bwana, kama vile Paulo tu: “Nimepigana vita vizuri, nimeutimiza mwendo wangu, nimeihifadhi imani” (2 Timotheo 4:7). Si huku ni kufuata mapenzi ya Mungu? Kutenda kwa njia hii kunamaanisha kuwa tunastahili kunyakuliwa na kuingia katika ufalme wa mbinguni, hivyo kwa nini tunapaswa kuikubali kazi ya Mungu ya hukumu na utakaso katika siku za mwisho kabla tuweze kuletwa katika ufalme wa mbinguni?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa

Sisi hufuata mfano wa Paulo na hufanya kazi kwa bidii kwa ajili ya Bwana, tukieneza injili na kumshuhudia Bwana, na tukiyalisha makanisa ya Bwana, kama vile Paulo tu: “Nimepigana vita vizuri, nimeutimiza mwendo wangu, nimeihifadhi imani” (2 Timotheo 4:7). Si huku ni kufuata mapenzi ya Mungu? Kutenda kwa njia hii kunamaanisha kuwa tunastahili kunyakuliwa na kuingia katika ufalme wa mbinguni, hivyo kwa nini tunapaswa kuikubali kazi ya Mungu ya hukumu na utakaso katika siku za mwisho kabla tuweze kuletwa katika ufalme wa mbinguni?

Jibu:
Swali ni la muhimu sana. Inahusisha ikiwa mtu anaweza kuletwa kwenye ufalme wa mbinguni kwa kuamini katika Bwana. Waumini wengi wa Bwana wanahisi kwamba kufuata mfano wa Paulo kwa kutumia na kutumia rasilmali na kufanya kazi kwa ajili ya Bwana ni sawa na kufuata njia ya Bwana na kustahili kuingia kwenye ufalme wa mbinguni wakati Bwana atakaporudi. Hii imekuwa dhana ya watu wengi. Je, dhana hii ina msingi katika neno la Bwana? Je, inafurahisha moyo wa Bwana tukifuatilia kwa njia hii? Je, kwa kweli tunafuatilia njia ya Bwana kwa kumtumikia Bwana kama Paulo? Je, tutakuwa na sifa zinazostahili ufalme wa mbinguni? Bwana Yesu alisema, “Siye kila mmoja ambaye aliniambia, Bwana, Bwana, ataingia ufalme wa mbinguni, ila yeye atendaye mapenzi ya Baba yangu ambaye yuko mbinguni.

9.01.2019

Bibilia inasema: “Kwani mwanadamu husadiki moyoni ili kupata haki; na kwa mdomo hukubali hadi apate wokovu” (Warumi 10:10). Tunaamini kwamba Bwana Yesu alitusamehe dhambi zetu na kutufanya kuwa wenye haki kupitia imani. Aidha, tunaamini kwamba mtu akiokolewa mara moja, basi ameokolewa milele, na Bwana atakaporudi tutanyakuliwa na tutaingia katika katika ufalme wa mbinguni. Hivyo kwa nini unashuhudia kuwa tunapaswa kukubali kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho kabla ya kuweza kuokolewa na kuletwa katika ufalme wa mbinguni?

Bibilia inasema: “Kwani mwanadamu husadiki moyoni ili kupata haki; na kwa mdomo hukubali hadi apate wokovu” (Warumi 10:10). Tunaamini kwamba Bwana Yesu alitusamehe dhambi zetu na kutufanya kuwa wenye haki kupitia imani. Aidha, tunaamini kwamba mtu akiokolewa mara moja, basi ameokolewa milele, na Bwana atakaporudi tutanyakuliwa na tutaingia katika katika ufalme wa mbinguni. Hivyo kwa nini unashuhudia kuwa tunapaswa kukubali kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho kabla ya kuweza kuokolewa na kuletwa katika ufalme wa mbinguni?

Jibu:
Waumini wote katika Bwana hufikiria: Bwana Yesu alitukomboa Alipokufa msalabani, hivyo tayari tumeondolewa dhambi zote. Bwana hatuoni tena kama wenye dhambi. Tumekuwa wenye haki kupitia kwa imani yetu. Mradi tuvumilie hadi mwisho, tutaokolewa. Bwana atakaporudi tutanyakuliwa moja kwa moja kuingia katika ufalme wa mbinguni. Naam, huo ndio ukweli? Je, Mungu aliwahi kamwe kutoa ushahidi katika maneno Yake wa kuunga mkono madai haya? Kama mtazamo huu hauambatani na ukweli, matokeo yatakuwa ni yapi? Sisi ambao tunamwamini Bwana tunapaswa kutumia maneno Yake mwenyewe kama msingi wa mambo yote.

8.31.2019

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa Bwana Yesu kusema “Imekwisha” (Yohana 19:30) msalabani ni ushahidi kwamba kazi ya Mungu ya wokovu tayari imekamilika kabisa. Na bado unashuhudia kwamba Bwana amerejea katika mwili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu akianza na nyumba ya Mungu ili kuwaokoa wanadamu kabisa. Kwa hiyo ni kwa njia gani hasa mtu anafaa kuelewa kazi ya Mungu ya kuwaokoa wanadamu? Hatuko dhahiri juu ya kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Biblia

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa Bwana Yesu kusema “Imekwisha” (Yohana 19:30) msalabani ni ushahidi kwamba kazi ya Mungu ya wokovu tayari imekamilika kabisa. Na bado unashuhudia kwamba Bwana amerejea katika mwili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu akianza na nyumba ya Mungu ili kuwaokoa wanadamu kabisa. Kwa hiyo ni kwa njia gani hasa mtu anafaa kuelewa kazi ya Mungu ya kuwaokoa wanadamu? Hatuko dhahiri juu ya kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Jibu:
Wakati Bwana Yesu alisema msalabani “Imekwisha” (Yohana 19:30), Alikuwa anazungumzia hasa kuhusu nini? Je, Alimaanisha kwamba kazi ya ukombozi ilikuwa imekwisha, au alikuwa Akimaanisha kwamba kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu kikamilifu ilikuwa imekwisha? Je, watu wa wakati ule hakika wangejua? Inaweza kusemwa kwamba hakuna aliyejua. Kile Bwana Yesu alichosema yalikuwa ni maneno: “Imekwisha.” Hakusema kwamba kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu ilikuwa imekwisha.

8.30.2019

Ulishuhudia kuwa Bwana amerejea na hufanya kazi Yake ya hukumu akianza kwa nyumba ya Mungu katika siku za mwisho. Hili linaonekana kuwa tofauti na hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe katika Kitabu cha Ufunuo. Kile watu wengi katika dini wanachofikiria ni kwamba hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe imelenga wasioamini walio wa pepo Shetani. Bwana atakapokuja, waumini watachukuliwa kwenda mbinguni, na kisha Atatuma maafa kuwaangamiza wasioamini. Hiyo ndiyo hukumu mbele ya kiti cha enzi kikubwa cheupe. Unashuhudia mwanzo wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, lakini hatujaona Mungu akileta maafa kuwaangamiza wasioamini. Basi inawezaje kuwa hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,hukumu

Ulishuhudia kuwa Bwana amerejea na hufanya kazi Yake ya hukumu akianza kwa nyumba ya Mungu katika siku za mwisho. Hili linaonekana kuwa tofauti na hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe katika Kitabu cha Ufunuo. Kile watu wengi katika dini wanachofikiria ni kwamba hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe imelenga wasioamini walio wa pepo Shetani. Bwana atakapokuja, waumini watachukuliwa kwenda mbinguni, na kisha Atatuma maafa kuwaangamiza wasioamini. Hiyo ndiyo hukumu mbele ya kiti cha enzi kikubwa cheupe. Unashuhudia mwanzo wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, lakini hatujaona Mungu akileta maafa kuwaangamiza wasioamini. Basi inawezaje kuwa hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe?

Jibu:
Wale wote ambao wanaelewa Biblia wanajua kuwa hukumu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi iliyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo ni maono ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho. Mwenyezi Mungu mwenye mwili Alikuja kuonyesha ukweli na kufanya kazi Yake katika siku za mwisho, Akianza kuwatakasa na kuwaokoa binadamu potovu. Hii inamaanisha hukumu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi imeanza tayari. Hukumu lazima ianzie kutoka nyumba ya Mungu. Mungu kwanza Ataunda kikundi cha washindi kabla ya maafa. Kisha, Mungu ataleta chini maafa makubwa na kuanza kuyazawadia mazuri na kuadhibu maovu, hadi hii enzi ya uovu iangamizwe. Hukumu ya Mungu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi katika siku za mwisho basi itakamilika kabisa.