11.25.2018

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Ishirini na Mbili

Kumwamini Mungu si jambo rahisi kufanya. Ninyi mnajiboronga, mkiteketeza kila kitu mbele yenu mkifikiri kuwa haya yote ni ya kuvutia sana, matamu mno! Kuna baadhi ambao bado wanashangilia—wao tu hawana utambuzi katika roho zao.

11.24.2018

Neno la Mungu "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?" (Official Video)


Neno la Mungu "Je, Kazi ya Mungu ni Rahisi Jinsi Mwanadamu Anavyodhania?"(Official Video)


      Mwenyezi Mungu anasema, "Unapaswa kuona kuwa mapenzi Yake na kazi Yake si rahisi kama ilivyokuwa katika kuumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo.

Umeme wa Mashariki | Tamko la Ishirini

Kazi ya Roho Mtakatifu hushina mbele, ikiwaleta nyinyi ndani ya eneo mpya kabisa, ambayo ni kwamba hali halisi ya maisha ya ufalme imejitokeza mbele yako. Maneno ambayo yamesemwa na Roho Mtakatifu moja kwa moja yamefichua ukina ulio ndani ya mioyo yenu na kwa hiyo picha moja baada ya nyingine zinaonekana mbele yenu.

11.23.2018

Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi



  • Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi

  • I
  • Mungu ana mpango wa usimamizi wa miaka 6,000,
  • uliyogawanywa katika hatua tatu,
  • kila moja inaitwa enzi.
  • Kwanza ni Enzi ya Sheria, kisha Enzi ya Neema,
  • na Enzi ya Ufalme ni awamu ya mwisho. 

Tamko la Kumi na Tisa

Kazi ya Roho Mtakatifu inapoendelea mbele, Mungu kwa mara nyingine tena ametuingiza katika mbinu mpya ya kazi ya Roho Mtakatifu. Matokeo yake, haiepukiki kwamba baadhi ya watu wamenielewa Mimi vibaya na kufanya malalamiko Kwangu. Wengine wamenipinga na kunikataa Mimi, na wamenichunguza Mimi.

11.22.2018

Ishara ya Tabia ya Mungu

Ishara ya Tabia ya Mungu

I
Tabia ya Mungu inajumuisha upendo Wake na faraja Yake kwa binadamu,
inajumuisha chuki Yake na ufahamu Wake wa kina wa binadamu.
Tabia ya Mungu,
tabia ya Mungu ni kitu ambacho Mtawala wa viumbe vyote vinavyoishi
au kile ambacho Bwana wa uumbaji wote anacho.
Tabia ya Mungu
inawakilisha heshima, nguvu, na maadili,
inawakilisha ukuu na utawala. 

New Swahili Christian Video "Kufufuka" | Hukumu ya Mungu katika Siku za Mwisho Iliniokoa


New Swahili Christian Video "Kufufuka" | Hukumu ya Mungu katika Siku za Mwisho Iliniokoa


      Jina lake ni Zheng Lu, na tangu utotoni, alikuwa hasa ovyo. Kwa sababu ya ushawishi wa kijamii na elimu ya utamaduni wa kidesturi wa Kichina, alisoma bila kuchoka, akitumai kufikia chuo kikuu na kufanikisha ndoto yake ya kuwapiku marika wake na kuwa na mafanikio, lakini ajali isiyotarajiwa ilimharibia ndoto yake. Wakati tu alipohisi vibaya, mnyonge, na asiyeweza kuupata mwelekeo maishani, wokovu wa Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho ulimpata.

11.21.2018

Mungu Humkimu Kila Mtu kwa Unyamavu

Mungu Humkimu Kila Mtu kwa Unyamavu

I
Mungu huyakimu mahitaji ya kila mtu, kila mahali, wakati wote.
Yeye huyachunguza mawazo yao yote, jinsi mioyo yao hupitia mabadiliko.
Na Yeye huwapa faraja wanayohitaji, akiwatia moyo na kuwaongoza.
Kwa yule anayempenda Yeye, kwa yule anayefuata,
Mungu hatakatalia chochote, baraka Zake zote zitajitokeza. 

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Tamko la Ishirini na Tano



Mwenyezi Mungu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani, Mungu wetu Anatawala! Mwenyezi Mungu anaweka miguu Yake kwenye Mlima wa Mizeituni. Uzuri ulioje! Sikiliza! Sisi walinzi tunapaza sauti zetu: tunaimba kwa pamoja kwa sauti zetu, kwa kuwa Mungu amerudi Sayuni.

11.20.2018

Tamko la Themanini



Kila kitu kinahitaji mawasiliano halisi na Mimi ili kupata nuru na kuangazwa; aidha, ni kwa njia hii tu ndio roho inaweza kuwa na amani. La sivyo, haitakuwa na amani.

Yasifu Maisha Mapya

Kanisa la Mwenyezi Mungu,ukweli,ushuhuda

Haleluya! Mwenyezi Mungu! Tunakushukuru na kukusifu!
Haleluya! Mwenyezi Mungu! Tunakuabudu Wewe milele!
I
Kristo ameonekana katika siku za mwisho. (Haleluya! Halleluya!)
Maneno Yake yanatuhukumu, kututakasa na kutuongoza. (Haleluya! Halleluya!) 

11.19.2018

Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu



      • I
      •       Kwa kuwa tunatafuta nyayo za Mungu, lazima tutafute mapenzi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi ya Mungu, tutafute maneno ya Mungu na matamshi Yake. Kwani palipo na maneno mapya ya Mungu, pana sauti ya Mungu, sauti Yake; palipo na nyayo za Mungu, pana matendo ya Mungu, matendo ya Mungu.