9.04.2018

Mtu Mpotovu Hawezi Kumwakilisha Mungu

Mtu Mpotovu Hawezi Kumwakilisha Mungu

Binadamu amekuwa akiishi katika funiko la ushawishi wa giza, huku akiwa amezuiliwa bila ya kuwachiliwa na ushawishi wa Shetani. Nayo tabia ya binadamu, baada ya kutengenezwa na Shetani, inaendelea kuongezeka kuwa potovu. Kwa maneno mengine, binadamu huishi daima na tabia yake potovu ya kishetani, asiweze kumpenda Mungu kwa kweli.

Tamko la Kumi na Tano

Umeme wa Mashariki, siku za mwisho, ukweli, Mungu

Tamko la Kumi na Tano

Mwanadamu ni kiumbe asiyejifahamu. Hata ingawa hawezi kujijua mwenyewe, yeye hata hivyo anajua kila mwanadamu mwingine kama kiganja cha mkono wake, kana kwamba watu wengine wote wamepitia ukaguzi wake na kupokea kibali chake kabla waseme au kufanya chochote, na hivyo ionekane kama yeye amewapima kikamilifu wengine wote mpaka katika hali yao ya kisaikolojia. Binadamu wote wako namna hii.

9.03.2018

Gospel Movie Clip "Kusubiri" (7) - Mwenyezi Mungu Afichua Siri za Mpango Wake wa Usimamizi wa Miaka 6,000


Gospel Movie Clip "Kusubiri" (7) - Mwenyezi Mungu Afichua Siri za Mpango Wake wa Usimamizi wa Miaka 6,000


      Bwana Yesu alifichua siri za ufalme wa mbinguni, na Mwenyezi Mungu alikuja kufunua siri zote za usimamizi wa wanadamu wa miaka 6,000! Je, unaweza kutambua kuwa Mwenyezi Mungu ni kurudi kwa mara ya pili kwa Bwana Yesu kwa kutazama siri ambazo Mwenyezi Mungu amezifunua? Tazama video hii fupi!


      Tazama zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Upendo wa Kweli wa Mungu

Upendo wa Kweli wa Mungu

I
Nasimama mbele ya Mungu wangu tena leo.
Moyo wangu una mengi ya kusema
ninapoona uso Wake wa kupendeza.
Nimeacha siku zangu za zamani za kuzurura
nyuma yangu.
Neno Lake linanijaza na raha
na furaha kutoka kwa neema Yake.

FALSE DEMONSTRATIONS AGAINST THE CHURCH OF ALMIGHTY GOD REFUGEES START IN SOUTH KOREA


Executing a secret plan that Bitter Winter revealed one month ago, the CCP brings to Korea relatives of asylum seekers of The Church of Almighty God and organizes false “spontaneous demonstrations” with the help of pro-Chinese anti-cult activists.

On August 4, 2018, Bitter Winter published a secret document by the Chinese Communist Party calling for harassment in South Korea of the asylum seekers of The Church of Almighty God (CAG), a Chinese Christian new religious movement heavily persecuted in China. The CCP called for the recruitment of the relatives of the asylum seekers who still live in China, if necessary through threats and coercion, who would then call for the “return home” of the refugees (who obviously would not return “home” but, once in China, will be arrested and will thus “return” to jail). The plan also sought the cooperation of pro-Chinese activists in South Korea and anti-cultists hostile to the CAG.

9.02.2018

Tukuzeni Ufanikishaji wa Kazi ya Mungu





  • Tukuzeni Ufanikishaji wa Kazi ya Mungu

  •  
  • I
  • Kazi kubwa ya Mungu hubadilika haraka sana,
  • vigumu kuipima, kuridhisha kwa mtu.
  • Angalia kandokando yako, si kama awali,
  • kila kitu ni kizuri na kipya.
  • Kila kitu kimehuishwa, vyote vimetengenezwa upya,
  • vyote vimetakaswa.

Unawezaje Kutambua Tofauti Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo?

Sura ya 6 Aina Mbalimbali za Utofautishaji Ambazo Unafaa Kumiliki katika Kusadiki Kwako kwa Mungu

Utofautishaji Kati ya Kristo wa Kweli na Makristo wa Uongo

Maneno Husika ya Mungu:

Mungu aliyepata mwili Anaitwa Kristo, na hivyo Kristo ambaye Anaweza kuwapa binadamu ukweli anaitwa Mungu. Hakuna kitu kikuu kuliko hiki, kwa kuwa Anayo hali ya Mungu, na ana tabia za Mungu, na hekima katika kazi Yake, ambayo haiwezi kupatikana kwa binadamu. Wale wanaojiita Kristo, walakini hawawezi kufanya kazi ya Mungu, ni matapeli. Kristo wa kweli sio tu udhihirisho wa Mungu duniani, bali pia, mwili hasa ulioigwa na Mungu kufanya na kutimiza kazi Yake kati ya wanadamu. Mwili huu si ule unaoweza kubadilishwa na mtu yeyote tu, lakini ambao unaweza kutosha kufanya kazi ya Mungu duniani, na kueleza tabia ya Mungu, na pia kumwakilisha Mungu, na kumpa binadamu maisha.

9.01.2018

Kuuweka tu Ukweli Katika Matendo Ni Kuwa na Uhalisi

Kuuweka tu Ukweli Katika Matendo Ni Kuwa na Uhalisi

Kuwa na uwezo wa kuyaeleza maneno ya Mungu kiwazi haimaanishi kwamba wewe unaumiliki uhalisi. Mambo si rahisi kama ulivyofikiria. Ikiwa unaumiliki uhalisi au la haina msingi kwa kile unachokisema, badala yake inatokana na kile unachoishi kwa kudhihirisha.

Kupitia Utunzaji wa Uangalifu wa Mungu wa Wokovu wa Mwanadamu katika Maafa

Kupitia Utunzaji wa Uangalifu wa Mungu wa Wokovu wa Mwanadamu katika Maafa

Muling , Beijing
Agosti 16, Mwaka wa 2012
Mnamo Julai 21, mwaka wa 2012, Beijing ilipata mvua kubwa zaidi katika miaka sitini. Katika mvua hiyo kubwa niliona matendo ya Mungu na kuona jinsi Yeye huwaokoa mwanadamu.

8.31.2018

Nyongeza ya 2: Tamko la Pili

Nyongeza ya 2: Tamko la Pili

Watu wanapomwona Mungu wa vitendo, wanapoishi maisha yao binafsi na, wanapotembea sako kwa bako na, na wanapoishi na Mungu Mwenyewe, wao huweka kando udadisi ambao umekuwa ndani ya mioyo yao kwa miaka mingi sana. Ufahamu wa Mungu uliozungumziwa awali ni hatua ya kwanza tu; ingawa watu wana ufahamu wa Mungu, bado kuna mashaka mengi ya kuchagiza ndani ya mioyo yao: Mungu alitoka wapi?

Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)

Tafuteni Maana ya Maisha - "Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi" (Video Rasmi ya Muziki)


Kwa Ajili ya Nani Mtu Aishi

I
Haikuwa wazi ni kwa ajili ya nani mtu anapaswa kuishi. Sasa nina jibu kwa hilo.
Nilikuwa naishi tu kwa ajili yangu mwenyewe, kutafuta hadhi tu na umaarufu.
Maombi kwa Mungu yaliyojaa maneno mema, lakini nikishikilia njia zangu mwenyewe katika maisha halisi.

8.30.2018

Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa

Umeme wa Mashariki, upendo wa Mungu, Mungu

Maisha yangu ni Huru na Yamewachiliwa

Moyo wangu unapaa nje, unapaa nje.
Nitalipiza upendo wa Mungu, sitakosa kuonyesha hisia tena.
Wakati mmoja nilisoma visivyo mapenzi ya Mungu na sikujali kumhusu Yeye.
Lakini sasa nimeona kuwa Mungu anangoja upendo wangu.
Nitajaribu niwezavyo kumtosheleza Mungu, na kukubali Aupate moyo wangu.
Tazama, maua yote yamechanua kila mahali; na muziki unaimba mawazoni mwangu.