8.31.2019

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa Bwana Yesu kusema “Imekwisha” (Yohana 19:30) msalabani ni ushahidi kwamba kazi ya Mungu ya wokovu tayari imekamilika kabisa. Na bado unashuhudia kwamba Bwana amerejea katika mwili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu akianza na nyumba ya Mungu ili kuwaokoa wanadamu kabisa. Kwa hiyo ni kwa njia gani hasa mtu anafaa kuelewa kazi ya Mungu ya kuwaokoa wanadamu? Hatuko dhahiri juu ya kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Biblia

Watu wengi katika ulimwengu wa kidini wanaamini kuwa Bwana Yesu kusema “Imekwisha” (Yohana 19:30) msalabani ni ushahidi kwamba kazi ya Mungu ya wokovu tayari imekamilika kabisa. Na bado unashuhudia kwamba Bwana amerejea katika mwili kuonyesha ukweli na kufanya kazi ya hukumu akianza na nyumba ya Mungu ili kuwaokoa wanadamu kabisa. Kwa hiyo ni kwa njia gani hasa mtu anafaa kuelewa kazi ya Mungu ya kuwaokoa wanadamu? Hatuko dhahiri juu ya kipengele hiki cha ukweli, kwa hiyo tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Jibu:
Wakati Bwana Yesu alisema msalabani “Imekwisha” (Yohana 19:30), Alikuwa anazungumzia hasa kuhusu nini? Je, Alimaanisha kwamba kazi ya ukombozi ilikuwa imekwisha, au alikuwa Akimaanisha kwamba kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu kikamilifu ilikuwa imekwisha? Je, watu wa wakati ule hakika wangejua? Inaweza kusemwa kwamba hakuna aliyejua. Kile Bwana Yesu alichosema yalikuwa ni maneno: “Imekwisha.” Hakusema kwamba kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu ilikuwa imekwisha.

8.30.2019

Ulishuhudia kuwa Bwana amerejea na hufanya kazi Yake ya hukumu akianza kwa nyumba ya Mungu katika siku za mwisho. Hili linaonekana kuwa tofauti na hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe katika Kitabu cha Ufunuo. Kile watu wengi katika dini wanachofikiria ni kwamba hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe imelenga wasioamini walio wa pepo Shetani. Bwana atakapokuja, waumini watachukuliwa kwenda mbinguni, na kisha Atatuma maafa kuwaangamiza wasioamini. Hiyo ndiyo hukumu mbele ya kiti cha enzi kikubwa cheupe. Unashuhudia mwanzo wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, lakini hatujaona Mungu akileta maafa kuwaangamiza wasioamini. Basi inawezaje kuwa hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,hukumu

Ulishuhudia kuwa Bwana amerejea na hufanya kazi Yake ya hukumu akianza kwa nyumba ya Mungu katika siku za mwisho. Hili linaonekana kuwa tofauti na hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe katika Kitabu cha Ufunuo. Kile watu wengi katika dini wanachofikiria ni kwamba hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe imelenga wasioamini walio wa pepo Shetani. Bwana atakapokuja, waumini watachukuliwa kwenda mbinguni, na kisha Atatuma maafa kuwaangamiza wasioamini. Hiyo ndiyo hukumu mbele ya kiti cha enzi kikubwa cheupe. Unashuhudia mwanzo wa hukumu ya Mungu katika siku za mwisho, lakini hatujaona Mungu akileta maafa kuwaangamiza wasioamini. Basi inawezaje kuwa hukumu ya kiti cha enzi kikubwa cheupe?

Jibu:
Wale wote ambao wanaelewa Biblia wanajua kuwa hukumu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi iliyotabiriwa katika Kitabu cha Ufunuo ni maono ya hukumu ya Mungu katika siku za mwisho. Mwenyezi Mungu mwenye mwili Alikuja kuonyesha ukweli na kufanya kazi Yake katika siku za mwisho, Akianza kuwatakasa na kuwaokoa binadamu potovu. Hii inamaanisha hukumu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi imeanza tayari. Hukumu lazima ianzie kutoka nyumba ya Mungu. Mungu kwanza Ataunda kikundi cha washindi kabla ya maafa. Kisha, Mungu ataleta chini maafa makubwa na kuanza kuyazawadia mazuri na kuadhibu maovu, hadi hii enzi ya uovu iangamizwe. Hukumu ya Mungu ya kiti kikubwa cheupe cha enzi katika siku za mwisho basi itakamilika kabisa.

8.29.2019

Wewe hushuhudia kuwa Mungu Mwenyezi huonyesha ukweli na hufanya kazi Yake ya hukumu ya siku za mwisho. Nadhani kuwa imani yetu katika Bwana Yesu na kukubali kazi ya Roho Mtakatifu inamaanisha kuwa tayari tumepitia kazi ya Mungu ya hukumu. Hapa kuna maneno ya Bwana Yesu kama ushahidi: “Nisipoenda, Mfariji hatakuja kwenu; lakini nikiondoka, nitamtuma kwenu. Na wakati atakuja, ataushutumu ulimwengu kuhusu dhambi, na kuhusu haki, na kuhusu hukumu” (Yohana 16:7-8). Tunaamini kwamba, ingawa kazi ya Bwana Yesu ilikuwa kazi ya ukombozi, baada ya kupaa mbinguni na siku ya Pentekoste, Roho Mtakatifu alishuka na kufanya kazi kwa wanadamu: “… ataushutumu ulimwengu kuhusu dhambi, na kuhusu haki, na kuhusu hukumu.” Inafaa kuwa kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho, kwa hiyo ninachopenda kukifuatilia ni, ni nini hasa tofauti kati ya kazi ya hukumu katika siku za mwisho zinazofanywa na Mwenyezi Mungu na kazi ya Bwana Yesu?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,siku za mwisho

Wewe hushuhudia kuwa Mungu Mwenyezi huonyesha ukweli na hufanya kazi Yake ya hukumu ya siku za mwisho. Nadhani kuwa imani yetu katika Bwana Yesu na kukubali kazi ya Roho Mtakatifu inamaanisha kuwa tayari tumepitia kazi ya Mungu ya hukumu. Hapa kuna maneno ya Bwana Yesu kama ushahidi: “Nisipoenda, Mfariji hatakuja kwenu; lakini nikiondoka, nitamtuma kwenu. Na wakati atakuja, ataushutumu ulimwengu kuhusu dhambi, na kuhusu haki, na kuhusu hukumu” (Yohana 16:7-8). Tunaamini kwamba, ingawa kazi ya Bwana Yesu ilikuwa kazi ya ukombozi, baada ya kupaa mbinguni na siku ya Pentekoste, Roho Mtakatifu alishuka na kufanya kazi kwa wanadamu: “… ataushutumu ulimwengu kuhusu dhambi, na kuhusu haki, na kuhusu hukumu.” Inafaa kuwa kazi ya Mungu ya hukumu katika siku za mwisho, kwa hiyo ninachopenda kukifuatilia ni, ni nini hasa tofauti kati ya kazi ya hukumu katika siku za mwisho zinazofanywa na Mwenyezi Mungu na kazi ya Bwana Yesu?

Jibu:
Kwa kuwa mnatambua aliyofanya Bwana Yesu ilikuwa kazi ya ukombozi, na njia aliyoleta ni: “Tubuni: kwa kuwa ufalme wa mbinguni u karibu” (Mathayo 4:17), basi mlikuwa na msingi gani kuamua kwamba Roho Mtakatifu alikuja katika Pentekoste kufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho? Mlitumia tu msingi wa neno la Bwana Yesu ambalo lilisema, “Nisipoenda, Mfariji hatakuja kwenu; lakini nikiondoka, nitamtuma kwenu. Na wakati atakuja, ataushutumu ulimwengu kuhusu dhambi, na kuhusu haki, na kuhusu hukumu” (Yohana 16:7-8), mnathubutu kuwa na uhakika kwamba kazi iliyofanywa na Roho Mtakatifu ilikuwa kazi ya hukumu katika siku za mwisho, kuna msingi wowote kulingana na neno la Mungu? Je, Bwana Yesu alisema “Roho Mtakatifu amekuja.

8.28.2019

Imeandikwa wazi katika Biblia kwamba Bwana Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu, na wale wote wanaomwamini Bwana pia wanaamini kwamba Bwana Yesu ni Kristo na kwamba Yeye ni Mwana wa Mungu. Na bado unashuhudia kuwa Kristo mwenye mwili ni onyesho la Mungu, kwamba Yeye ni Mungu Mwenyewe. Utatuambia tafadhali kama Kristo mwenye mwili kweli ni Mwana wa Mungu, au ni Mungu Mwenyewe?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,ukweli

wanaomwamini Bwana pia wanaamini kwamba Bwana Yesu ni Kristo na kwamba Yeye ni Mwana wa Mungu. Na bado unashuhudia kuwa Kristo mwenye mwili ni onyesho la Mungu, kwamba Yeye ni Mungu Mwenyewe. Utatuambia tafadhali kama Kristo mwenye mwili kweli ni Mwana wa Mungu, au ni Mungu Mwenyewe?

Jibu:
Kristo aliyepata mwili ni Mungu Mwenyewe au Mwana wa Mungu? Hasa ni swali ambalo waumini wengi huwa na tatizo kulielewa. Wakati Bwana Yesu aliyepata mwili Alikuja kufanya kazi ya kuwakomboa wanadamu, Mungu aligeuka kuwa Mwana wa Adamu, Akionekana na kufanya kazi miongoni mwa wanadamu. Hakuifungua tu Enzi ya Neema, lakini alianzisha pia enzi mpya ambamo Mungu alikuja mwenyewe katika ulimwengu wa wanadamu kuishi na mwanadamu. Kwa ibada kuu, mwanadamu Alimwita Bwana Yesu kama Kristo, Mwana wa Mungu. Wakati huo, Roho Mtakatifu pia alishuhudia ukweli kwamba Bwana Yesu ni Mwana mpendwa wa Mungu, na Bwana Yesu alimwita Mungu wa mbinguni Baba. Kwa namna hii, fikira ya uhusiano huu wa Baba-Mwana uliundwa katika ulimwengu wa dini. Sasa hebu tufikirie kwa muda mfupi.

8.27.2019

Katika Enzi ya Neema, Mungu alipata mwili ili kutumika kama sadaka ya dhambi kwa wanadamu, akiwaokoa kutoka kwa dhambi. Katika siku za mwisho Mungu amepata mwili tena ili kuonyesha ukweli na kufanya kazi Yake ya hukumu ili kumtakasa na kumwokoa mwanadamu kabisa. Kwa nini Mungu anahitaji kuwa mwili mara mbili ili kufanya kazi ya kumwokoa wanadamu? Na kuna umuhimu gani wa Mungu kuwa mwili mara mbili?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Mungu

Katika Enzi ya Neema, Mungu alipata mwili ili kutumika kama sadaka ya dhambi kwa wanadamu, akiwaokoa kutoka kwa dhambi. Katika siku za mwisho Mungu amepata mwili tena ili kuonyesha ukweli na kufanya kazi Yake ya hukumu ili kumtakasa na kumwokoa mwanadamu kabisa. Kwa nini Mungu anahitaji kuwa mwili mara mbili ili kufanya kazi ya kumwokoa wanadamu? Na kuna umuhimu gani wa Mungu kuwa mwili mara mbili?

Jibu:
Ni kwa nini lazima Mungu apate mwili mara mbili kufanya kazi ya kuwaokoa wanadamu? Tunapaswa kuelewa vizuri kwanza: Kuhusu wokovu wa wanadamu, kupata mwili kwa Mungu mara mbili kuna maana ya kina na kubwa. Kwa sababu kazi ya wokovu, haijalishi kama tunazungumza kuhusu ukombozi au hukumu na utakaso katika siku za mwisho, haiwezi kutekelezwa na mwanadamu. Inahitaji Mungu kupata mwili na kutekeleza kazi hiyo Mwenyewe. Katika Enzi ya Neema, Mungu alipata mwili kama Bwana Yesu, yaani, Roho wa Mungu alijivika mwili mtakatifu na usio na dhambi, na alipigiliwa misumari msalabani kutumika kama dhabihu ya dhambi, Akamkomboa mwanadamu kutoka kwa dhambi yake. Ndiyo. Sote tunalifahamu hili. Lakini kuhusu kurudi kwa Bwana Yesu katika siku za mwisho, kwa nini Anapata mwili kama Mwana wa Adamu kuonekana na kufanya kazi? Wengi wana wakati mgumu kulielewa hili.

8.26.2019

Mungu alimtumia Musa kufanya kazi ya Enzi ya Sheria, hivyo kwa nini Mungu hawatumii watu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho, lakini badala yake Analazimika kupata mwili ili kuifanya Mwenyewe?

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,upendo wa Mungu

Mungu alimtumia Musa kufanya kazi ya Enzi ya Sheria, hivyo kwa nini Mungu hawatumii watu kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho, lakini badala yake Analazimika kupata mwili ili kuifanya Mwenyewe?

Jibu:
Ni kwa nini lazima Mungu apate mwili ili kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho? ni swali ambalo wengi walio na kiu ya ukweli na wanatafuta kuonekana kwa Mungu wanalijali sana. Pia ni swali linalohusiana na kama tunaweza kunyakuliwa kwenda katika ufalme wa mbinguni. Kwa hiyo, ni muhimu sana kuelewa kipengele hiki cha ukweli. Ni kwa nini lazima Mungu ajipatie mwili ili kufanya kazi Yake ya hukumu katika siku za mwisho badala ya kumtumia mwanadamu kuifanya kazi Yake? Hili linaamuliwa na hali ya kazi ya hukumu. Kwa sababu kazi ya hukumu ni onyesho la Mungu la ukweli na onyesho la tabia Yake yenye haki ili kuwashinda, kuwatakasa, na kuwaokoa wanadamu. Hebu tusome vifungu vichache kutoka kwa neno la Mwenyezi Mungu.

8.25.2019

Bwana Yesu alikuwa Mungu mwenye mwili na hakuna yeyote anaweza kukanusha hili. Sasa unashuhudia kwamba Mwenyezi Mungu ni Bwana Yesu aliyerudi katika mwili, lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanasema kuwa kile unachoamini ni mtu tu, wanasema kuwa umedanganywa, na hatuwezi kulielewa jambo hili. Wakati huo Bwana Yesu alipokuwa mwili na kuja kufanya kazi ya ukombozi, Mafarisayo Wayahudi pia walisema kuwa Bwana Yesu alikuwa mtu tu, wakisema kwamba mtu yeyote aliyemwamini Yeye alikuwa akidanganywa. Kwa hiyo, tungependa kufuatilia kipengele hiki cha ukweli kuhusu kupata mwili. Kupata mwili ni nini hasa? Na ni nini asili ya kupata mwili? Tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,siku za mwisho

Bwana Yesu alikuwa Mungu mwenye mwili na hakuna yeyote anaweza kukanusha hili. Sasa unashuhudia kwamba Mwenyezi Mungu ni Bwana Yesu aliyerudi katika mwili, lakini wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanasema kuwa kile unachoamini ni mtu tu, wanasema kuwa umedanganywa, na hatuwezi kulielewa jambo hili. Wakati huo Bwana Yesu alipokuwa mwili na kuja kufanya kazi ya ukombozi, Mafarisayo Wayahudi pia walisema kuwa Bwana Yesu alikuwa mtu tu, wakisema kwamba mtu yeyote aliyemwamini Yeye alikuwa akidanganywa. Kwa hiyo, tungependa kufuatilia kipengele hiki cha ukweli kuhusu kupata mwili. Kupata mwili ni nini hasa? Na ni nini asili ya kupata mwili? Tafadhali shiriki hili kwa ajili yetu.

Jibu:
Imani yenu katika Bwana Yesu kama kupata mwili kwa Mungu si uwongo. Lakini mbona mnamwamini Bwana Yesu? Je, kweli mnamfikiria Bwana Yesu kuwa ni Mungu? Mnamwamini Bwana Yesu kwa sababu ya kile kilichorekodiwa katika Biblia na kwa sababu ya kazi ya Roho Mtakatifu. Lakini haijalishi mnachosema, ikiwa hamjamwona Bwana Yesu uso kwa uso, je, mwaweza kuthubutu kusema kwamba mnamjua Bwana Yesu? Katika imani yenu kwa Bwana, mnarudia tu maneno ya Petro, aliyesema kwamba Bwana Yesu ni Kristo, Mwana wa Mungu aishiye, lakini je, mnaamini kwamba Bwana Yesu ni dhihirisho la Mungu, ni Mungu Mwenyewe? Mnathubutu kusema kwamba mnatambua kiini kitakatifu cha Bwana Yesu? Mnathubutu kuahidi kwamba kama Bwana Yesu angekuja tena akionyesha ukweli, mngetambua sauti Yake? Imani yenu kwa Bwana Yesu si chochote ila imani katika maneno haya mawili “Bwana Yesu.”

8.24.2019

Wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa mara nyingi huwahubiria waumini kwamba mahubiri yoyote yanayosema kwamba Bwana amekuja katika mwili ni uongo. Wao hutegemeza hili aya za Biblia: “Basi iwapo mtu yeyote atawaambia, Tazameni, Kristo yuko huku, au yuko pale; msiamini hili. Kwa kuwa wataibuka Makristo wasio wa kweli, na manabii wasio wa kweli, nao wataonyesha ishara kubwa na vioja; ili kwamba, ikiwezekana, watawadanganya walio wateule zaidi” (Mathayo 24: 23-24). Sasa hatuna habari tunavyofaa kumtambua Kristo wa kweli kutoka kwa wale wa uongo, hivyo tafadhali jibu swali hili.

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,Kanisa

Wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa mara nyingi huwahubiria waumini kwamba mahubiri yoyote yanayosema kwamba Bwana amekuja katika mwili ni uongo. Wao hutegemeza hili aya za Biblia: “Basi iwapo mtu yeyote atawaambia, Tazameni, Kristo yuko huku, au yuko pale; msiamini hili. Kwa kuwa wataibuka Makristo wasio wa kweli, na manabii wasio wa kweli, nao wataonyesha ishara kubwa na vioja; ili kwamba, ikiwezekana, watawadanganya walio wateule zaidi” (Mathayo 24: 23-24). Sasa hatuna habari tunavyofaa kumtambua Kristo wa kweli kutoka kwa wale wa uongo, hivyo tafadhali jibu swali hili.

Jibu:
Bwana Yesu kweli alitabiri kwamba kungekuwa na Kristo wa uongo na manabii wa uongo katika siku za mwisho. Huu ni ukweli. Lakini Bwana Yesu pia alitabiri wazi mara nyingi kwamba Atarudi. Hakika tunaamini hivyo? Wakati wa kuchunguza unabii wa Bwana Yesu kurudi, watu wengi huupa kipaumbele wasiwasi wao wa Kristo wa uongo na manabii wa uongo. na kutotilia maanani jinsi ya kukaribisha kuwasili kwa bwana harusi, na jinsi ya kusikia sauti ya bwana harusi. Suala ni lipi hapa? Je, si hili ni jambo la kula kwa hofu ya kusongwa, ya kuwa mwenye busara katika umaskini na kuwa mjinga utajirini?

8.23.2019

Unasema kwamba Bwana Yesu amerudi, kwa nini hatujamwona? Kuona ni kuamini. Kama hatujamwona, basi hilo lazima limaanishe kuwa Yeye hajarudi bado; nitaamini hilo nitakapomwona. Unasema kwamba Bwana Yesu amerudi, kwa hiyo Yuko wapi sasa? Anafanya kazi gani? Bwana Amesema maneno gani? Nitaliamini ukishuhudia kwa dhahiri mambo haya.

Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,siku za mwisho

Unasema kwamba Bwana Yesu amerudi, kwa nini hatujamwona? Kuona ni kuamini. Kama hatujamwona, basi hilo lazima limaanishe kuwa Yeye hajarudi bado; nitaamini hilo nitakapomwona. Unasema kwamba Bwana Yesu amerudi, kwa hiyo Yuko wapi sasa? Anafanya kazi gani? Bwana Amesema maneno gani? Nitaliamini ukishuhudia kwa dhahiri mambo haya.

Jibu:
Kuonekana kwa Mungu na kazi katika siku za mwisho ni kama tu Bwana Yesu alivyotabiri. Kuna sehemu mbili—kuwasili Kwake kwa siri na kuwasili Kwake hadharani. Kuwasili kwa siri kunamaanisha Mungu kupata mwili miongoni mwa wanadamu kama Mwana wa Adamu ili kutamka maneno Yake, na kufanya kazi Yake ya siku za mwisho. Huku ni kuwasili Kwake kwa siri. Kuwasili hadharani ni Bwana kuja kwa wazi na mawingu, yaani, Bwana kuwasili na watakatifu wengi sana, akionekana kwa mataifa yote na watu wote. Tunaposhuhudia kazi ya Mungu ya siku za mwisho kwa sasa, watu wengi wana mashaka: “Mnasema kwamba Mungu ameonekana na anafanya kazi.

8.22.2019

Unashuhudia kwamba Mungu amekuwa mwili na kuwa Mwana wa Adamu ili kufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, na bado wengi wa wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanakiri kwamba Bwana atarudi akija na mawingu, na wanategemeza hili hasa aya za Biblia: “Huyu Yesu … atakuja kwa namna hiyo hiyo ambayo mmemuona akienda mbinguni” (Matendo 1:11). “Tazama, anakuja na mawingu; nalo kila jicho litamwona yeye” (Ufunuo 1:7). Na zaidi ya hayo, wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa pia hutufundisha kwamba Bwana Yesu yeyote asiyekuja na mawingu ni wa uongo na lazima aachwe. Kwa hiyo hatuna uhakika kama mtazamo huu unakubaliana na Biblia; ni sahihi kuchukua huu kama ukweli au la?

Unashuhudia kwamba Mungu amekuwa mwili na kuwa Mwana wa Adamu ili kufanya kazi ya hukumu katika siku za mwisho, na bado wengi wa wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa wanakiri kwamba Bwana atarudi akija na mawingu, na wanategemeza hili hasa aya za Biblia: “Huyu Yesu … atakuja kwa namna hiyo hiyo ambayo mmemuona akienda mbinguni” (Matendo 1:11). “Tazama, anakuja na mawingu; nalo kila jicho litamwona yeye” (Ufunuo 1:7). Na zaidi ya hayo, wachungaji wa kidini na wazee wa kanisa pia hutufundisha kwamba Bwana Yesu yeyote asiyekuja na mawingu ni wa uongo na lazima aachwe. Kwa hiyo hatuna uhakika kama mtazamo huu unakubaliana na Biblia; ni sahihi kuchukua huu kama ukweli au la?

Jibu:
Ikija kwa kungoja kushuka kwa Bwana na mawingu, lazima tusitegemee mawazo ya mwanadamu na fikira! Mafarisayo walifanya kosa kubwa kwa kungoja kufika kwa Masiha. Walitumia kabisa mawazo na fikira ya mwanadamu kumtathmini Bwana Yesu ambaye alisharudi tayari. Mwishowe, walimsulubisha Bwana Yesu msalabani. Je, huu sio ukweli? Je, kungoja kufika kwa Bwana ni rahisi kama tufikiriavyo? Ikiwa Bwana atarudi na kufanya kazi kati ya binadamu kama jinsi Bwana Yesu kwa mwili Alikuwa Amefanya, na hatumtambui Yeye, basi pia sisi tutamhukumu na kumshutumu Yeye kama vile Mafarisayo walivyofanya na kumsulubisha Yeye mara nyingine? Je, huu ni uwezekano? Bwana Yesu alitabiri kuwa Atarudi na Akasema maneno mengi kuihusu, lakini nyinyi mnashikilia tu unabii kuwa Bwana atashuka na mawingu na hamtafuti na kuchunguza nabii zingine muhimu zilizoongelewa na Bwana.

8.21.2019

Swali la 1: Tunaamini kwamba kurudi kwa Bwana kutamaanisha kwamba waumini wanainuliwa moja kwa moja hadi katika ufalme wa mbinguni, kwa maana imeandikwa katika Biblia: “Baada ya hayo sisi ambao tuko hai na kusalia tutachukuliwa pamoja na wao mawinguni, kwa ajili ya kukutana na Bwana katika hewa: na hivyo tutakuwa naye Bwana daima” (1Wathesalonike 4:17). Unashuhudia kuwa Bwana Yesu amerejea, hivyo ni kwa nini sisi sasa tuko duniani na bado hatujanyakuliwa?

Tunaamini kwamba kurudi kwa Bwana kutamaanisha kwamba waumini wanainuliwa moja kwa moja hadi katika ufalme wa mbinguni, kwa maana imeandikwa katika Biblia: “Baada ya hayo sisi ambao tuko hai na kusalia tutachukuliwa pamoja na wao mawinguni, kwa ajili ya kukutana na Bwana katika hewa: na hivyo tutakuwa naye Bwana daima” (1Wathesalonike 4:17). Unashuhudia kuwa Bwana Yesu amerejea, hivyo ni kwa nini sisi sasa tuko duniani na bado hatujanyakuliwa?

Jibu:
Tunapaswa kutarajia kurudi kwa Bwana kulingana na unabii ambao Yeye Mwenyewe aliuzungumza. Hiyo ndiyo njia ya kawaida kabisa ya kusubiri kurudi kwa Bwana. Unamnukuu nani, kwa hakika? Je, unanukuu maneno ya Bwana au maneno ya wanadamu? “Kisha sisi tulio hai na tuliosalia tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili tumlaki Bwana hewani,” ni nani aliyasema hayo? Je, hayo ni maneno ya Bwana Yesu? Bwana Yesu hajawahi kamwe kusema kitu chochote kama hicho. Roho Mtakatifu hakuwahi kamwe kusema hilo, pia. Maneno unayoamini na unayonukuu ni maneno ya Paulo.

8.20.2019

Unyakuo wa kweli ni nini?

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Umeme wa Mashariki,Kanisa

XX. Ni Lazima Mtu Ashiriki kwa Dhahiri Unyakuo ni nini na Maana Halisi ya Kuinuliwa Mbele ya Kiti cha Enzi cha Mungu

Unyakuo wa kweli ni nini?

Aya za Biblia za Kurejelea:
Na kukawa na kelele saa sita ya usiku, Tazama, anakuja bwana arusi; ondokeni nje ili kumkaribisha. … na wale waliokuwa tayari wakaingia ndani na yeye kwa harusi: nao mlango ukafungwa” (Mathayo 25:6, 10).
Tazama, nimesimama mlangoni, na kupiga hodi: mtu yeyote akisikia sauti yangu, na aufungue mlango, Mimi nitaingia kwake, na nitakula na yeye, na yeye na Mimi” (Ufunuo 3:20).
Andika, Wamebarikiwa wale wanaoitwa katika karamu ya arusi ya Mwanakondoo” (Ufunuo 19:9).