11.01.2018

Tamko la Sabini

Tamko la Sabini

Kwamba siri Yangu imefichuliwa na kuonyeshwa bayana, pasi kufichwa tena, ni kwa njia ya neema Yangu na huruma kabisa. Kwamba neno Langu linaonekana miongoni mwa wanadamu, pasi kufichwa tena, hata zaidi ni kwa neema na huruma Zangu. Ninawapenda wote wanaotumia rasilmali kwa moyo safi kwa ajili Yangu na kujitolea Kwangu.

10.31.2018

Maana ya Ishara ya Ghadhabu ya Mungu

Maana ya Ishara ya Ghadhabu ya Mungu

I
Maonyesho ya Mungu ya ghadhabu Yake yanaashiria kwamba nguvu zote za uovu zitakoma kuwepo;
yanaashiria kuwa nguvu zote za kihasama zitaharibiwa.
Huu ndio upekee wa tabia ya Mungu ya haki, na ni upekee wa ghadhabu ya Mungu.

Tamko la Sabini na Saba

Tamko la Sabini na Saba

Mwenyezi Mungu alisema, Kutokuwa na hakika ya maneno Yangu ni sawa na kushikilia mtazamo wa kukanusha kuelekea matendo Yangu. Yaani, maneno Yangu yamebubujika kutoka ndani ya Mwanangu, lakini hamyatilii maanani. Ninyi hamko makini!

10.30.2018

Swahili Christian Music Video "Hadithi ya Xiaozhen" (5): Maisha katika Bwalo la Dansi



Swahili Christian Music Video "Hadithi ya Xiaozhen" (5): Maisha katika Bwalo la Dansi

      Akiishi nyuma ya kinyago, Xiaozhen alisimilishwa na kumezwa polepole na ulimwengu huu. Alipoteza heshima yake miongoni mwa njia potovu za ulimwengu mbaya …

      Kujua zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?, Kujua Kanisa la Mwenyezi Mungu



Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Nyimbo, Injili


  • Mpendwa Wangu, Tafadhali Nisubiri
  • I
  • Juu ya miti, ukipanda mwezi mtulivu.
  • Kama mpenzi wangu, mwenye haki na mzuri.
  • Ee mpenzi wangu, uko wapi Wewe?
  • Sasa ninalia. Je unanisikia nikilia?
  • Wewe ndiye Unayenipa upendo. 

10.29.2018

Kutembea Katika Njia ya Kumpenda Mungu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, Nyimbo, Injili

 Kutembea Katika Njia ya Kumpenda Mungu

Sijali kuhusu njia iliyo mbele;
nafanya tu mapenzi ya Mungu kama wito wangu.
Wala sijali kuhusu maisha yangu ya usoni.
Kwa kuwa nimechagua kumpenda Mungu, nitakuwa mwaminifu hadi mwisho. 

Tamko la Nne

Tamko la Nne

Daima tutakuwa tukiangalia na kusubiri, kuwa na utulivu katika roho na kutafuta kwa moyo safi. Chochote kitakachotufikia, tusishiriki kwa upofu. Twahitajika tu kuwa kimya mbele ya Mungu na daima kushiriki naye, na kisha nia Yake itafichuliwa kwetu.

Tamko la Themanini na Nne

Tamko la Themanini na Nne

Kwa sababu ya ukosefu wao wa ujuzi kunihusu Mimi, mwanadamu amekatiza usimamizi Wangu na kudhoofisha mipango Yangu mara zisizo na idadi, lakini hawajawahi kuweza kuzuia hatua Zangu zinazoendelea mbele. Hii ni kwa sababu Mimi ni Mungu wa hekima.

10.28.2018

Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu

Mtazamo wa Mungu kwa Mwanadamu

I
Matendo maovu ya wanadamu yanapomchukiza Mungu,
Ataiteremsha hasira Yake juu yao,
ila wanapotubu kwa kweli mbele Yake.
Watu wanapoendelea kumpinga Mungu,
Ghadhabu Yake haitakoma, hata watakapoangamizwa.
Hii ni tabia ya Mungu.

Tamko la Themanini na Saba

Tamko la Themanini na Saba

Lazima uharakishe hatua na ufanye kile Nataka kufanya. Hii ni kusudi Langu lenye hamu kwenu. Inawezekana kuwa kwa wakati huu bado hamjaelewa maana ya maneno Yangu? Inawezekana kuwa bado hamjui kusudi Langu? Nimezungumza wazi zaidi na zaidi, na kusema mengi zaidi, lakini, je, ninyi hamjajitahidi kujaribu kuelewa maana ya maneno Yangu? Shetani, usifikiri kwamba unaweza kuharibu mpango Wangu!

10.27.2018

Swahili Christian Music Video "Hadithi ya Xiaozhen" (3): Wakiacha Wema na Kufuata Uovu


Swahili Christian Music Video "Hadithi ya Xiaozhen" (3): Wakiacha Wema na Kufuata Uovu


      Katika ulimwengu huu wa mioyo mibaya ambapo pesa ni mfalme, ni machaguo yapi ambayo Xiaozhen aliye safi na mzuri aliyafanya, ya maisha na ya kuendelea kuishi …

Mungu Mwenye Mwili Anapendeza Sana

Mungu Mwenye Mwili Anapendeza Sana

I
Baada ya Mungu kupata mwili, akiishi maisha kati ya wanadamu,
Aliona upotovu wa mwanadamu, hali ya maisha yake.
Mungu katika mwili alihisi sana kutojiweza kwa mwanadamu,
jinsi gani wanavyodharaulika; Alihisi huzuni yake.
Mungu alipata huruma zaidi kwa hali ya binadamu,