11.06.2018

"Kubisha Hodi Mlangoni" (4) - Bwana Anabisha Mlangoni: Unaweza Kuitambua Sauti ya Bwana (1)


"Kubisha Hodi Mlangoni" (4) - Bwana Anabisha Mlangoni: Unaweza Kuitambua Sauti ya Bwana (1)


      Bwana Yesu alisema, "Kondoo wangu huisikia sauti yangu" (Yohana 10:27). Kwa dhahiri, Bwana ananena ili kuwatafuta kondoo Wake wakati wa kurudi Kwake. Jambo la muhimu zaidi kwa Wakristo kufanya wanaposubiri kuja kwa Bwana ni kutafuta kusikia sauti ya Bwana.

Njia Yote Pamoja na Wewe

Umeme wa Mashariki,Nyimbo,Injili



  • I
  • Nilikuwa kama mashua,
  • ikielea baharini.
  • Ulinichagua,
  • na mahali pazuri Uliniongoza.
  • Sasa katika familia Yako,
  • nikipewa joto na upendo Wako,
  • nina amani kabisa.
  • Unanibariki,
  • Unatoa maneno Yako ya hukumu.
  • Bado sijui jinsi ninavyokosa kuithamini neema Yako. 

11.05.2018

Tamko la Saba

Tamko la Saba

Kuinuka kwa mazingira pande zetu zote huharakisha kurudi nyuma kwetu katika roho. Usitende kwa moyo mgumu, usipuuze kwa vyovyote vile kama Roho Mtakatifu Ana wasiwasi, usijaribu kuwa mjanja na usiwe na ridhaa kupita kiasi na kuridhika kibinafsi au kuzingatia sana matatizo yako mwenyewe; kitu pekee cha kufanya ni kumwabudu Mungu katika roho na kweli.

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Mungu Amemleta Mwanadamu Katika Enzi Mpya

Kazi ya Mungu inaongoza ulimwengu wote na, zaidi ya hayo, umeme unaangaza moja kwa moja kutoka Mashariki hadi Magharibi.
I
Mungu anaeneza kazi Yake kati ya mataifa.
Utukufu Wake unaangaza katika ulimwengu.
Mapenzi Yake, yaliyomo katika wanadamu waliotawanyika,
wote wakiongozwa na mkono Wake, wakifanya kazi walizopewa.
Sasa Ameingia katika enzi mpya,
kuleta wanadamu wote katika ulimwengu mwingine. 

11.04.2018

Tamko la Sita

Tamko la Sita

Mwenyezi Mungu, Mkuu wa vitu vyote, hushika madaraka Yake ya kifalme kutoka kwa kiti Chake cha enzi. Yeye hutawala ulimwengu na vitu vyote Naye Anatuongoza katika dunia yote. Mara kwa mara tutakuwa karibu Naye, na kuja mbele Zake kwa utulivu; kamwe hatutakosa wakati mmoja, na kuna mambo ya kujifunza wakati wote. Mazingira yanayotuzunguka pamoja na watu, mambo na vitu, yote yameruhusiwa na kiti Chake cha enzi.

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

Ulimwengu wote ni Mpya Kabisa katika Utukufu wa Mungu

Katika ufalme Wake, maneno ya Mungu hutoka.
Naye hutembea kila mahali duniani.
Naye amefanikiwa juu ya maeneo yote ya duniani,
juu ya nchi yote iliyo najisi na yenye uchafu.
Sio mbingu tu bali dunia inabadilika. 

11.03.2018

Tamko la Tano

Tamko la Tano

Milima na mito huenda ikibadilika, vijito hutiririka mbele, na maisha ya mtu ni yenye uvumilivu mdogo kuliko ardhi na anga. Mwenyezi Mungu pekee ndiye maisha ya milele yaliyofufuka milele, katika vizazi hai milele! Vitu vyote na matukio viko katika mikono Yake, Shetani yuko chini ya miguu Yake.

Christian Testimony Video Swahili "Moyo Uliopotea Waja Nyumbani" Wokovu wa Ajabu wa Mungu


Christian Testimony Video Swahili "Moyo Uliopotea Waja Nyumbani" Wokovu wa Ajabu wa Mungu


    Tangu alipokuwa mdogo, Novo alimwamini Bwana Yesu, kama mama yake tu. Hata kama alisoma Biblia, kuomba, na kuhudhuria mahubiri mara kwa mara, mara nyingi hangeweza kujizuia bali kufuata mielekeo mibaya ya dunia, kutamani raha za mwili, na kudanganya na kusema uwongo…. Alikusudia mara nyingi kuyaacha maisha ya aina hiyo ya kuzunguka katika kutenda dhambi na kukiri, kukiri na kutenda dhambi.

11.02.2018

Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote



  • Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote

  • I
  • Kutoka unapoingia katika dunia hii ukilia,
  • unaanza kutenda wajibu wako.
  • Katika mpango na utaratibu wa Mungu,
  • unachukua nafasi yako,
  • na unaanza safari ya maisha. 

Anga Hapa ni Samawati Sana

Anga Hapa ni Samawati Sana

Hii hapa anga,
anga iliyo tofauti sana!
I
Harufu ya kupendeza inasambazwa kote kwenye nchi, na hewa ni safi.
Mwenyezi Mungu alikuwa mwili na anaishi miongoni mwetu,
Akionyesha ukweli na kuanza hukumu ya siku za mwisho.
Maneno ya Mungu yanaweka wazi ukweli wa upotovu wetu,
tunatakaswa na kukamilishwa na kila aina ya jaribio na usafishaji. 

11.01.2018

Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita

Ufafanuzi wa Tamko la Arubaini na Sita

Miongoni mwa maneno haya yote, hakuna yasiyoweza kusahaulika zaidi kama yale ya leo. Awali maneno ya Mungu yalifichua hali za mwanadamu au siri za mbinguni, lakini tamko hili halifanani na yale ya wakati uliopita.

Tamko la Sabini

Tamko la Sabini

Kwamba siri Yangu imefichuliwa na kuonyeshwa bayana, pasi kufichwa tena, ni kwa njia ya neema Yangu na huruma kabisa. Kwamba neno Langu linaonekana miongoni mwa wanadamu, pasi kufichwa tena, hata zaidi ni kwa neema na huruma Zangu. Ninawapenda wote wanaotumia rasilmali kwa moyo safi kwa ajili Yangu na kujitolea Kwangu.