Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Yohana. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Yohana. Onyesha machapisho yote

11.21.2017

Kanisa la Mwenyezi Mungu | Fumbo la Kupata Mwili (1)


  Matamshi ya Mwenyezi Mungu: Katika Enzi ya Neema, Yohana alimwandalia Yesu njia. Hangeweza kufanya kazi ya Mungu Mwenyewe ila alitimiza tu kazi ya mwanadamu. Ingawa Yohana alikuwa mtangulizi wa Bwana; hangeweza kumwakilisha Mungu; alikuwa tu binadamu aliyetumiwa na Roho Mtakatifu. Kufuatia ubatizo wa Yesu, “Roho Mtakatifu alimshukia Yeye kwa mfano wa njiwa.” Kisha Akaanza kazi Yake, hivyo, Alianza kufanya huduma ya Kristo. Hiyo ndiyo maana Alichukua utambulisho wa Mungu, kwa sababu Alitoka Kwa Mungu.