10.06.2018

Nimeuona uzuri wa Mungu

Umeme wa Mashariki, Mungu, Nyimbo, wokovu



  • Nimeuona uzuri wa Mungu

  •  
  • I
  • Nasikia sauti ijulikanayo ikiniita mara kwa mara.
  • Nikaamka na kuangalia kuona,
  • ni nani aliye pale akizungumza.
  • Sauti yake ni nyororo lakini kali,
  • picha Yake nzuri! 
  • Nateseka kupigwa na kuvumilia maumivu makubwa,
  • nikipapaswa na mkono Wake wenye upendo.
  • Halafu natambua ni Mwenyezi ambaye nilipigana naye.
  • Najichukia mwenyewe, kwa majuto makubwa,
  • fikiria niliyoyafanya.
  • Nimepotoka kwa kina, hakuna wanadamu,
  • sasa nauona ukweli.
  • Pamoja na mwanzo mpya, kujiingiza katika maisha halisi,
  • kutimiza wajibu wangu.
  • Kwa hali, kushindana na Mungu, mimi siheshimiki.
  • Mungu bado Mungu, mtu ni mtu—mimi ni mjinga sana.
  • Mjinga na mwenye kiburi kiasi cha kutoijua nafsi yangu halisi.
  • Nilikosa aibu na kutahayarika;
  • moyo wangu umejaa majuto.
  • Najichukia mwenyewe,
  • bila kujua kile ninachoishia.
  • Shetani alinikanyaga kwa miaka mingi sana,
  • nikawa mdharauliwa.
  • Wakishapewa sumu na yule Mwovu,
  • wanadamu wamepotea.
  • Kama sitabadilishwa na kuzaliwa upya,
  • sina maisha ya kweli.
  • II
  • Tabia yangu potovu hunisumbua,
  • huduma yangu bado i bure.
  • Ni mjinga wa kumjua Mungu, na kujawa na dhana;
  • jinsi gani mimi singepinga?
  • Mungu hunihukumu, kwa uasi wangu,
  • na ukosefu wa uadilifu.
  • Nimeuona upendo wa kweli wa kuadibu na kuhukumu.
  • Mungu ni mwenye haki, mimi nina hakika kabisa.
  • Niko ana kwa ana naye.
  • Wokovu wa vitendo wa Mungu umenisaidia kufika umbali huu.
  • Uhalisi wa Mungu na uweza wake,
  • vimefichuliwa kikamilifu kwa mtu.
  • Kwa kuishi katika mwanga,
  • namjua Mungu na kuuona uzuri wake.
  • Nikiwa na nia ya kutimiza wajibu,
  • Nitamtosheleza Mungu na kumpenda.
  •  
  • kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

               Yaliyopendekezwa: Kujua zaidi Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?
                                          Soma zaidi Asili ya Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni