Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Uumbaji-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Uumbaji-wa-Mungu. Onyesha machapisho yote

2.17.2019

Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I)” Sehemu ya Kwanza


Matamshi ya Mungu | “Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I Mamlaka ya Mungu (I)” Sehemu ya Kwanza


Maneno ya Mungu katika video hii ni kutoka kitabu “Neno Laonekana katika Mwili”.
Maudhui ya video hii:
Kwenye Siku ya Kwanza, Mchana na Usiku wa Mwanadamu Vinazaliwa na Kujitokeza Waziwazi kwa Msaada wa Mamlaka ya Mungu
Kwenye Siku ya Pili, Mamlaka ya Mungu Yalipangilia Maji, na Kufanya Mbingu, na Anga za Mbinu za Kimsingi Zaidi za Kuishi kwa Binadamu Kuonekana

2.08.2019

Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

I
Mungu aliumba ulimwengu huu na akamleta mwanadamu ndani yake,
kiumbe hai ambaye Mungu alimpa uhai.
Kisha mwanadamu akawa na wazazi na jamaa, hayuko pekee tena,
alikusudiwa kuishi katika utaratibu wa Mungu.