2.08.2019

Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

Hakuna Anayeelewa Matamanio ya Mungu Yenye Bidii ya Kumwokoa Mwanadamu

I
Mungu aliumba ulimwengu huu na akamleta mwanadamu ndani yake,
kiumbe hai ambaye Mungu alimpa uhai.
Kisha mwanadamu akawa na wazazi na jamaa, hayuko pekee tena,
alikusudiwa kuishi katika utaratibu wa Mungu. 
Ni pumzi ya uhai kutoka kwa Mungu
ambayo inakimu kila kiumbe hai
kote katika ukuaji wao hadi utu uzima.
Wakati wa maendeleo haya yote, wanaamini kwamba
ni kwa sababu ya upendo na utunzaji wa wazazi wao.
Hapana mwanadamu hata mmoja ambaye Mungu anamtunza mchana na usiku
anayechukua hatua ya kumwabudu Yeye.
Mungu anaendelea kufanya kazi kama vile Alivyopanga juu ya mwanadamu,
ambaye anaonekana hana matumaini yoyote.
Na Anatumaini kwamba siku moja,
mwanadamu ataamka kutoka ndoto yake,
aone thamani na kusudi la maisha,
aelewe kilichomgharimu Mungu kumpa mwanadamu kila kitu,
jinsi Anavyotamani mwanadamu arudi Kwake.
Naam, Anatamani mwanadamu arudi Kwake.
II
Hakuna anayeamini kwamba mwanadamu anaishi na kukua chini ya usimamizi wa Mungu.
Wanafikiri ukuaji wa mwanadamu unatokana na silika ya maisha.
Kwa maana hawajui nani aliyetoa uhai au ulitoka wapi,
jinsi silika ya maisha inavyosababisha miujiza.
Ee, wanafikiri kwamba chakula ambacho wanakula kinaendeleza maisha,
kwamba mwanadamu anaishi kwa sababu anastahamili,
kwamba mwanadamu anaishi kwa imani.
Hawawezi kutambua wekevu wa Mungu.
Wao wanatapanya maisha aliyotoa Mungu.
Hapana mwanadamu hata mmoja ambaye Mungu anamtunza mchana na usiku
anayechukua hatua ya kumwabudu Yeye.
Mungu anaendelea kufanya kazi kama vile Alivyopanga juu ya mwanadamu,
ambaye anaonekana hana matumaini yoyote.
Na Anatumaini kwamba siku moja,
mwanadamu ataamka kutoka ndoto yake,
aone thamani na kusudi la maisha,
aelewe kilichomgharimu Mungu kumpa mwanadamu kila kitu,
jinsi Anavyotamani mwanadamu arudi Kwake.
Naam, Anatamani mwanadamu arudi Kwake.
Hapana mwanadamu hata mmoja ambaye Mungu anamtunza mchana na usiku
anayechukua hatua ya kumwabudu Yeye.
Mungu anaendelea kufanya kazi kama vile Alivyopanga juu ya mwanadamu,
ambaye anaonekana hana matumaini yoyote.
Na Anatumaini kwamba siku moja,
mwanadamu ataamka kutoka ndoto yake,
aone thamani na kusudi la maisha,
aelewe kilichomgharimu Mungu kumpa mwanadamu kila kitu,
jinsi Anavyotamani mwanadamu arudi Kwake.
Naam, Anatamani mwanadamu arudi Kwake.
kutoka katika "Mungu Ndiye Chanzo cha Uhai wa Mwanadamu" katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

      Sikiliza zaidi: nyimbo za dini

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni