11.10.2018

Wanadamu Wanaoishi Chini ya Mamlaka ya Mungu

Wanadamu Wanaoishi Chini ya Mamlaka ya Mungu

Wanadamu, ambao huishi kati ya vitu vyote, wamepotoshwa na kudanganywa na Shetani,
lakini bado hawawezi kuyaachilia maji yaliyotengenezwa na Mungu,
na hewa na vitu vyote vilivyotengenezwa na Mungu.
Wanadamu bado huishi na kuzaana upesi katika nafasi hii iliyoumbwa na Mungu. 
Wanadamu bado huishi na kuzaana upesi katika nafasi hii iliyoumbwa na Mungu.
Silika za wanadamu hazijabadilika.
Mwanadamu bado hutegemea macho yake kuona, masikio yake kusikia,
ubongo wake kufikiri, moyo wake kuelewa,
miguu na nyayo zake kutembea, mikono yake kufanya kazi, na kadhalika;
silika zote ambazo Mungu alimfadhili mwanadamu kupatia chakula Chake hazijabadilika.
Welekevu wa wanadamu haujabadilika, ambao kwao yeye hushirikiana na Mungu
na kutimiza wajibu wa kiumbe.
Mahitaji yake ya kiroho hayajabadilika;
matamanio yake ya kupata asili yake hayajabadilika.
Kutamani sana kwa wanadamu kuokolewa na Muumba hakujabadilika.
Hii ndiyo hali ya wanadamu, wanaoishi chini ya mamlaka ya Mungu,
na ambao wamevumilia maangamizi makali yaliyoletwa na Shetani.
kutoka kwa "Mungu Mwenyewe, Yule wa Kipekee I" katika Neno Laonekana katika Mwili

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

      Tazama zaidi: Umeme wa Mashariki Hutoka wapi?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni