Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumbukumbu-za-maongezi-yz-kristo. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo kumbukumbu-za-maongezi-yz-kristo. Onyesha machapisho yote

1.02.2018

Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata

mu
Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki,ndugu na dada
ndugu na dada


Sura ya 10. Wale Wanaopenda Ukweli Wana Njia ya Kufuata


1. Kama hali ya Watu Ni Ya Kawaida Inategemea na Kama Wanapenda Ukweli au La
Mwenyezi Mungu alisema, Watu wengi wameibua suala lifuatalo: Baada ya ushirika wa juu, wanahisi wazi kabisa, wanakuwa na nguvu zaidi, na hawana hisia hasi—lakini hali kama hiyo inabaki tu kwa karibu siku kumi, ambapo baadaye hawawezi kudumisha hali ya kawaida. Suala ni nini? Je mmewahi kujiuliza kinachosababisha hili?