Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Yeau. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Yeau. Onyesha machapisho yote

11.28.2017

Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote

Mwenyezi Mungu,Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki
Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote

Mungu Ndiye Bwana wa Viumbe Vyote

Mwenyezi Mungu alisema: Hatua moja ya kazi ya enzi mbili za awali ilifanyika Israeli; nyingine ilifanyika Uyahudi. Kuzungumza kwa jumla, hakuna hatua ya kazi hii iliyotoka Israeli; zilikuwa ni hatua za kazi zilizofanywa miongoni mwa wateule wa mwanzo. Hivyo, kwa mtazamo wa Wanaisraeli, Yehova Mungu ni Mungu wa Wanaisraeli pekee.