Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maisha-Yenye-Maana. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Maisha-Yenye-Maana. Onyesha machapisho yote

1.19.2019

Neno la Mungu | "Wale Waliofanywa Kuwa Watimilifu Ndio tu Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana"


Neno la Mungu | "Wale Waliofanywa Kuwa Watimilifu Ndio tu Wanaoweza Kuishi Maisha Yenye Maana"


Mwenyezi Mungu alisema,  Kunao mpangilio wa kutimizwa kama itabidi ufanywe kuwa mtimilifu. Kupitia kwa utatuzi wako, ustahimilivu wako, na dhamiri yako, na kupitia ufuatiliaji wako, utaweza kupitia maisha na kutimiza mapenzi ya Mungu.