Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi ya Mungu. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Kazi ya Mungu. Onyesha machapisho yote

10.28.2017

Ni Wale Tu Wanaoijua Kazi ya Mungu Leo Wanaoweza Kumhudumia Mungu

Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu, ukweli

Ili uwe na ushuhuda kwa Mungu na kuliaibisha joka jekundu ni sharti uwe na kanuni, na sharti: Katika moyo wako ni lazima umpende Mungu na uingie katika maneno ya Mungu. Kama huingii katika maneno ya Mungu, basi hutakuwa na njia ya kumuaibisha Shetani. Katika ukuaji wa maisha yako, unalikataa joka kuu jekundu na kuliletea aibu kamili, na ni hapo tu ndipo hili joka jekundu kweli linaaibika.