Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu katika siku za mwisho. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo Hukumu katika siku za mwisho. Onyesha machapisho yote

10.14.2017

Mwenyezi Mungu Amekuwa Ameketi Kwenye Kiti Kitukufu cha Enzi


Mwenyezi Mungu Amekuwa Ameketi Kwenye Kiti Kitukufu cha Enzi


Mfalme mwenye ushindi amekuwa ameketi kwenye kiti kitukufu cha enzi.

Amekamilisha ukombozi, akiongoza watu Wake wote kuonekana katika utukufu.

Vitu vyote vimo mkononi Mwake. Kwa busara takatifu na nguvu,

Amejenga na kuimarisha Sayuni, kujenga na kuimarisha Sayuni.