Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo -njia- na-uzima. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo -njia- na-uzima. Onyesha machapisho yote

1.03.2018

Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli

Mwenyezi Mungu,Kanisa la Mwenyezi Mungu,Umeme wa Mashariki
Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli


Sura ya 11. Kutatua Asili na Kutenda Ukweli


1. Uhusiano Kati ya Ubinadamu na Uwezo wa Kutenda Ukweli
Watu husema kuwa kutenda ukweli ni vigumu kabisa. Basi mbona watu wengine wanaweza kutenda ukweli? Watu wengine husema ni kwa sababu kwa asili wanaipokea kazi ya Roho Mtakatifu ikifanya kazi juu yao, na pia kwa sababu ni wazuri kiasili.