8.06.2017

Upendo wa Mungu | "Kama Nisingeokolewa na Mungu" | Swahili Gospel Music Video


Kama Nisingeokolewa na Mungu
Kama mimi nisingeokolewa na Mungu, ningekuwa bado nazurura ulimwenguni humu,
nikipambana kwa bidii na maumivu katika dhambi; kila siku huwa ya taabu isiyo na tarajio.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimepondwa chini ya miguu ya shetani,
kama nimenaswa katika dhambi na starehe zake, bila kujua maisha yangu yangekuwaje. 
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu leo,
wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,
nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.
Hatimaye nimeelewa mikono ya upendo ya Mungu imeshika yangu safarini.
Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.
Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.
Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, nisingekuwa na baraka zangu hapa leo,
wala kujua kwa nini sisi tuendelee kuishi ama maana ya maisha yetu.
Kama nisingeokolewa na Mungu, bado ningekuwa nimechanganywa kuhusu imani yangu,
nikiwa ningali katika nafasi tupu nikisukuma siku, bila kujua imani yangu iwe kwa nani.
Hatimaye nimeelewa mkono wa upendo wa Mungu umeushika wangu safarini.
Sitaweza kwenda na kupotea njia kwa sababu niko kwa mwendo huu mwangavu kukaa.
Hatimaye nimeelewa dhamira ya Mungu, yenye ari kwa mtu.
Fikra danganyifu kuondolewa kabisa, nitampa Mungu mwili wangu na roho yangu.
kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya
    Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni