10.01.2018

Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu

Kanisa la Mwenyezi Mungu, wokovu, ukweli

Niko Tayari Kutekeleza Wajibu Wangu kwa Uaminifu

Mpendwa Mwenyezi Mungu, ni Wewe ndiye Unayenipenda,
uliniinua kutoka kwa rundo la kinyesi hadi kwa mazoezi ya ufalme.
Maneno Yako yamenitakasa mimi, yakanifanya nianze kuishi maisha ya furaha.
Moyoni mwangu nahisi, kwa kweli, ni upendo Wako mkuu.
Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu! 
Maneno Yako yote ni ukweli. Unastahili upendo wa binadamu.
Ee Mungu! Ukipuuza uasi wangu wa zamani,
Unanijali na kufanya kazi ili kuniokoa.
Unaniongoza katika njia ya kweli, Ukitazama kila wakati katika upande wangu,
natarajia tu nitakua na kuwa mtu mpya.
Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!
Nitafuatilia kukupenda Wewe, mwaminifu katika wajibu ili kukufurahisha Wewe.
Ee Mwenyezi Mungu, maneno Yako yamenitakasa.
Neema ya wokovu Wako sitasahau kamwe,
Nitakupenda Wewe maisha yangu yote, nikiuridhisha moyo Wako.
Uliacha mengi sana ili kuniokoa, na sitakukosea Wewe kamwe.
Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!
Nitakupenda Wewe maisha yangu yote, mwaminifu katika wajibu, katika wajibu.
Aa … aa … aa … aa … Mpendwa Mwenyezi Mungu!
Nitakupenda Wewe maisha yangu yote, mwaminifu katika wajibu, katika wajibu.

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

           Soma zaidi: Kuhusu Kanisa la Mwenyezi Mungu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni